Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa,ni madhara ambayo utokea endapo Maambukizi kwenye mifupa yasipotibiwa kwa mda wake.
Madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa.
1. Kuharibika na kusagika kabisa kwa mifupa.
Endapo Maambukizi kwenye mifupa hayataweza kutibiwa mapema kuna hatari ya kuaribika na kusagika kabisa kwa mifupa hali hii usababisha ulemavu wa kudumu kwa mgonjwa, hasa hasa ni hatari kwa watoto wanaweza kushindwa kutembea na hatimaye maisha yao yakawa ni kulala kwa mda wote.
2. Maambukizi kwenye mifupa yanaweza kusababisha kansa ya mifupa.
Kwa sababu ya kuwepo kwa bakteria ambao usababisha Mashambulizi na hali ikiongezeka bila ya kutibiwa usababisha kansa ya mifupa, ambayo uweza kuleta matokeo hasi ambayo ni pamoja na kupoteza maisha kwa mgonjwa, kwa hiyo tunapaswa kutibu mara moja ugoy huu ikiwa umegundulika mapema.
3. Maambukizi kwenye mifupa usababisha kuoza kwa mifupa, hali hii utokea kwa sababu ya Maambukizi ya mda mrefu ya bakteria ambapo bakteria ushambulia hasa mifupa na kusababisha maji maji ambayo Yamo kwenye mifupa kuisha au kubaki kidogo na hatimaye mifupa kuoza, hali hii umfanya mgonjwa kushinda amelala kwenye sehemu moja tu na kushindwa kufanya shughuli zake za kila siku.
4. Kutokea kwa ulemavu wa kudumu.
Kwa sababu ya Maambukizi kwenye mifupa kunakuwepo na ulemavu wa kudumu hali hii utokea kwa sababu Maambukizi yameshambulia sehemu moja na nyingine kidogo kwa hiyo mgonjwa utembelea sehemu ambayo ina ka uhafadhari na sehemu nyingine inaweza kukosa msaada ndo maana utakuta mgonjwa kushika fimbo au kitu chochote cha kumsaidia kutembea.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kupatikana ikiwa mwili unaweza kujaa sumu, kwa sababu mwili unapaswa kuwa huru Ili kuweza kufanya vizuri kazi yake ila ikiwa utajaa Sumu Kuna hatari mbalimbali zinaweza kutokea kama vile.
Soma Zaidi...Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa vipele kwenye midomo na sehemu za siri .Ni ugonjwa ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster
Soma Zaidi...Katika post hii nitakwenda kukujuza kuhusu ugonjwa wa bawasiri
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za Maambukizi kwenye mifupa, ni dalili ambazo ukionyesha kwa mtu mwenye Maambukizi kwenye mifupa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya gonorrhea endapo haitotibiwa
Soma Zaidi...Pindi malaria isipotibiwa inaweza kufanya dalili ziendelee na hatimaye kusababisha kifo.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za presha ya kushuka
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukueleza ni nini hasa hizi figo, na ni yapi maradhi yake na ni kwa namna ggani utaweza kujilinda na maradhi ya figo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi ajalia ambazo utokea kwenye kifua Kwa kitaalamu huitwa chest injury,Kwa kawaida kwenye kifua kua sehemu mbalimbali kama vile mapafu,moyo,koo na sehemu mbalimbali, sehemu hizi uweza kupata ajali na kusababisha madhara makubwa,Kwa hiy
Soma Zaidi...