Maswali kuhusu Quran

Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Zoezi la 5.

  1. (a)  Orodhesha majina matano ya Qur’an unayoyafahamu.

(b)  Kwa kutumia ushahidi wa aya, onyesha kuwa Qur’an ilishushwa katika usiku Mtukufu wenye cheo.

  1. (a)  Eleza hatua mbili za kushushwa Qur’an.

(b)  Fafanua hatua zilizotumika katika kuihifadhi Qur’an wakati Mtume (s.a.w).

  1. Onyesha hekima ya Qur’an kushushwa kidogo kidogo na hatua kwa hatua.
  2. Andika tafsiri ya Suratul-Lahab, kisha toa mafunzo yake kwa muhtasari.
  3. ‘Nusura ya Mwenyezi Mungu inapokuja watu huingia katika Uislamu makundi kwa makundi’. Toa ushahidi huu kwa kurejea historia ya Mtume (s.a.w) alipokuwa mji wa Makkah na Madinah.
  4. Kwa kurejea Suratul-Kafiruun, eleza kwa ufupi mafunzo yatokanayo na sura hiyo. 
  5. “Adhabu kali itawathubutikia wale wanao swali, (Wale) ambao wanapuuza swala zao…..” (107:4-5). 

       Kwa mujibu wa aya hii, onyesha jinsi waislamu wa leo wanavyopuuza swala zao.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sira Main: Dini File: Download PDF Views 2567

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Watu waliovunja amri ya kuheshimu siku ya Jumamosi.

Katika zama za kale Mayahudi walikatazwa kufanya kazi siku ya Jumamosi.

Soma Zaidi...
Mafunzo kutokana na vita vya badri

Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
MTUME MUHAMMAD (S.A.W)ANAKUTANA NA BAHIRA (MTAWA WA KIYAHUDI)

KUKUTANA NA BAHIRA (MTAWA) WA KIYAHUDIMzee Abu talib alikuwa ni mfanya biashara, hivyoslikuwa akimchukuwa kijana wake kwenda kwenye biashara.

Soma Zaidi...
Mtume Muhammad s.a. w akutana na Bahira

Sura na historia ya Mtume Muhammad s.a. w sehemu ya 11

Soma Zaidi...
Bara arabu enzi za jahiliyyah, jiografia ya bara arabu

Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Mafunzo yatokanayo na kuanzishwa kwa dola ya uislamu madinah

Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Historia ya vita vya Muta

hii ni historia ya vita vya Muta. Katika makala hii utajifunza sababu ya vita hivi na yaliyojiri katika uwanja wa vita.

Soma Zaidi...