Mafunzo ya database kwa utumia software ya MySQL kwa lugha ya kiswahili na hili ni somo la 7.
SOMO LA SABA
Katika somo lililotangaulia tumejifunza namna ya kutengeneza table. Sasa katika somo hili tutajifunza jinsi ya kuedit jina la table, kufuta. Tutafanya haya kwa kutumia MySQL na kwa kutumia SQL command. Kabla hujaanza somo hili tengeneza table nyingine kisha iite text. Table hiyo ndio tunakwenda kuifanyia mazoezi ya kuiedit jina na kuifuta. Fuata maelekezo ya somo lililotangulia kutengeneza table.
Jinsi ya kubadili jina la table kwenye MySQL
Tunabadili jina kwa sababu maalumy, huwenda jina la mwanzo ni gumu sana ama haliendani na data ambazo zipo kwenye database. Ama linafanana na table nyingine ambayo unataka kuitengeneza. Ili kufanya hivi yaani kubadili jina fuata hatuwa zifuatazo:-
Tengeneza Table kwa kutumia command hii
CREATE TABLE IF NOT EXISTS test (
id INT,
name VARCHAR (255),
aka VARCHAR (255)
)
1. Kubadili jina la table kwa kutumia SQL command
Sasa kama huhitaji kutumia MySQL interface kufanya hivyo unaweza kutumia SQL fuata hatuwa zifuatazo:-
1. Funguwa uwanja wa SQL
2. Kubadili jina la column
Chukulia unataka kubadili jina la column lmfano katika katika table hiyo tuliotoka kuirename ina column tatui mabzo ni id, name na aka. Sasa tunataka kubadili name tuweke firstname badala ya kuwa nme. Kufanya hivi kwa kutumia MySQL fuata hatuw zifuatazo:-
3. Kubadili jina la column kwa kutumia SQL
Tofauti na kupitia hatuwa hizo nyingi kwa kutumia SQL unaweza kubadili kwa haraka zaidi. Kufanya hivo fata hatuwa zifuatazo:-
4. Kuongeza column kwenye table
Sasa kuna jambo hili. Baada ya kutengeneza table kumbe ukahitaji kuongeza column. Let say kwa mfano katika table yetu ya jaribio kuna column tunataka kuiongeza kwa ajili ya kkuweka namba za simu. Na tunataka kuiita phone. Kufanya hivi fata hatuwa zifuatazo kwa kutumia MySQL:-
5. Kuongeza column kwa kutumia SQL
Sasa tunakwenda kuongeza column nyingine ambayo tutaiita jinsia. Tutakwenda kutumia SQL kufanya haya. Hivyo baada ya hapa table yetu itakuwa na column 5. fata hatuwa zifuatazo:-
6. Kufuta column kwa kutumia MySQL
Sasa unataka kufuta moja ya colun baada ya kuona haina kazi. Kufanya hivi ni rahisi sana . fanya hivi:-
7. Kufuta column kwa kutumia SQL
Kufuta column kw akutumia SQL. Kufanya hivi kwa command za SQL fuata hatuwa hizi:-
Tukutane somo la nane tutakapojifunz ajinasi ya kuweka data kwenye database. Hakikisha kablya ya kuingia somo la nane somo la sita umelielewa vyema vinginevyo utasumbuka.
Mafunzo haya yamekujia kwa ihsani ya Bongoclass
Web: www.bongoclass.com
Email: mafunzo@bongoclass.com
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo la 10 mafunzo ya php level 1. Katika somo hili utajifunza kuhusu condition statement.
Soma Zaidi...Haya ni mafunzo ya muda mfupi katika kujifunza hasa ujuzi wa kutengeneza Android App hata kama haujui kitu kuhusiana na Android Development
Soma Zaidi...Karibu tena katika mafunzo yetu, na huu ni mwanzo wa mafunzoya DATABASE kwa kutumia MYSQL kwa lugha ya kiswahili. Na hili ni somo la kwanza, katka somo hili utajifunza jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya mafunzo.
Soma Zaidi...Huuu ni muendeleo wa mafunzo ya database kwa lugha ya kiswahili, na hili ni somo la nane. Katika somo hli utajifunza namna ya kuweka taarifa kwenye database, kuzfuta na kuziediti yaani kuzifanyia marekebisho.
Soma Zaidi...Somo la nane mafunzo ya php, katika somo hili utajifunza kuhusu array na jinsi ya kutengeneza array.
Soma Zaidi...Karibu tena katika somo la nne la mafunzo ya HTML level2 html full course for beginners. Katika somo hili utajifunza kuhusu attributes na namna zinavyofanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hili la 8 mafunzo ya html level 8 utajifunza jinsi ya kuhost project ya html na kuwa live, watu wakaipitia na kusoma maudhui yake.
Soma Zaidi...hili ni somo la tatu katika masomo ya php level 1. Hapa utajifunza zaidi kuhusu variable na namna ya kuitengeneza.
Soma Zaidi...Haya ni mafunzo ya php na hili ni somo la tano. Katika somovhili utajifunza namna ya kutengeneza functions.
Soma Zaidi...Huu ni muendelezo wa mafunzo ya Database kwa kutumia MySQL na hili ni somo la 10. katika somo hili tutakwenda kuendelea namna ya kupangilia muonekano wa data zako kwenye database.
Soma Zaidi...