Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa.
Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa. Pia tukushukuru ewe msomaji wa makala hii
kuweza kutumia muda wako vyema hta ukapata kuisoma makala hii.
Makala hii inakwenda kulenga katika kutowa mafunzo na elimu juu ya matunda mbalimbali na faida zao. makala hii imelenga hasa faida za
matunda katika kukabiliana na maradhi mbalimbali sugu kama kisukari, saratani, maradhi ya moyo kama kupalalaizi, shambulio la moyo
pamoja na presha ya kupanda na kushuka.
Kitabu hiki cha matunda kimesha kamilika sehemu ya kwanza. Kitabu hiki utaweza kukipata bure hata bila ya malipo. Unachotakiwa ni
kujisajili kwenye maktaba yetu kwa kutumia link hapo chini, kisha utaendelea kutumia huduma zetu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Je unajuwa kuwa majimaji yanayotoka ukeni yanatueleza mengi kuhusu afya yako, rangi za majimaji ya ukeni na damu ya hedhi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Je umesha wahi kujiuliza kuwa ni vinywaji vipi mwenye presha ya kupanda anafaha kutumia, Unadhani ni maji, mvinyo wa pombe, chai na kahawa. Bila shaka ungependa kujuwa zaidi kuhusu jambo hili. Makala hii ni kwa ajili yako
Soma Zaidi...Tufaha ni katika matunda adimu na matamu, je unazijuwa faida zake kkiafya?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukuonyesha faida za kula bamia kwa afya afya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pera
Soma Zaidi...