Posti hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ugonjwa huu uaribu zaidi kwenye mifupa na sehemu nyingine ambazo zinakaribia kwenye mifupa
Sababu za Maambukizi na walio katika hatari ya kupata Maambukizi kwenye mifupa.
1.Bakteri.
Maambukizi kwenye mifupa usababishwa na bakteria, hali hii utokea pale bakteria wanaposhambulia mifupa na kusababisha madhara makubwa kwenye sherehe zinazokaribia na mifupa, bakteria ambao usababisha maambukizi kwa kitaalamu huitwa staphylococcus Aureus na B streptococcus.
2.Maambukizi kwenye sehemu za upumuaji , ndani ya sikio, kwenye tonsili na Maambukizi yanayotokana na kuungua hayo yote ni chanzo cha Maambukizi kwenye mifupa.
3.Pia kuna watu walio kwenye hatari ya kupata Maambukizi kwenye mifupa, ni pamoja na wale wenye vitu vyovyote kwenye mifupa kama vile mti, vyuma na mambo kama hayo usababisha maambukizi kwenye mifupa.
4.Kuwepo kwa kuvunjiko kwenye mifupa.
Kwa wakati mwingine kama mtu amevunjika na kuna uchafu na usafi haufanyiki ipasayo anaweza kupata Maambukizi kwenye mifupa, kwa hiyo kwa wale wenye ajali wanapaswa kusafisha vizuri sehemu zilizo na majeraha
5.Watu wenye kinga ya mwili ndogo
Tunajua wazi kuwa kama kinga ya mwili ni ndogo mwilini ni rahisi kushambuliwa na magonjwa kwa hiyo tunapaswa kujikinga na Magonjwa mbalimbali na kula vyakula vyenye uwezo wa kuongea kinga mwilini.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Hii ni huduma ya kwanza kwa aliyeshambuliwa na pumu katika mazingira ambayo ni mbali na kituo cha afya, na hakuna dawa.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya viungo vinavyoathiriwa na ugonjwa wa malaria
Soma Zaidi...Malaria inaweza kumpata mtu yeyote bila ya kujali mri.
Soma Zaidi...posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa na Ugonjwa unaohusiana na joto ambao hujulikana Kama Anhidrosis ni kutoweza jasho kawaida. Usipotoa jasho mwili wako hauwezi kujipoza, jambo ambalo linaweza kusababisha joto kupita. wakati mwingine inaweza k
Soma Zaidi...posti hii inahusu dalili za Homa ya Manjano ni maambukizi ya virusi yanayoenezwa na aina fulani ya mbu. Maambukizi hayo ni ya kawaida zaidi na kuathiri wasafiri na wakazi wa maeneo hayo.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukufahamishavkuhusu saratani yavkibifu cha mkojo.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha Dalili na ishara za kuvimba kope ambayo kitaalamu hujulikana Kama blepharitis.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya kuambukiza, ni magonjwa ambayo yanaweza kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuweza kusababisha madhara yale yale kwa mtu aliyeambukizwa au anayeambukiza kwa hiyo Maambukizi yanaweza kuwa ya moja kwa moja au yasi
Soma Zaidi...Pepopunda ni ugonjwa hatari wa kutishia maisha unaosababishwa na sumu inayojulikana Kama tetanospasmin inayotolewa kwenye majeraha yaliyoambukizwa. Bakteria ya pepopunda huingia kwenye mwili wa mtoto mchanga kupitia kisiki cha kitovu ambacho kimekatwa na
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia upele, ni njia ambazo utumiwa Ili kupunguza tatizo la upele kwenye jamii, kwa hiyo jamii inapaswa kutumia njia hizi Ili kuweza kupambana na ugonjwa huu ambao unatibika.
Soma Zaidi...