Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa.
Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa. Pia tukushukuru ewe msomaji wa makala hii
kuweza kutumia muda wako vyema hta ukapata kuisoma makala hii.
Makala hii inakwenda kulenga katika kutowa mafunzo na elimu juu ya matunda mbalimbali na faida zao. makala hii imelenga hasa faida za
matunda katika kukabiliana na maradhi mbalimbali sugu kama kisukari, saratani, maradhi ya moyo kama kupalalaizi, shambulio la moyo
pamoja na presha ya kupanda na kushuka.
Kitabu hiki cha matunda kimesha kamilika sehemu ya kwanza. Kitabu hiki utaweza kukipata bure hata bila ya malipo. Unachotakiwa ni
kujisajili kwenye maktaba yetu kwa kutumia link hapo chini, kisha utaendelea kutumia huduma zetu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Vyakula hivi vinaweza kuwa na hatai kwenye afya ya meno ama kuharibu kabisa meno.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za tunda la mpapai katika kurekebisha homoni.ni tunda ambalo ufanya kazi yake kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho muhimu ndani ya tunda hili.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha
Soma Zaidi...hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukuonyesha faida za kula bamia kwa afya afya
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...