Maswali kuhusu Quran

Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Zoezi la 5.

  1. (a)  Orodhesha majina matano ya Qur’an unayoyafahamu.

(b)  Kwa kutumia ushahidi wa aya, onyesha kuwa Qur’an ilishushwa katika usiku Mtukufu wenye cheo.

  1. (a)  Eleza hatua mbili za kushushwa Qur’an.

(b)  Fafanua hatua zilizotumika katika kuihifadhi Qur’an wakati Mtume (s.a.w).

  1. Onyesha hekima ya Qur’an kushushwa kidogo kidogo na hatua kwa hatua.
  2. Andika tafsiri ya Suratul-Lahab, kisha toa mafunzo yake kwa muhtasari.
  3. ‘Nusura ya Mwenyezi Mungu inapokuja watu huingia katika Uislamu makundi kwa makundi’. Toa ushahidi huu kwa kurejea historia ya Mtume (s.a.w) alipokuwa mji wa Makkah na Madinah.
  4. Kwa kurejea Suratul-Kafiruun, eleza kwa ufupi mafunzo yatokanayo na sura hiyo. 
  5. “Adhabu kali itawathubutikia wale wanao swali, (Wale) ambao wanapuuza swala zao…..” (107:4-5). 

       Kwa mujibu wa aya hii, onyesha jinsi waislamu wa leo wanavyopuuza swala zao.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sira Main: Dini File: Download PDF Views 2023

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰2 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰3 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰4 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰5 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

HISTORIA YA MTUME ILYASA(A.S)

Mtume Ilyasa ni mmoja wa Mitume waliotumwa kupitia kizazi cha Bani Israil.

Soma Zaidi...
Kulingania Uislamu kwa Jamii Nzima

Baada ya miaka mitatu ya Utume, Muhammad(s.

Soma Zaidi...
Maandalizi ya Kimafunzo aliyoandaliwa Mtume Muhammad

(i) Suratul- โ€˜Alaq (96:1-5)โ€œSoma kwa jina la Mola wako aliyeumba Aliyemuumba mwanaadamu kwa โ€˜alaq.

Soma Zaidi...
Khalid Ibn al walid katika vita vya Muta

Yiomyokea khalid Ibn al walid katika vita vya Muta

Soma Zaidi...
tarekh 5

KUZALIWA KWA MTUME (S.

Soma Zaidi...
tarekh

MAPIGANO YA AL-FIJAR (MAPIGANO YA UOVU).

Soma Zaidi...
Kuchimbwa upya kwa kisima cha Zamzam

Sura na historia ya mtume Muhammad S.A.W sehemu ya 3.Hapa utajifunza kuhusu kufukuliwa kwa kisima cha Zamzam baada ya kufukiwa muda mrefu.

Soma Zaidi...
tarekh 09

KULELEWA NA BABU YAKE:Mzee โ€˜Abdul Al-Muttalib alimchukuwa mjukuu wake na wakarejea Makkah na aliendelea kuishinae na kumlea kwa mapenzi makubwa sana.

Soma Zaidi...
Uasi katika dola ya kiislamu na matokeo yake

Uasi katika dola ya kiislamu na matokeo yake.

Soma Zaidi...