Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kulia

MAUMIVU YA TUMBO KWA CHINI UPANDE WA KULIA

 

Sehemu ya tumbo kwa chini upande wa kulia ndipo ambapo baadhi ya viungo kupatikana kama utumbo mkubwa, appendix, na kwa baadhi ya wanawake ni ovari hupatikana maeneo haya.katika hali za kawaid maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia huwa yanaondoka yenyewe ndni ya siku mbili ama tatu. Ila kwa baadhi ya nyakati kama yanahusiana na shida za afya zaidi matibabu ni lazima yafanyike.

 

Maumivu haya yatahidaji uangalizi wa karibu wa daktari endapo yatafungamana na dalili zifuatazo:1.Maumivu na mkandamizo kwenye kifua2.Homa3.Damu kwenye kinyesi4.Kuendelea kwa kichefuchefu na kutapika kwa masiku kadhaa.5.Ngozi kuwa na rangi ya njano6.Kukaza kwa tumbo sana unapoligusa7.Kujaa kwa tumbo

 

Sababu za maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia1.Ugonjwa wa Appendix:Appendix ni sehemu ndigo ambapo utumbo mkubwa hukutana na utumbo mdogo. Sasa sehemu hii hutokea kuathiriwa hivyo hujaa na kuvimba ugonjwa huu unaitwa appendicitis. Hii ni katika sababu kuu za maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia. Tofauti na maumivu haya ugonjwa wa appendix hufungama na na dalili zifuatazo:-1.Kichefuchefu2.Kutapika3.Homa4.Kuharisha5.Kukosa hamu ya kula6.Kujaa kwa tumbo7.Kukosa hamu ya kula. we

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021/11/10/Wednesday - 09:36:43 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1779

Post zifazofanana:-

Sababu za kuwepo kwa saratani ya inni.
Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za kuwepo kwa saratani ya ini, saratani hii imekuwa tishio kwa wengi ila ni vizuri kujua baadhi ya sababu ambazo uchangia sana kuwepo kwa tatizo hili la saratani ya inni. Soma Zaidi...

Tafsiri na mafunzo ya sura zilizochaguliwa - Saratul-fiyl
Quran (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Shahada mbili
Kwenye mada hii tutajifunza shahada mbili,tafsiri ya shahada kstika maisha ya kila siku. Soma Zaidi...

Uandishi wa hadithi wakati wa mtume (s.a.w)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Nini hasa husababisha ugonjwa wa kisukari
Soma Zaidi...

Chanjo zinazotolewa nchini Tanzania
Posti hii inahusu zaidi chanjo ambazo utolewa nchini Tanzania, ni chanjo ambazo uzuia Magonjwa ambayo yako katika sehemu mbalimbali za nchi. Soma Zaidi...

Madhara ya kutotibu uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo
Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu ugonjwa wa uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni madhara yanayotokea kwenye mfumo mzima wa kupitisha mkojo na via vya uzazi kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

Mabadiliko ya Matiti kwa Mama mjamzito
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye Matiti kwa Mama mjamzito, hali hii utokea pale ambapo mama akibeba mimba Kuna mabadiliko kwenye Matiti kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

Swala ya Istikhara na jinsi ya kuiswali
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu swala ya Istikhara Soma Zaidi...

Njia za kufanya ukiwa na tatizo la uti wa mgongo.
Posti hii inahusu zaidi Njia za kufanya Ili kupunguza maumivu ya tatizo la uti wa mgongo, ni njia unazopaswa kufanya pale unapokuwa na tatizo la uti wa Mgongo. Soma Zaidi...

mkewang alikuwa anasumbuliwa na tumbo kama siku tatu lika tuliya saivi analalamika kiuno na mgongo vina muuma nini tatizo tockt
Maumivu ya tumbo nakiuno kwa mwanamke yanahitaji uangalizi wakina. Kwani kuna sababu nyingi ambazo zinawezakuwa ni chanzo. Soma Zaidi...

Ujue ugonjwa wa kuishiwa na damu
post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuishiwa damu kwa kitaalamu huitwa(Anemia) ni ugonjwa wa kuishiwa na damu mwilini na kusababisha maisha ya mtu kuwa hatarini Soma Zaidi...