Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)
Zoezi la 7.
(b) Bainisha baadhi ya mambo aliyoyakuta Mtume (s.a.w) katika jamii ya waarabu wa Makkah zama za Jahiliyyah.
(b) Ni yapi mafunzo yatokanayo na Maandalizi ya Mtume (s.a.w) ya Ki-Ilhamu?
Kutokana na aya hizi ainisha mafunzo yatokanayo.
Kwa kutumia Hijra ya Mtume (s.a.w), mambo gani waislamu wa leo tunajifunza katika hatua za kuupigania Uislamu.
**********************************************
Wabillah Tawfiiq
**********************************
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Dini sahihi anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Historia na sura ya Mtume Muhammad, sehemu ya 10.
Soma Zaidi...Historia na sura ya Mtume Muhammad S.A.W sehemu ya 06. Hapa utajifunza kuhusu historia ya Mtume akiwa mtoto.
Soma Zaidi...