Msaada kwa wenye Maambukizi kwenye mifupa


image


Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwahudumia wenye Maambukizi kwenye mifupa, ni njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuwasaidia wenye Maambukizi kwenye mifupa.


Huduma kwa wenye Maambukizi kwenye mifupa.

1.Kuwapatia maji yenye antibiotics.

 

2.kuwawaweka kwenye mkao mzuri ili kuweza kuepuka kunasababisha maumivu kwa mara ya pili.

 

3.Kupima joto na mwili, presha, msukumo wa damu na mapigo ya moyo.

 

4. Kusafisha kidonda ili kuhakikisha kuwa uchafu umeisha kwa kufuata hatua zote za uchafu.

 

5. Kuhakikisha unajua kiasi cha maji kilichoingia na kilichotoka.

 

6.Kwenda kwenye mazoezi ili kurekebisha sehemu yenye matatizo.

 

7.kumpatia mgonjwa dawa ya maumivu ili kupunguza maumivu hayo.

 

 

 

 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    3 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    4 Jifunze Fiqh    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Mie ni mwanamke ninamaumivu chini ya kitovu upande wa kushoto, na nikishika tumbo nahisi kitu kigumu upande huo huo wa kushoto... hii itakua ni nini?
Je unasumbuliwa na maumivuvya tumbo chini ya kitovu upande wa kushito. Post hii itakuletea sababu za maukivubhayo na nini ufanye. Soma Zaidi...

image Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa wanawake.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kufunga kizazi kwa wanawake. Soma Zaidi...

image Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini Soma Zaidi...

image Habari,mfano umekunywa dawa za chupa hizi halafu baadae unagundua chupa ilikuwa na UFA nn kofanyike
Kunywa soda ama dawa kwenyechupa zakioo ambayo ina ufa ama mipasuko ni hatari. Ni kwa sababu huwezijuwa huwenda kipande kikaingia mdomoni na umangimeza. Sasa nini ufanye endapo umeshakula? Soma Zaidi...

image Madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, ni madhara ambayo yanaweza kutokea iwapo maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo hayatatibiwa kwa wakati. Soma Zaidi...

image Nguo zinazovaliwa kwenye chumba cha upasuaji na kazi zake
Posti hii inahusu zaidi nguo za kuvaliwa kwenye chumba cha upasuaji na kazi zake, hizi ni nguo ambazo wahudumu wa afya wanapaswa kuzivaa wakati wa upasuaji kwa ajili ya kuwakinga na Maambukizi kati ya wahudumu wa afya na wagonjwa pia Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu Ugonjwa wa ukoma
Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa ukoma ni Ugonjwa unaosababishwa na bacteria anayejulika kama mycobacterium leprae. Soma Zaidi...

image Signs and symptoms of pregnancy.
In fact there is a lot of signs and symptoms of pregnancy a mother experiences throughout pregnant. These signs may start to be revealed immediately after conception or in the first week after conception. A term pregnancy is traditionally calculated by midwives as 9 months and 7 days or 120 days or 40 weeks but they all mean one thing. These signs are divided into three trimesters three months per each trimester because a term pregnancy is having nine months. Soma Zaidi...

image Dalili za fangasi Mdomoni.
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za fangasi Mdomoni kwa watoto, vijana, watu wazima na mama wanaonyonyeshwa. Soma Zaidi...

image Maambukizi ya Kawaida ya zinaa (Chlamydia)
maambukizi ya kawaida ya zinaa (STI), Hujulikana Kama Chlamydia. Huenda usijue una Ugonjwa huu kwa sababu watu wengi hawapati dalili au ishara, kama vile maumivu ya sehemu za siri na kutokwa na uchafu kutoka kwa uke au uume. Maambukizi haya huathiri wanaume na wanawake na hutokea katika makundi yote ya umri, ingawa imeenea zaidi kati ya wanawake vijana. si vigumu kutibu mara tu unapojua kuwa unayo. Hata hivyo, ikiwa haitatibiwa, inaweza kusababisha matatizo makubwa zaidi ya afya Soma Zaidi...