Maswali kuhusu Quran
Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Zoezi la 5.
- (a) Orodhesha majina matano ya Qur’an unayoyafahamu.
(b) Kwa kutumia ushahidi wa aya, onyesha kuwa Qur’an ilishushwa katika usiku Mtukufu wenye cheo.
- (a) Eleza hatua mbili za kushushwa Qur’an.
(b) Fafanua hatua zilizotumika katika kuihifadhi Qur’an wakati Mtume (s.a.w).
- Onyesha hekima ya Qur’an kushushwa kidogo kidogo na hatua kwa hatua.
- Andika tafsiri ya Suratul-Lahab, kisha toa mafunzo yake kwa muhtasari.
- ‘Nusura ya Mwenyezi Mungu inapokuja watu huingia katika Uislamu makundi kwa makundi’. Toa ushahidi huu kwa kurejea historia ya Mtume (s.a.w) alipokuwa mji wa Makkah na Madinah.
- Kwa kurejea Suratul-Kafiruun, eleza kwa ufupi mafunzo yatokanayo na sura hiyo.
- “Adhabu kali itawathubutikia wale wanao swali, (Wale) ambao wanapuuza swala zao…..” (107:4-5).
Kwa mujibu wa aya hii, onyesha jinsi waislamu wa leo wanavyopuuza swala zao.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 ai web app 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 web hosting
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 ai web app 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Msimamo wa Nabii Nuhu(a.s) Dhidi ya Makafiri
Pamoja na upinzani mkali alioupata kutoka kwa viongozi wa makafiri, Nabii Nuhu(a.
Soma Zaidi...Mtume (s.a.w) alivyoandaa ummah wa kiislamu makkah
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...