Posti hii inahusu zaidi tatizo la kuwepo kwa asidi nyingi mwilini hali uwasumbua watu wengi na kufikia kiasi cha kusababisha madhara mengine mawilini ikiwamo pamoja na kansa ya koo, ili kujua kama una wingi wa asildi mwilini unapaswa kujua dalili kama ifu
1. Dalili ya kwanza ni kupata vipele kwenye koo.
Kwa kawaida watu wenye asidi nyingi huwa na vidonda kwenye koo vidonda hivyo vinaweza kutibika na kupona lakini tatizo la asidi kama halijashughulikiwa vidonda ujirudia mara kwa mara na pia kama mtu anapata vidonda vya mara kwa mara kooni ni vizuri kuangalia tatizo la asidi mwilini.
2. Kuhisi kama kuna kitu kinababa kooni.
Kwa wakati mwingine unaweza kuona unabanwa kooni au kama kuna kitu kinakuniga jaribu kuwaona wataalamu wa afya ili kuweza kuweza kuangalia tatizo la asidi mwilini.
3. Kuhisi chakula kinarejea mdomoni.
Kuna wakati mwingine unaweza kuwa unakula na ukameza ila ukahisi labda chakula kinataka kurudi ila hauna kichefuchefu na inawezekana kabisa kuwa na Dalili za kuwepo kwa asidi mwilini.
4. Kupata kiungulia mara kwa mara.
Kuna wakati mwingine unaweza kupata kiungulia hata kama umemaliza mda mrefu,na ukatumia madawa mbalimbali na mengi bila kupata nafuu yoyote kwa hiyo unapaswa kuangalia kiwango cha asidi mwilini.
5. Kuna kipindi tumbo linajaa sana gesi na wakati mwingine linaambatana na kunguruma, hali inayosababisha pengine mtu kukosa hata hamu ya kula , kwa hiyo ni vizuri kabisa kugundua tatizo ni lipi.
6. Kuna wakati mwingine kifua kinabana sana na kuambatana na maumivu kwa mgonjwa, utakuta matibabu mengi yanakuwa katika kutibu kifua na hakuna nafuu yoyote ila tatizo unakuta ni kujaa kwa gesi kwenye mwili.
7. Tumbo kuwaka moto.
Kuna wakati mwingine tumbo linawaka moto kama mgonjwa wa vidonda vya tumbo na pengine matibabu ya vidonda vya tumbo ufanyika kwa mda mrefu bila msaada wowote ila baadae unakuta ni kuwepo kwa asidi mwilini.
8. Tunapaswa kujua kuwa tatizo hili lipi na lina dalili kama Magonjwa mengine hasa hasa kama vidonda vya tumbo na pia kifua, ikitokea matibabu yanafanyika na hakuna matokeo yoyote ya kupona ni vizuri kabisa kupima na kuangalia kama kuna kiwango kikubwa cha asidi mwilini.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili na Sababu za Homa ya manjano ya watoto wachanga ni kubadilika rangi kwa manjano katika ngozi na macho ya mtoto mchanga. Homa ya manjano ya mtoto hutokea kwa sababu damu ya mtoto ina ziada ya rangi ya
Soma Zaidi...Kutokwa na mate mengi mdomoni si ugojwa ni hali inayoweza kutokea kwa mtu yeyote. Mara nyingi hali hii haihitaji matibabu wa dawa, na huondoka yenyewe. Lakini hutokea baadhi ya nyakati ikawa mate yanatoka zaidi mdomoni. Je na wewe ni miongoni mwao? Makala
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kupunguza ugonjwa wa pressure au shinikizo la damu kwa waliokwisha kupata wanaweza kupunguza na kwa wake ambao hawajapata ni nzuri inawasaidia kuepuka hatari ya kupata ppresha.
Soma Zaidi...Dalili za HIV zina utofauti na dalili za UKIMWI. Kwani HIV huwezakuonyesha dalili wiki ya pili hadi ya sita baada ya kuathirika kisha zinapotea, lakini dalili za UKIMWI huwezakutokea baada ya miaka 5 hadi 10.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna au njia za kuepuka na Ugonjwa huu wa ngiri ambao uleta madhara kwa watoto, vijana na watu wazima, kwa hiyo ili tuweze janga hili ni lazima tufanye yafuatayo.
Soma Zaidi...Habari, samahani ninasumbuliwa Sana na mapunye ya kichwani nimetumia dawa takribani miaka 3 ila yanapona Tena baada ya Muda flani yanatokea.
Soma Zaidi...Tetekuwanga (varisela) ni maambukizi ya virusi ambayo husababisha kuwasha, upele kama vile malengelenge. Tetekuwanga huambukiza sana watu ambao hawajapata ugonjwa huo wala kupewa chanjo dhidi yake. Kabla ya chanjo ya kawaida ya tetekuwanga, karibu watu
Soma Zaidi...Post hii inazungumzia kuhusiana na Sababu zinazopelekea kuvimba kwa kope, kawaida huhusisha sehemu ya kope ambapo kope hukua na kuathiri kope zote mbili. Pia hutokea wakati tezi ndogo za mafuta ziko karibu na msingi wa kope huziba. Hii inasababisha kuw
Soma Zaidi...postii hii inshusiana na dalili na matatizo ya pepopunda. Pepopunda ni ugonjwa hatari wa kutishia maisha unaosababishwa na sumu ya tetanospasmin inayozalishwa katika majeraha yaliyoambukizwa na kizuizi cha bacillus clostridia. Bakteria ya pepopunda hu
Soma Zaidi...Ni ngumu kujuwa vidonda vya tumbo uhakika wake bila ya kupata vipimo. Unajuwa ni kwa nini, ni kwa sababu maumivu ya tumbo ni dalili ya shida nyingi za kiafya kama ujauzito, mimba, typhod, na shida kwenye unfumo wa chakula.
Soma Zaidi...