Magonjwa ya kuambukiza.

Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya kuambukiza, ni magonjwa ambayo yanaweza kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuweza kusababisha madhara yale yale kwa mtu aliyeambukizwa au anayeambukiza kwa hiyo Maambukizi yanaweza kuwa ya moja kwa moja au yasi

Namna Magonjwa ya kuambukiza yanavyosambaa.

1.Magonjwa haya yanaweza kuwa ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja kwa sababu ya moja kwa moja ni Maambukizi ya moja kwa moja kutoka kwa mtu au kwa kitu kinachoeneza ugonjwa kwa mfano Magonjwa ya kujamiiana, kugusana,kubusiana na mengine kama hayo .

 

2.Maambukuzi yasiyo ya moja kwa moja.

Kuna Maambukizi ambayo upitia kwa vitu au kitu na kufikia kwa mhusika na kuisambaza Magonjwa kwa mfano kupitia kwa wadudu ambao wanakuwa wamebeba magonjwa au kupitia kwa kitu chochote ambacho ubeba wadudu wanaosababisha magonjwa kwa mfano kwenye damu utakuta wadudu wanaosababisha homa ya ini, Ukimwi, magonjwa ya zinaa na mambo yote ambayo upitia kwenye damu.

 

3. Pengine wadudu wanaweza kupitia kwenye vimiminika na kusambazwa kwa mtu na akapata ugonjwa kwa mfano mtu akipiga chafya yale maji yanasambaa kwenye sehemu fulani ya mwili wa mwingine mtu huyo anaweza kupata magonjwa, au pengine wakati wa kukohoa, kubusiana na mambo kama hayo kwa hiyo tunapaswa kuwa makini na maji maji kutoka kwa mgonjwa kwenda kwa mtu mzima.

 

4. Pengine ugonjwa unaweza kusambaa kwa njia ya hewa ambapo kwa kitaalamu huitwa aibone diseases , magonjwa haya usambaa kwa njia ya hewa kwa hiyo tuwe makini  kwa watu tunaowahudunmmia ili kuepuka Maambukizi.

 

5. Kupitia kwa wadudu.

Hali hii utokea pale wadudu kama plasmodium, chawa na wengine na wanaosababisha ugumjwa kwa hiyo tunapaswa kuwalinda wagonjwa wetum

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 5339

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Fahamu aina mbalimbali za Magonjwa nyemelezi ya moyo

Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za Magonjwa ya moyo,kwa kawaida tunajua wazi kuwa kuna moyo mmoja lakini moyo huo unaweza kushambuliwa na magonjwa kwa kila aina kwa mfano kuna Maambukizi kwenye mishipa ya moyo,au kubadilika kwa mapigo ya moyo na m

Soma Zaidi...
Mtu anaye umwaaa UTI anaweza kuona siku zake?

Kutokuona siku zake mwanamke ni ishara kuwa kuna shida kwenye umfumo wa uzazi. Wakati mwingine kutokuona siku ni ishara ya baraka ya kupata mtoto. Ijapokuwa kuna wengine wanadiriki kutoa mimba kwa sababu zisizo za msingi. Je unadhani UTI inaweza kusababi

Soma Zaidi...
YAJUE MARADHI YA KISUKARI

Posti hii itakwenda kuelezea mambo machache kuhusu ugonjwa wa kisukari

Soma Zaidi...
Huduma kwa wenye Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia Watu wale ambao wana Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

Soma Zaidi...
Inakuwaje unafanya ngono na aliyeathirika na usipate UKIMWI?

Watu wengi wamekuwa na mawazo kuwa ili nipate ukimwi ninatakiwa nishiriki ngono zembe na aliyeathirika mara ngapi? Majibu ya swali hili ni mafupi tu, ni kuwa unaweza kuathirika kwa ngono zembe ya siku moja tu ndani ya dakika chache. Lakini jambo la kuzing

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa Brucellosis

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Brucellosis ni maambukizi ya bakteria ambayo huenea kutoka kwa wanyama hadi kwa watu mara nyingi kupitia maziwa ambayo hayajasafishwa au kuchemshwa vizuri na bidhaa zingine za maziwa. Mara chache zaidi, ba

Soma Zaidi...
Undetectable viral load ni nini?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya undetectable viral load

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo kitovuni na dalili zake

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo kitovuni na dalili zake

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu ambao kwa kitaalamu huitwa Dementia ugonjwa huu uwapata wale ambao umri umekwenda lakini kwa wakati mwingine Usababishwa na vitu mbalimbali kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa Saratani.

Saratani inahusu ugonjwa wowote kati ya idadi kubwa ya magonjwa ambayo yanaonyeshwa na ukuaji wa seli zisizo za kawaida ambazo hugawanyika bila kudhibitiwa na kuwa na uwezo wa kupenya na kuharibu tishu za kawaida za mwili. Saratani mara nyingi ina uwezo

Soma Zaidi...