Faida za kiafya za kula Kabichi

Faida za kiafya za kula Kabichi



Faida za kiafya za kula kabichi

  1. kabichi lina virutubisho kama protini, vitamini K, A, B6 na C. pia lina madini ya chuma, calcium na magnesium.
  2. Husaidia katika kupunguza mashambulizi ya mara kwa mara ya bakteria, virusi na fanasi
  3. Husaidia katika kupona kwa haraka kwa majeraha
  4. Husaidia kupunguza uharibifu wa seli dhidi ya kemikali mbaya
  5. Huboresha afya ya mifupa, misuli na mishipa ya damu
  6. Hupunguza uwezekano wa kupata saratani
  7. Huboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula na kuzuia kukosa haja
  8. Hufanya moyo wako uwe katika afya njema
  9. Hushusha presha ya damu
  10. Hushusha kiwango cha cholesterol


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1839

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Zijuwe faida za kula njegere

zijuwe faida za kula njegere kiafya na umuhimu wa kula jegere pia jifunze njegere zina kazi gani mwilini?

Soma Zaidi...
Limao (lemon)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula limao

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye madini kwa wingi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye madini kwa wingi

Soma Zaidi...
Ni nini maana ya mlo kamili?

Mlo kamili ni mkusanyiko kuu wa vyakula mbalimba kwa pamoja huimarisha na kuujenga  mwili wa binadamu na wanyama kwa sababu vinaleta virutubishi vyote vinavyohitajika.  Mkusanyiko wa vyakula vinavyotengeneza mlo kamili Kuna majina ya vyakula

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula fyulisi/ peach

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/peach

Soma Zaidi...
Faida za kula Karoti

Umeshawahi kula karoti mbichi, ama ya kupikwa, je unazijuwa faida zake? soma makala hii

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa aji ya moto wakati wa asubuhi

Katika makala hii tutakwenda kujufunza faida za kiafya zinazopatuikana kwa kunywa maji yamoti wakati wa asubuhi

Soma Zaidi...