Hadathi Kubwa:
Hadath kubwa huwapata wanawake tu wanapokuwa na Hedhi (damu ya mwezi) au Nifasi (damu ya uzazi).
Yafuatayo yameharamishwa kwa wenye hadath kubwa:
(i)Kusali na Kutufu.
(ii)Kukaa Msikitini.
(iii)Kusoma Qur’an, kugusa na kuchukua msahafu (Qur-an)
(iv)Kufunga.
(v)Kufanya kitendo cha ndoa.
(vi)Kutalikiwa (kupewa talaka).
Namna ya kujitwaharisha na hadath ya kati na kati na hadath kubwa ni kukoga kwa maji safi kwa kutekeleza masharti na nguzo za kukoga josho la wajibu.
Masharti ya Kuoga
Masharti ya kuoga ni sawa tu na yale masharti ya udhu ila hapa yanahusu mwili mzima.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inakwenda kukufundisha aina za najis. Pia utajifunza aina za twahara katika uislamu
Soma Zaidi...kuna adhkari nyingi sana ambazo Mtume wa Allah ametutaka tuwe tunadumu nazo. lajkini kuna adhkari ambayo imekusanya maneno matukufu na yanayopendwa sana na Allah.
Soma Zaidi...Ugumba ni “ugonjwa wa mfumo wa uzazi unaofafanuliwa kwa kushindwa kupata ujauzito baada ya miezi 12 au zaidi ya kujamiiana bila kinga mara kwa mara. Utasa kutoweza kwa kiumbe hai kufanya uzazi wa ngono au kutoweza kupata mimba au kuchangia mimba.
Soma Zaidi...Fahamu darsa mbalimbali za fiqh kama swala, twahara, zaka pamoja na funga. Zijuwe sharti za swala, funga na zaka.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu jinsi yavkutayamamu.
Soma Zaidi...Uchumi wa uislamu umeweka taratibu mbalimbali katika kuchuma mali.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...