Maswali kuhusu Quran
Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Zoezi la 5.
- (a) Orodhesha majina matano ya Qur’an unayoyafahamu.
(b) Kwa kutumia ushahidi wa aya, onyesha kuwa Qur’an ilishushwa katika usiku Mtukufu wenye cheo.
- (a) Eleza hatua mbili za kushushwa Qur’an.
(b) Fafanua hatua zilizotumika katika kuihifadhi Qur’an wakati Mtume (s.a.w).
- Onyesha hekima ya Qur’an kushushwa kidogo kidogo na hatua kwa hatua.
- Andika tafsiri ya Suratul-Lahab, kisha toa mafunzo yake kwa muhtasari.
- ‘Nusura ya Mwenyezi Mungu inapokuja watu huingia katika Uislamu makundi kwa makundi’. Toa ushahidi huu kwa kurejea historia ya Mtume (s.a.w) alipokuwa mji wa Makkah na Madinah.
- Kwa kurejea Suratul-Kafiruun, eleza kwa ufupi mafunzo yatokanayo na sura hiyo.
- “Adhabu kali itawathubutikia wale wanao swali, (Wale) ambao wanapuuza swala zao…..” (107:4-5).
Kwa mujibu wa aya hii, onyesha jinsi waislamu wa leo wanavyopuuza swala zao.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 ai web app π2 Simulizi za Hadithi Audio π3 Madrasa kiganjani π4 Kitabu cha Afya π5 Kitau cha Fiqh π6 web hosting
π1 ai web app π2 Simulizi za Hadithi Audio π3 Madrasa kiganjani π4 Kitabu cha Afya π5 Kitau cha Fiqh π6 web hosting
Post zinazofanana:
Historia ya kujengwa kwa Alkabah (Maka)
Kama tulivyoona katika maisha ya Mtume Ibrahim(a.
Soma Zaidi...Nabii Ibrahiim(a.s) Afanywa Kiongozi wa Harakati za Uislamu Ulimwenguni
βNa (kumbukeni habari hii) Mola wake alipomfanyia mtihani (Nabii) Ibrahiim kwa amri nyingi; naye akazitimiza.
Soma Zaidi...Kazi na wajibu wa khalifa katika dola ya kiislamu
Kazi na Wajibu wa KhalifaKhalifa katika Serikali ya Kiislamu ndiye mtendaji mkuu wa Serikali kama alivyokuwa Mtume(s.
Soma Zaidi...