Mafunzo ya database kwa utumia software ya MySQL kwa lugha ya kiswahili na hili ni somo la 7.
SOMO LA SABA
Katika somo lililotangaulia tumejifunza namna ya kutengeneza table. Sasa katika somo hili tutajifunza jinsi ya kuedit jina la table, kufuta. Tutafanya haya kwa kutumia MySQL na kwa kutumia SQL command. Kabla hujaanza somo hili tengeneza table nyingine kisha iite text. Table hiyo ndio tunakwenda kuifanyia mazoezi ya kuiedit jina na kuifuta. Fuata maelekezo ya somo lililotangulia kutengeneza table.
Jinsi ya kubadili jina la table kwenye MySQL
Tunabadili jina kwa sababu maalumy, huwenda jina la mwanzo ni gumu sana ama haliendani na data ambazo zipo kwenye database. Ama linafanana na table nyingine ambayo unataka kuitengeneza. Ili kufanya hivi yaani kubadili jina fuata hatuwa zifuatazo:-
Tengeneza Table kwa kutumia command hii
CREATE TABLE IF NOT EXISTS test (
id INT,
name VARCHAR (255),
aka VARCHAR (255)
)
1. Kubadili jina la table kwa kutumia SQL command
Sasa kama huhitaji kutumia MySQL interface kufanya hivyo unaweza kutumia SQL fuata hatuwa zifuatazo:-
1. Funguwa uwanja wa SQL
2. Kubadili jina la column
Chukulia unataka kubadili jina la column lmfano katika katika table hiyo tuliotoka kuirename ina column tatui mabzo ni id, name na aka. Sasa tunataka kubadili name tuweke firstname badala ya kuwa nme. Kufanya hivi kwa kutumia MySQL fuata hatuw zifuatazo:-
3. Kubadili jina la column kwa kutumia SQL
Tofauti na kupitia hatuwa hizo nyingi kwa kutumia SQL unaweza kubadili kwa haraka zaidi. Kufanya hivo fata hatuwa zifuatazo:-
4. Kuongeza column kwenye table
Sasa kuna jambo hili. Baada ya kutengeneza table kumbe ukahitaji kuongeza column. Let say kwa mfano katika table yetu ya jaribio kuna column tunataka kuiongeza kwa ajili ya kkuweka namba za simu. Na tunataka kuiita phone. Kufanya hivi fata hatuwa zifuatazo kwa kutumia MySQL:-
5. Kuongeza column kwa kutumia SQL
Sasa tunakwenda kuongeza column nyingine ambayo tutaiita jinsia. Tutakwenda kutumia SQL kufanya haya. Hivyo baada ya hapa table yetu itakuwa na column 5. fata hatuwa zifuatazo:-
6. Kufuta column kwa kutumia MySQL
Sasa unataka kufuta moja ya colun baada ya kuona haina kazi. Kufanya hivi ni rahisi sana . fanya hivi:-
7. Kufuta column kwa kutumia SQL
Kufuta column kw akutumia SQL. Kufanya hivi kwa command za SQL fuata hatuwa hizi:-
Tukutane somo la nane tutakapojifunz ajinasi ya kuweka data kwenye database. Hakikisha kablya ya kuingia somo la nane somo la sita umelielewa vyema vinginevyo utasumbuka.
Mafunzo haya yamekujia kwa ihsani ya Bongoclass
Web: www.bongoclass.com
Email: mafunzo@bongoclass.com
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!
Umeionaje Makala hii.. ?
katika somo hili la tano kwenye mafunzo ya HTML level 1 utajifunza jinsi ya 1.Kuweka picha 2.Kuweka rangi 3.Kuweka linki 4.Kupangilia position na alignment ya maandishi 5.Kuongeza ukubwa wa herufi 6.Kukoment
Soma Zaidi...Katika somo hilivutajifunza namna ya kutumia HTML form. Namna ya kuookea taarifa kutoka kwenye madodoso ya html form.
Soma Zaidi...Haya ni mafunzo ya HTML kwa wanaoanza level ya kwanza, na hili ni somo la kwanza katika masomo 8 yatakayokujia katika mtiririko wa course hii.
Soma Zaidi...Haya ni mafunzo ya php na hili ni somo la tano. Katika somovhili utajifunza namna ya kutengeneza functions.
Soma Zaidi...Hili ni somo la saba, mafunzo ya php level 1. Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe.
Soma Zaidi...Haya ni mafunzo ya muda mfupi katika kujifunza hasa ujuzi wa kutengeneza Android App hata kama haujui kitu kuhusiana na Android Development
Soma Zaidi...Hapa utajifunza utofauti kati ya php constant na variable. Na hili ni somo la nane katika mfululizo wa masomo haya ya php level 1.
Soma Zaidi...Karibu tena katika mafunzo haya ya html level 2 na hili ni somo la 5. Katika somo hili utajifunza zaidi kuhusu kuweka style kwenye html file.
Soma Zaidi...Somo la 10 mafunzo ya php level 1. Katika somo hili utajifunza kuhusu condition statement.
Soma Zaidi...Karibu kwenye mafunzo ya PHP level 1 na hili ni somo la kwanza. Hapa utajifunza maana ya php, inavyofanya kazi pamoja na historia yake kwa ufupi
Soma Zaidi...