Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya kuambukiza, ni magonjwa ambayo yanaweza kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuweza kusababisha madhara yale yale kwa mtu aliyeambukizwa au anayeambukiza kwa hiyo Maambukizi yanaweza kuwa ya moja kwa moja au yasi
1.Magonjwa haya yanaweza kuwa ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja kwa sababu ya moja kwa moja ni Maambukizi ya moja kwa moja kutoka kwa mtu au kwa kitu kinachoeneza ugonjwa kwa mfano Magonjwa ya kujamiiana, kugusana,kubusiana na mengine kama hayo .
2.Maambukuzi yasiyo ya moja kwa moja.
Kuna Maambukizi ambayo upitia kwa vitu au kitu na kufikia kwa mhusika na kuisambaza Magonjwa kwa mfano kupitia kwa wadudu ambao wanakuwa wamebeba magonjwa au kupitia kwa kitu chochote ambacho ubeba wadudu wanaosababisha magonjwa kwa mfano kwenye damu utakuta wadudu wanaosababisha homa ya ini, Ukimwi, magonjwa ya zinaa na mambo yote ambayo upitia kwenye damu.
3. Pengine wadudu wanaweza kupitia kwenye vimiminika na kusambazwa kwa mtu na akapata ugonjwa kwa mfano mtu akipiga chafya yale maji yanasambaa kwenye sehemu fulani ya mwili wa mwingine mtu huyo anaweza kupata magonjwa, au pengine wakati wa kukohoa, kubusiana na mambo kama hayo kwa hiyo tunapaswa kuwa makini na maji maji kutoka kwa mgonjwa kwenda kwa mtu mzima.
4. Pengine ugonjwa unaweza kusambaa kwa njia ya hewa ambapo kwa kitaalamu huitwa aibone diseases , magonjwa haya usambaa kwa njia ya hewa kwa hiyo tuwe makini kwa watu tunaowahudunmmia ili kuepuka Maambukizi.
5. Kupitia kwa wadudu.
Hali hii utokea pale wadudu kama plasmodium, chawa na wengine na wanaosababisha ugumjwa kwa hiyo tunapaswa kuwalinda wagonjwa wetum
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Mawe ya kibofu ni mkusanyiko mgumu wa madini kwenye kibofu chako. Mawe kwenye kibofu hukua wakati mkojo kwenye kibofu chako unapokolea, na kusababisha madini katika mkojo wako kung'aa.
Soma Zaidi...Katika makala hii utakwenda kuzijuwa baadhi ya dalili za ukimwi ama HIV kwa mwanamke
Soma Zaidi...Post hii inahusu dalili za uvimbe kwenye kinywa ambapo kitaalamu hujulikana Kama oral candidiasis Uvimbe kwenye kinywa husababisha vidonda vyeupe, kwa kawaida kwenye ulimi au mashavu ya ndani. Wakati mwingine uvimbe kwenye kinywa huweza ku
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo kitovuni na dalili zake
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na maambukizi ya tishu ya matiti ambayo husababisha maumivu ya matiti, uvimbe, joto na uwekundu. Pia unaweza kuwa na Homa na baridi. Ugonjwa huu huwapata zaidi wanawake wanaonyonyesha ingawa wakati mwingine hali hi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo mgonjwa wa ngiri anaweza kuzipata, kwa hiyo baada ya kusoma na kuelewa dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospitali mapema kwa ajili ya kupata matibabu.
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa madhara ya minyoo kwenye mwili wa binadamu. Yafuatayo Ni madhara ya minyoo;
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa ukoma, ni Ugonjwa unaosababishwa na mdudu anayeitwa mycobacterium leprae, mdudu huyu kwa kawaida uathiri sana sehemu za ngozi na sehemu za Neva mbalimbali za mwili
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi aina za ajali kwenye kifua,pamoja na kifua kuwa na sehemu mbalimbali na pia na ajali ambazo utokea Huwa za aina mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...