Maswali kuhusu Quran
Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Zoezi la 5.
- (a) Orodhesha majina matano ya Qur’an unayoyafahamu.
(b) Kwa kutumia ushahidi wa aya, onyesha kuwa Qur’an ilishushwa katika usiku Mtukufu wenye cheo.
- (a) Eleza hatua mbili za kushushwa Qur’an.
(b) Fafanua hatua zilizotumika katika kuihifadhi Qur’an wakati Mtume (s.a.w).
- Onyesha hekima ya Qur’an kushushwa kidogo kidogo na hatua kwa hatua.
- Andika tafsiri ya Suratul-Lahab, kisha toa mafunzo yake kwa muhtasari.
- ‘Nusura ya Mwenyezi Mungu inapokuja watu huingia katika Uislamu makundi kwa makundi’. Toa ushahidi huu kwa kurejea historia ya Mtume (s.a.w) alipokuwa mji wa Makkah na Madinah.
- Kwa kurejea Suratul-Kafiruun, eleza kwa ufupi mafunzo yatokanayo na sura hiyo.
- “Adhabu kali itawathubutikia wale wanao swali, (Wale) ambao wanapuuza swala zao…..” (107:4-5).
Kwa mujibu wa aya hii, onyesha jinsi waislamu wa leo wanavyopuuza swala zao.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
👉1 web hosting 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Kusingiziwa Nabii Sulaiman Uchawi
Pamoja na Ucha-Mungu aliokuwa nao Nabii Sulaiman watu hawakuacha kumsingizia mambo machafu.
Soma Zaidi...HISTORIA YA MTUME DHUL-KIFL(A.S)
Mtume Dhul-kifl ananasibishwa na Ezekiel anayetajwa ndani ya Biblia.
Soma Zaidi...