Maswali kuhusu Quran
Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Zoezi la 5.
- (a) Orodhesha majina matano ya Qur’an unayoyafahamu.
(b) Kwa kutumia ushahidi wa aya, onyesha kuwa Qur’an ilishushwa katika usiku Mtukufu wenye cheo.
- (a) Eleza hatua mbili za kushushwa Qur’an.
(b) Fafanua hatua zilizotumika katika kuihifadhi Qur’an wakati Mtume (s.a.w).
- Onyesha hekima ya Qur’an kushushwa kidogo kidogo na hatua kwa hatua.
- Andika tafsiri ya Suratul-Lahab, kisha toa mafunzo yake kwa muhtasari.
- ‘Nusura ya Mwenyezi Mungu inapokuja watu huingia katika Uislamu makundi kwa makundi’. Toa ushahidi huu kwa kurejea historia ya Mtume (s.a.w) alipokuwa mji wa Makkah na Madinah.
- Kwa kurejea Suratul-Kafiruun, eleza kwa ufupi mafunzo yatokanayo na sura hiyo.
- “Adhabu kali itawathubutikia wale wanao swali, (Wale) ambao wanapuuza swala zao…..” (107:4-5).
Kwa mujibu wa aya hii, onyesha jinsi waislamu wa leo wanavyopuuza swala zao.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 kitabu cha Simulizi π2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π3 Madrasa kiganjani π4 Kitabu cha Afya π5 web hosting π6 ai web app
π1 kitabu cha Simulizi π2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π3 Madrasa kiganjani π4 Kitabu cha Afya π5 web hosting π6 ai web app
Post zinazofanana:
HISTORIA YA KUPASULIWA KWA KIFUA AU TUMBO CHA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) AKIWA MTOTO KWA BI HALIMA
KUPASULIWA KWA KIFUA MTUMEWAKATI AKIWA MTOTO.
Soma Zaidi...Kujengwa upya al Kabah baada ya kuwa na mipasuko.
Sira na historia ya Mtume Muhammad s.a.w sehemu ya 18. Hapa utajifunza kuhusu tukio la kujengwa upya kwa al kaaba Γ°ΕΈβ’βΉ
Soma Zaidi...Hatua na Mambo (Taasisi za Kisiasa) za msingi alizotumia Mtume (s.a.w) katika kuanzisha Dola ya Kiislamu Madinah
Kuanzishwa kwa Dola ya Kiislamu Madinah.
Soma Zaidi...