Faida za kiafya za kula viazi vitamu

  1. vina virutubisho kama protini, fati, wanga, vitamini C, B5 pia madini ya potasium, shaba na magnesium.
  2. Husaidia kuboresha ufanyaji kazi wa ubongo
  3. Huboresha hedhi
  4. Husaidia katika kupambana na saratani
  5. Husaidia kushusha sukari kwenye damu
  6. Huboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
  7. Husaidia mwili kupambana na maambukizi ya mara kwa mara
  8. Husaidia katika kupunguza uzito