Maambukizi kwenye mifupa

Posti hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ugonjwa huu uaribu zaidi kwenye mifupa na sehemu nyingine ambazo zinakaribia kwenye mifupa

Sababu za Maambukizi na walio katika hatari ya kupata Maambukizi kwenye mifupa.

1.Bakteri.

Maambukizi kwenye mifupa usababishwa na bakteria, hali hii utokea pale bakteria wanaposhambulia mifupa na kusababisha madhara makubwa kwenye sherehe zinazokaribia na mifupa, bakteria ambao usababisha maambukizi kwa kitaalamu huitwa staphylococcus Aureus na B streptococcus.

 

2.Maambukizi kwenye sehemu za upumuaji , ndani ya sikio, kwenye tonsili na Maambukizi yanayotokana na kuungua hayo yote ni chanzo cha Maambukizi kwenye mifupa.

 

3.Pia kuna watu walio kwenye hatari ya kupata Maambukizi kwenye mifupa, ni pamoja na wale wenye vitu vyovyote kwenye mifupa kama vile mti, vyuma na mambo kama hayo usababisha maambukizi kwenye mifupa.

 

4.Kuwepo kwa kuvunjiko kwenye mifupa.

Kwa wakati mwingine kama mtu amevunjika na kuna uchafu na usafi haufanyiki ipasayo anaweza kupata Maambukizi kwenye mifupa, kwa hiyo kwa wale wenye ajali wanapaswa kusafisha vizuri sehemu zilizo na majeraha 

 

5.Watu wenye kinga ya mwili ndogo

Tunajua wazi kuwa kama kinga ya mwili ni ndogo mwilini ni rahisi kushambuliwa na magonjwa kwa hiyo tunapaswa kujikinga na Magonjwa mbalimbali na kula vyakula vyenye uwezo wa kuongea kinga mwilini.



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/02/09/Wednesday - 09:43:00 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 615


Download our Apps
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Njia ambazo VVU huambukizwa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo VVU huambukizwa Soma Zaidi...

Dalili na madhara ya Kiungulia
post hii inaelezea kuhusiana na dalili au ishara na madhara ya Kiungulia ni maumivu ya moto kwenye kifua chako, nyuma ya mfupa wako wa kifua. Maumivu huwa mabaya zaidi wakati wa kulala au kuinama Soma Zaidi...

Je fangasi ikikaa kwa muda mrefu bila kutibiwa ina madhara gani?
Je umeshawaho kujiuliza maswali mengi kihusu fangasi?. Huyu hapa ni mmoja katika waulizaji waliopata kuuliza rundo la maswali haya. Soma post hii kuona nini ameuliza Soma Zaidi...

Visababishi vya maambukizi kwenye milija na ovari
Posti hii inahusu zaidi visababishi vya maambukizi kwenye milija na, ni mambo yanayosababisha maambukizi kwenye milija na ovari. Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa wa uti wa mgongo kwa watoto uitwao poliomyelitis
Poliomyelitis ni kuvimba kwa suala la kijivu la uti wa mgongo na wakati mwingine sehemu ya chini ya ubongo Soma Zaidi...

Madhara ya kutotibu ugonjwa wa makende kushindwa kushuka
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya makende kushindwa t, hiki ni tatizo na huleta madhara Soma Zaidi...

Dalili za uvumilivu wa pombe
Uvumilivu wa pombe unaweza kusababisha athari za haraka, zisizofurahi baada ya kunywa pombe. Ishara na dalili za kawaida za kutovumilia kwa pombe ni pua iliyojaa na Kuvuta ngozi. Uvumilivu wa pombe husababishwa na hali ya maumbile ambayo mwili hauwezi k Soma Zaidi...

Namna ya kumsaidia mtoto mwenye UTI
Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia mtoto akiwa na ugonjwa wa UTI. Soma Zaidi...

Zifahmu Dalili za homa ya ini Kali ya pombe.
Posti hii inaonyesha dalili na Mambo Hatari yanayosababisha homa ya ini Kali ya pombe. Soma Zaidi...

Viungo vinavyoathiriwa na malaria
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya viungo vinavyoathiriwa na ugonjwa wa malaria Soma Zaidi...

Ugonjwa wa kisukari
Ugonjwa wa kisukari hurejelea kundi la magonjwa yanayoathiri jinsi mwili wako unavyotumia sukari kwenye damu (glucose). Glucose ni muhimu kwa afya yako kwa sababu ni chanzo muhimu cha nishati kwa seli zinazounda misuli na tishu zako. Pia ndio chanzo ki Soma Zaidi...

Vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo Soma Zaidi...