Maswali kuhusu Quran

Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Zoezi la 5.

  1. (a)  Orodhesha majina matano ya Qur’an unayoyafahamu.

(b)  Kwa kutumia ushahidi wa aya, onyesha kuwa Qur’an ilishushwa katika usiku Mtukufu wenye cheo.

  1. (a)  Eleza hatua mbili za kushushwa Qur’an.

(b)  Fafanua hatua zilizotumika katika kuihifadhi Qur’an wakati Mtume (s.a.w).

  1. Onyesha hekima ya Qur’an kushushwa kidogo kidogo na hatua kwa hatua.
  2. Andika tafsiri ya Suratul-Lahab, kisha toa mafunzo yake kwa muhtasari.
  3. ‘Nusura ya Mwenyezi Mungu inapokuja watu huingia katika Uislamu makundi kwa makundi’. Toa ushahidi huu kwa kurejea historia ya Mtume (s.a.w) alipokuwa mji wa Makkah na Madinah.
  4. Kwa kurejea Suratul-Kafiruun, eleza kwa ufupi mafunzo yatokanayo na sura hiyo. 
  5. “Adhabu kali itawathubutikia wale wanao swali, (Wale) ambao wanapuuza swala zao…..” (107:4-5). 

       Kwa mujibu wa aya hii, onyesha jinsi waislamu wa leo wanavyopuuza swala zao.



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/01/07/Friday - 11:48:43 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1452


Download our Apps
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Funga za Sunnah na umuhimu wake
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Vita vya Al Fijar na sababu zake
Historia na shida ya Mtume Muhammad S.A.W, sehemu ya 12. Hapa utajifunza kuhusu kutokea kwa vita vya al fijar. Soma Zaidi...

Udhaifu wa mtazamo wa makafiri juu ya dini dhidi ya mtazamo wa uislamu
Somo Hili linaeleza kuhusu mtazamo wa uislamu juu ya dini (EDK form2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Sababu za kushuka sural Masad (tabat haraka)
Sura hii inazungumzia kuhusu hali ya Abulahab namke wake wakiwa kama Watu waovu. Ni moja katika sura ambazo zilishuka mwanzoni toka Mtume alipoamrishwa kulingana dini kwa uwazi. Soma Zaidi...

Bara arabu enzi za jahiliyyah, jiografia ya bara arabu
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Mikataba ya aqabah
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Kutoa vilivyo vizuri
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Maandalizi ya hijrah ya mtume na waislamu kuhamia madinah
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Nguzo za swala ya maiti
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Yaliyoharamishwa kwa mwenye kuwa katika ihram
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Sababu za kushuka surat al Zilzalah
surat Zalzalah ni sura ya 99 katika mpangilio wa Quran, na ina aya 8. Sura hii imeteremshwa Madina ila pia kuna kauli zinathibitisha kuwa ni ya Makkah. Katika hadithi iliyopewa daraja la hassan na Imam Tirmidh Mtume S.A.W amesema kuwa kusoa surat Zilzalah Soma Zaidi...

Shirk na aina zake
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...