Madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa,ni madhara ambayo utokea endapo Maambukizi kwenye mifupa yasipotibiwa kwa mda wake.

Madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa.

1. Kuharibika na kusagika kabisa kwa mifupa.

Endapo Maambukizi kwenye mifupa hayataweza kutibiwa mapema kuna hatari ya kuaribika na kusagika kabisa kwa mifupa  hali hii  usababisha ulemavu wa kudumu kwa mgonjwa, hasa hasa ni hatari kwa watoto wanaweza kushindwa kutembea na hatimaye maisha yao yakawa ni kulala kwa mda wote.

 

2. Maambukizi kwenye mifupa yanaweza kusababisha kansa ya mifupa.

Kwa sababu ya kuwepo kwa bakteria ambao usababisha Mashambulizi na hali ikiongezeka bila ya kutibiwa usababisha kansa ya mifupa, ambayo uweza kuleta matokeo hasi ambayo ni pamoja na kupoteza maisha kwa mgonjwa, kwa hiyo tunapaswa kutibu mara moja ugoy huu ikiwa umegundulika mapema.

 

3. Maambukizi kwenye mifupa usababisha kuoza kwa mifupa, hali hii utokea kwa sababu ya Maambukizi ya mda mrefu ya bakteria ambapo bakteria ushambulia  hasa mifupa na kusababisha maji maji ambayo Yamo kwenye mifupa kuisha au kubaki kidogo na hatimaye mifupa kuoza, hali hii umfanya mgonjwa kushinda amelala kwenye sehemu moja tu na kushindwa kufanya shughuli zake za kila siku.

 

4. Kutokea kwa ulemavu wa kudumu.

Kwa sababu ya Maambukizi kwenye mifupa kunakuwepo na ulemavu wa kudumu hali hii utokea kwa sababu Maambukizi yameshambulia sehemu moja na nyingine kidogo kwa hiyo mgonjwa utembelea sehemu ambayo ina ka uhafadhari na sehemu nyingine inaweza kukosa msaada ndo maana utakuta mgonjwa kushika fimbo au kitu chochote cha kumsaidia kutembea.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1110

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Dalili za kuvimbiwa kwa watoto.

Kuvimbiwa kwa watoto ni shida ya kawaida. Kuvimbiwa kwa watoto mara nyingi huonyeshwa na kinyesi kisicho kawaida au kinyesi ngumu na kavu.

Soma Zaidi...
Madhara ya maambukizi kwenye tumbo

Posti hii inahusu zaidi madhara ya maambukizi kwenye tumbo,hasa pale ambapo mgonjwa hakutibiwa

Soma Zaidi...
Huduma kwa walio na matatizo ya asili nyingi mwilini

Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wale ambao tayari wameshakuwa na tatizo la asidi mwilini, ni njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza tatizo hili au Mgonjwa anapoendelea kupata matibabu.

Soma Zaidi...
NI WATU GANI WALIO HATARINI ZAIDI KUPATA UKIMWI?

Post hii itakwena kukufundisha kuhusu historia fupi ya Ukimwi na matibabu yake. Ni wapi wapo hatarini kupata maambukizi na ni kitu gani wafanye?

Soma Zaidi...
KISUKARI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Dalili za saratani ya kwenye Njia ya haja kubwa.

Saratani ya kwenye Njia ya haja kubwa ni aina isiyo ya kawaida ambayo kitaalamu hujulikana Kama saratani ya mkundu.Mfereji wa mkundu ni mirija fupi iliyo mwisho wa puru yako ambayo kinyesi hutoka mwilini mwako. Saratani ya kwenye Njia ya  ha

Soma Zaidi...
Dalili za sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia)

sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia) huhusishwa kwa kawaida na matibabu ya Kisukari. Hata hivyo, hali mbalimbali, nyingi zikiwa nadra, zinaweza kusababisha sukari ya chini ya damu kwa watu wasio na Kisukari. Kama vile Homa, Hy

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi sababu za uti wa mgongo, ni ugonjwa unaotokana na kuwa na maumivu kwenye uti wa mgongo, hasa hasa ugonjwa huu ushambulia watu kuanzia miaka ishilini mpaka kwenye arobaini hivi, zifuatazo ni sababu za maumivu katika uti wa mgongo.

Soma Zaidi...
Maradhi ya Ini na dalili zake, na vipi utajikinga nayo

MAGONJWA YA INI NA DALILIZAKE, NA KUKABILIANA NAYO Ini ni katika viungo vikuu katika mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...