Madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa.

Madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa,ni madhara ambayo utokea endapo Maambukizi kwenye mifupa yasipotibiwa kwa mda wake.

Download Post hii hapa

Madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa.

1. Kuharibika na kusagika kabisa kwa mifupa.

Endapo Maambukizi kwenye mifupa hayataweza kutibiwa mapema kuna hatari ya kuaribika na kusagika kabisa kwa mifupa  hali hii  usababisha ulemavu wa kudumu kwa mgonjwa, hasa hasa ni hatari kwa watoto wanaweza kushindwa kutembea na hatimaye maisha yao yakawa ni kulala kwa mda wote.

 

2. Maambukizi kwenye mifupa yanaweza kusababisha kansa ya mifupa.

Kwa sababu ya kuwepo kwa bakteria ambao usababisha Mashambulizi na hali ikiongezeka bila ya kutibiwa usababisha kansa ya mifupa, ambayo uweza kuleta matokeo hasi ambayo ni pamoja na kupoteza maisha kwa mgonjwa, kwa hiyo tunapaswa kutibu mara moja ugoy huu ikiwa umegundulika mapema.

 

3. Maambukizi kwenye mifupa usababisha kuoza kwa mifupa, hali hii utokea kwa sababu ya Maambukizi ya mda mrefu ya bakteria ambapo bakteria ushambulia  hasa mifupa na kusababisha maji maji ambayo Yamo kwenye mifupa kuisha au kubaki kidogo na hatimaye mifupa kuoza, hali hii umfanya mgonjwa kushinda amelala kwenye sehemu moja tu na kushindwa kufanya shughuli zake za kila siku.

 

4. Kutokea kwa ulemavu wa kudumu.

Kwa sababu ya Maambukizi kwenye mifupa kunakuwepo na ulemavu wa kudumu hali hii utokea kwa sababu Maambukizi yameshambulia sehemu moja na nyingine kidogo kwa hiyo mgonjwa utembelea sehemu ambayo ina ka uhafadhari na sehemu nyingine inaweza kukosa msaada ndo maana utakuta mgonjwa kushika fimbo au kitu chochote cha kumsaidia kutembea.

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1022

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

 TIBA YA MINYOO AU DAWA YA MINYOO: praziquantel (biltricide)  mebendazole (vermox, emverm) na albendazole (albenza).
TIBA YA MINYOO AU DAWA YA MINYOO: praziquantel (biltricide) mebendazole (vermox, emverm) na albendazole (albenza).

TIBA YA MINYOO Moja katika sifa za minyoo ni kuwa wanatibika kwa urahisi pindi mgonjwa akipewa dawa husika.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa kifaduro kwa watoto chini ya miaka mitano
Fahamu Ugonjwa wa kifaduro kwa watoto chini ya miaka mitano

post hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kifaduro ambao hujulikana Kama Pertussis pia inajulikana kama kifaduro ni maambukizi ya bakteria ambayo huingia kwenye pua yako na koo.

Soma Zaidi...
Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili?
Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili?

Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili? Hili ni swali lililoulizwa kuhusu vidonda vya tumbo, kuwa vinakaa wapi katika mwili.

Soma Zaidi...
Dalilili za polio
Dalilili za polio

Polio ni ugonjwa wa virusi unaoambukiza ambao katika hali mbaya zaidi husababisha kupooza, kupumua kwa shida na wakati mwingine kifo.

Soma Zaidi...
 Kivimba kwa utando wa pua
Kivimba kwa utando wa pua

post hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa utando wa pua unaoonyeshwa na mchanganyiko wa dalili zifuatazo: Kupiga chafya Msongamano wa pua Muwasho wa kiwambo cha sikio Kuwasha kwa pua na koromeo Uvimbe huu hutokea ikiwa mashambulizi ya kupiga chafya,

Soma Zaidi...
Sababu  za  kuvimba na maumivu kwenye korodani moja au zote mbili
Sababu za kuvimba na maumivu kwenye korodani moja au zote mbili

Post yetu ya Leo inaenda kutufundisha kuhusiana na uvimbe wa korodani moja au ambayo kitaalamu huitwa EPIDIDYMITIS. EPIDIDYMITIS ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa kiume wa uzazi. Epididymis ni mrija (tube) uliyoko nyuma ya korodani ambayo mbegu za kiume

Soma Zaidi...
je Kama utaonekana kupatwa na homa,kichwa,tumbo, kiharisha kwa siku moja( ya kwanza) na vyote kupona siku nyingine (ya pili kupona) pasipo kutumia dawa inaweza kuwa Ni dalili ya ugonjwa wa zinaa ?
je Kama utaonekana kupatwa na homa,kichwa,tumbo, kiharisha kwa siku moja( ya kwanza) na vyote kupona siku nyingine (ya pili kupona) pasipo kutumia dawa inaweza kuwa Ni dalili ya ugonjwa wa zinaa ?

Homa ni moka ya dalili inayohusiana na maradhi mengi sana. Unaweza kuwa na homa ikawa pia si maradhi kumbe ni stress tu. Je unasumbuliwa na homa za mara kwamara, Makala hii ni kwa ajili yako

Soma Zaidi...
Viungo vinavyoathiriwa na malaria
Viungo vinavyoathiriwa na malaria

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya viungo vinavyoathiriwa na ugonjwa wa malaria

Soma Zaidi...