Uwepo wa asidi nyingi mwilini

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kuwepo kwa asidi nyingi mwilini hali uwasumbua watu wengi na kufikia kiasi cha kusababisha madhara mengine mawilini ikiwamo pamoja na kansa ya koo, ili kujua kama una wingi wa asildi mwilini unapaswa kujua dalili kama ifu

Dalili za asidi nyingi mwilini.

1.  Dalili ya kwanza ni kupata vipele kwenye koo.

Kwa kawaida watu wenye asidi nyingi huwa na vidonda kwenye koo vidonda hivyo vinaweza kutibika na kupona lakini tatizo la asidi kama halijashughulikiwa vidonda ujirudia mara kwa mara na pia kama mtu anapata vidonda vya mara kwa mara kooni ni vizuri kuangalia tatizo la asidi mwilini.

 

2. Kuhisi kama kuna kitu kinababa kooni.

Kwa wakati mwingine unaweza kuona unabanwa kooni au kama kuna kitu kinakuniga jaribu kuwaona wataalamu wa afya ili kuweza kuweza kuangalia tatizo la asidi mwilini.

 

3. Kuhisi chakula kinarejea mdomoni.

Kuna wakati mwingine unaweza kuwa unakula na ukameza ila ukahisi labda chakula kinataka kurudi ila hauna kichefuchefu na inawezekana kabisa kuwa na Dalili za kuwepo kwa asidi mwilini.

 

4. Kupata kiungulia mara kwa mara.

Kuna wakati mwingine unaweza kupata kiungulia hata kama umemaliza mda mrefu,na ukatumia madawa mbalimbali na mengi bila kupata nafuu yoyote kwa hiyo unapaswa kuangalia kiwango cha asidi mwilini.

 

5. Kuna kipindi tumbo linajaa sana gesi na wakati mwingine linaambatana na kunguruma, hali inayosababisha pengine mtu kukosa hata hamu ya kula , kwa hiyo ni vizuri kabisa kugundua tatizo ni lipi.

6. Kuna wakati mwingine kifua kinabana sana na kuambatana na maumivu kwa mgonjwa, utakuta matibabu mengi yanakuwa katika kutibu kifua na hakuna nafuu yoyote ila tatizo unakuta ni kujaa kwa gesi kwenye mwili.

 

7. Tumbo kuwaka moto.

Kuna wakati mwingine tumbo linawaka moto kama mgonjwa wa vidonda vya tumbo na pengine matibabu ya vidonda vya tumbo ufanyika kwa mda mrefu bila msaada wowote ila baadae unakuta ni kuwepo kwa asidi mwilini.

 

8. Tunapaswa kujua kuwa tatizo hili lipi na lina dalili kama Magonjwa mengine hasa hasa kama vidonda vya tumbo na pia kifua, ikitokea matibabu yanafanyika na hakuna matokeo yoyote ya kupona ni vizuri kabisa kupima na kuangalia kama kuna kiwango kikubwa cha asidi mwilini.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 7307

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Ugonjwa wa kiseyeye upoje na ni zipi dalili zake

ugonjwa wa kiseyeye, chanzo chake vipi unatokea na ni zipi dalili zake. Yote haya utayapata hapa

Soma Zaidi...
Halow samahan dokta nmekuwa nikiumwa tumbo muda mwingi takriban wiki ya 3 halipon naharisha kuna muda nikila chakula hata kama kdogo tu maumivu makali,je nifanyaje msaada

Mvurugiko katika mfumo wa chakula mwilinivunaweza kusababisha maumivu ya tumbo, kuharisha, kutapika na kuchoka pia. Lakini zipo sababu nyingine kama kuwana ujauzito. Nini ufanye endapo unasumbuliwana hali hii

Soma Zaidi...
Shida ya kifua kubana inaweza kuwa dalili ya maambukizi ya ukimwi

Kubana kwa kifuwa ni katika hali ambazo si naweza kuhatarisha maisha. Huwenda kuwa ni miongoni mwa dalili za magonjwa mengi. Je unadhani na HIv na UKIMWI ni moja ya magonjwa hayo?

Soma Zaidi...
Mbinu za kupunguza Magonjwa ya kuambukiza.

Posti hii inahusu zaidi mbinu mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza kiwango cha kuwepo kwa magonjwa ya kuambukiza, kwa hiyo zifuatazo ni mbinu ambazo zinapaswa kutumika ili kupunguza kiwango cha magonjwa ya kuambukiza.

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo kwa chini uapande wa kushoto

Zijuwe sababu kuu zinazokufanya ukahisi maumivu makali ya tumbo kwa chini upande wa kushoto

Soma Zaidi...
Maambukizi ya H.pylori (Vidonda vya tumbo)

Maambukizi ya H. pylori hutokea wakati aina ya bakteria inayoitwa Helicobacter pylori (H. pylori) inapoambukiza tumbo lako. Hii kawaida hutokea wakati wa utoto. Sababu ya kawaida ya Vidonda vya tumbo, maambukizi ya H. pylori yanaweza kuwa katika za

Soma Zaidi...
Matatizo yanayosababisha mshtuko wa moyo.

Mshtuko wa moyo hutokea wakati mtiririko wa damu kwa moyo umezuiwa, mara nyingi kwa mkusanyiko wa mafuta, cholesterol na vitu vingine, ambayo huunda plaque katika mishipa inayolisha moyo (mishipa ya moyo). Mtiririko wa damu ulioingiliwa unaweza kuharibu

Soma Zaidi...
Njia za kupambana na saratani

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na saratani

Soma Zaidi...
Je kwa mfano mimi nmeupata ukimwi leo na sihitaji kwenda kupima yaaan uanza kujionyesha baada ya muda gani

Watu wengi wamekuwa wakijiuliza kuwa ukimwi huonekana baada ya muda gani toka kuathirika?

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia ugonjwa wa kisonono

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo utumiwa Ili kuweza kuzuia kuwepo ugonjwa wa kisonono, kwa kufuata njia hizi ugonjwa huu wa kisonono unaweza kupungua kwa kiasi au kuisha kabisa.

Soma Zaidi...