Maambukizi kwenye mifupa


image


Posti hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ugonjwa huu uaribu zaidi kwenye mifupa na sehemu nyingine ambazo zinakaribia kwenye mifupa


Sababu za Maambukizi na walio katika hatari ya kupata Maambukizi kwenye mifupa.

1.Bakteri.

Maambukizi kwenye mifupa usababishwa na bakteria, hali hii utokea pale bakteria wanaposhambulia mifupa na kusababisha madhara makubwa kwenye sherehe zinazokaribia na mifupa, bakteria ambao usababisha maambukizi kwa kitaalamu huitwa staphylococcus Aureus na B streptococcus.

 

2.Maambukizi kwenye sehemu za upumuaji , ndani ya sikio, kwenye tonsili na Maambukizi yanayotokana na kuungua hayo yote ni chanzo cha Maambukizi kwenye mifupa.

 

3.Pia kuna watu walio kwenye hatari ya kupata Maambukizi kwenye mifupa, ni pamoja na wale wenye vitu vyovyote kwenye mifupa kama vile mti, vyuma na mambo kama hayo usababisha maambukizi kwenye mifupa.

 

4.Kuwepo kwa kuvunjiko kwenye mifupa.

Kwa wakati mwingine kama mtu amevunjika na kuna uchafu na usafi haufanyiki ipasayo anaweza kupata Maambukizi kwenye mifupa, kwa hiyo kwa wale wenye ajali wanapaswa kusafisha vizuri sehemu zilizo na majeraha 

 

5.Watu wenye kinga ya mwili ndogo

Tunajua wazi kuwa kama kinga ya mwili ni ndogo mwilini ni rahisi kushambuliwa na magonjwa kwa hiyo tunapaswa kujikinga na Magonjwa mbalimbali na kula vyakula vyenye uwezo wa kuongea kinga mwilini.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    2 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    3 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Ugonjwa wa kisukari wakati wa ujauzito.
Posti hii inaelezea ugonjwa wa kisukari wakati mama akiwa mjamzito.na yafuatayo ni Mambo hatari yanayotokea wakati Mama akiwa na ujauzito. Soma Zaidi...

image Yajue mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi (cellulitis)
Mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi hujitokeza sehemu yenye jeraha pia huonyesha wekundu wenye upele,Uvimbe na malengelenge. Soma Zaidi...

image Roghage/ vyakula vya kambakamba
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya roghage Soma Zaidi...

image Tiba ya vidonda vya tumbo na dawa zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Tina ya vidonda vya tumbo na dawa zake Soma Zaidi...

image Saratani (cancer)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya cancer/saratani Soma Zaidi...

image Vipimo vya minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vipimo vya minyoo Soma Zaidi...

image Huduma kwa mtoto mdogo anayeumwa
Mtoto mdogo ni mtoto chini ya miaka mitano, yaan kuanzia pale anapozaliwa mpaka anapafikisha miaka mitano Soma Zaidi...

image Dalili za tezi dume ambayo hazijashuka (cryptorchidism)
Tezi dume ambayo haijashuka si ya kawaida kwa ujumla, lakini ni ya kawaida kwa wavulana waliozaliwa kabla ya wakati.na muda mwingine zikipanda tumboni huwa hazishuki kabisa kwenye korodani. Soma Zaidi...

image Choo kisichokuwa cha kawaida
Posti hii inahusu zaidi Aina ya choo kisichokuwa cha kawaida, ni dalili za choo ambacho siyo Cha kawaida, Ina maana ukiona dalili za choo Cha Aina hii ni vizuri kwenda hospitalini Ili kupata matibabu. Soma Zaidi...

image Maradhi ya macho
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya macho,dalili na matibabu yake Soma Zaidi...