Maswali kuhusu Quran
Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Zoezi la 5.
- (a) Orodhesha majina matano ya Qur’an unayoyafahamu.
(b) Kwa kutumia ushahidi wa aya, onyesha kuwa Qur’an ilishushwa katika usiku Mtukufu wenye cheo.
- (a) Eleza hatua mbili za kushushwa Qur’an.
(b) Fafanua hatua zilizotumika katika kuihifadhi Qur’an wakati Mtume (s.a.w).
- Onyesha hekima ya Qur’an kushushwa kidogo kidogo na hatua kwa hatua.
- Andika tafsiri ya Suratul-Lahab, kisha toa mafunzo yake kwa muhtasari.
- ‘Nusura ya Mwenyezi Mungu inapokuja watu huingia katika Uislamu makundi kwa makundi’. Toa ushahidi huu kwa kurejea historia ya Mtume (s.a.w) alipokuwa mji wa Makkah na Madinah.
- Kwa kurejea Suratul-Kafiruun, eleza kwa ufupi mafunzo yatokanayo na sura hiyo.
- “Adhabu kali itawathubutikia wale wanao swali, (Wale) ambao wanapuuza swala zao…..” (107:4-5).
Kwa mujibu wa aya hii, onyesha jinsi waislamu wa leo wanavyopuuza swala zao.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Madrasa kiganjani π2 Kitau cha Fiqh π3 Simulizi za Hadithi Audio π4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π5 ai web app π6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Nabii Ibrahiim(a.s) Afanywa Kiongozi wa Harakati za Uislamu Ulimwenguni
βNa (kumbukeni habari hii) Mola wake alipomfanyia mtihani (Nabii) Ibrahiim kwa amri nyingi; naye akazitimiza.
Soma Zaidi...MJADALA JUU YA NDOA YA MTUME S.A.W NA BI KHADIJA (HADIJA)
LAKINI UMRI WANGU MKUBWABaada ya kuwaza na kufikiri muda mrefu, bibi Khadija (Radhiya Llahu anha) akafikia uamuzi wa kutaka kuolewa na Muhammad (Swalla Laahu alayhi wa sallam).
Soma Zaidi...Mtume Muhammad alelewa na mama yake mzazi akiwa na umri wa miaka 4.
Sura na historia ya Mtume Muhammad S.A.W sehemu ya 8. Hapa utajifunza malezi ya Mtume kutokakwa Halimavkuja kwa mama yake.
Soma Zaidi...