Posti hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ugonjwa huu uaribu zaidi kwenye mifupa na sehemu nyingine ambazo zinakaribia kwenye mifupa
Sababu za Maambukizi na walio katika hatari ya kupata Maambukizi kwenye mifupa.
1.Bakteri.
Maambukizi kwenye mifupa usababishwa na bakteria, hali hii utokea pale bakteria wanaposhambulia mifupa na kusababisha madhara makubwa kwenye sherehe zinazokaribia na mifupa, bakteria ambao usababisha maambukizi kwa kitaalamu huitwa staphylococcus Aureus na B streptococcus.
2.Maambukizi kwenye sehemu za upumuaji , ndani ya sikio, kwenye tonsili na Maambukizi yanayotokana na kuungua hayo yote ni chanzo cha Maambukizi kwenye mifupa.
3.Pia kuna watu walio kwenye hatari ya kupata Maambukizi kwenye mifupa, ni pamoja na wale wenye vitu vyovyote kwenye mifupa kama vile mti, vyuma na mambo kama hayo usababisha maambukizi kwenye mifupa.
4.Kuwepo kwa kuvunjiko kwenye mifupa.
Kwa wakati mwingine kama mtu amevunjika na kuna uchafu na usafi haufanyiki ipasayo anaweza kupata Maambukizi kwenye mifupa, kwa hiyo kwa wale wenye ajali wanapaswa kusafisha vizuri sehemu zilizo na majeraha
5.Watu wenye kinga ya mwili ndogo
Tunajua wazi kuwa kama kinga ya mwili ni ndogo mwilini ni rahisi kushambuliwa na magonjwa kwa hiyo tunapaswa kujikinga na Magonjwa mbalimbali na kula vyakula vyenye uwezo wa kuongea kinga mwilini.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni njia ambazo mtu anaweza kutumia Ili kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.zifuatazo ni njia zinazoweza kutumika kama mtu amepata uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya watu walio hatarini kupata fangasi
Soma Zaidi...Kiharusi cha joto ni hali inayosababishwa na joto la juu la mwili wako, kwa kawaida kama matokeo ya kufichuliwa kwa muda mrefu au bidii ya mwili katika joto la juu. Aina hii mbaya zaidi ya jeraha la joto, kiharusi cha joto kinaweza kutokea ikiwa joto
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za presha ya kushuka
Soma Zaidi...Kuvimbiwa kwa watoto ni shida ya kawaida. Kuvimbiwa kwa watoto mara nyingi huonyeshwa na kinyesi kisicho kawaida au kinyesi ngumu na kavu.
Soma Zaidi...DALILI ZA HIV ZA MWANZO NA DALILI ZA UKIMWI ZA MWANZO Kama ilivyo magonjwa mengi hupitia hatua kadha kadha na kuonyesha dalili kadha katika hatua hizo.
Soma Zaidi...Kaswende ni maambukizi ya bakteria kawaida huenezwa kwa kujamiiana pia ugonjwa huu hujulikana kama syphilis. Ugonjwa huu huanza kama kidonda kisicho na maumivu kwa kawaida kwenye sehemu zako za siri, rektamu au mdomo
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na fangasi
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi juu ya ugonjwa wa kipindupindu.Ni dalili zinzojitokeza kwa magonjwa wa kipindupindu.
Soma Zaidi...