Huduma kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa

Huduma kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa

Posti hii inahusu zaidi msaada kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa, ni huduma anayopewa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Huduma kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa.

1. Kwanza mtoto akigunduliwa kubwa na tatizo la Maambukizi kwenye mifupa anapaswa kupewa antibiotics ambayo inatibu ugonjwa huu ni vizuri mtoto kupewa antibiotics kwenye mfumo wa maji yaani drip kwa kufanya hivyo bakteria wanaosababisha Maambukizi wanaweza kupunguza au kuondolewa.

 

2. Jaribu kumweka mtoto kwenye mkao mzuri zaidi ili kuweza kupunguza kiwango cha maumivu, kwa sababu ya Maambukizi kuna sehemu ambazo zinakuwa na maumivu kupita sehemu nyingine kwa hiyo sehemu hizo zinabidi kugundulika na kuepuka kukaliwa au kukaliwa, kwa hiyo mtoto anapaswa kuwekwa kwenye sehemu nzuri.

 

3. Kwa kuwa mtoto anakuwa kwenye drip na anakuwa na maumivu kwa hiyo anapaswa kupimwa joto la mwili, msukumo wa damu, mapigo ya moyo ili kuona kama kuna mabadiliko, kama joto la mwili liko juu mtoto anapaswa kushushwa joto la mwili kwa kutumia baadhi ya Dawa na maumivu kama vile paracetamol ili kuepuka matatizo mengine ambayo usababishwa na joto la mwili kuwa juu kama vile degedege na kupungukiwa kwa damu.

 

4, Hakikisha kama kuna kidonda kidonda kwenye mfupa kilichotokana na Maambukizi kimesafishwa kwa kufanya hivyo tunaweza kupunguza maumivu na kuongeza kiwango cha kupona haraka na pia vitu vyote vya kusafishia kidonda vinapaswa kuwepo ili kukifanya kipone haraka.

 

5. Kwa mtoto hakikisha unaangalia kiasi cha kilichoingia na kiasi kilichotoka, kwa kuangalia kiasi kilichoingia angalia maji anayokunywa, chai au uji na vitu vyote vya aina ya kumiminika vilivyoungia mwilini na pia anapaswa kuangalia kiasi kilichotoka kwa kuangalia mkojo uliotolewa na jasho kama limetoka tunafanya hivi ili kuzuia kuishiwa kwa maji mwilini.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 914

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Samaani nilikuwa nauriza ninasumburiwa na fanga ya mdomoni naomba ushauri
Samaani nilikuwa nauriza ninasumburiwa na fanga ya mdomoni naomba ushauri

Fangasi mdomoni wanaweza kuwa tatizo endapo hawatatibiwa mapema. Wanaweza kuongeza majeraha kwenye kinywa.

Soma Zaidi...
Sababu za Uvimbe wa tishu za Matiti kwa wavulana au wanaume
Sababu za Uvimbe wa tishu za Matiti kwa wavulana au wanaume

posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wa tishu za matiti kwa wavulana au wanaume, unaosababishwa na kutofautiana kwa homoni za estrojeni na testosterone. Pia unaweza kuathiri matiti moja au zote mbili, wakati mwingine bila usawa. Watoto wachanga,

Soma Zaidi...
Magonjwa ya moyo
Magonjwa ya moyo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu magonjwa ya moyo

Soma Zaidi...
 Dalili za maumivu yanayosababishwa na mtiririko mdogo wa Damu.
Dalili za maumivu yanayosababishwa na mtiririko mdogo wa Damu.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na maumivu yanayosababishwa na mtiririko mdogo wa damu, kwa kawaida wakati wa mazoezi. Wakati mwingine huitwa upenyo wa vipindi, hali hii kwa ujumla huathiri mishipa ya damu kwenye miguu, lakini upenyo unaweza kuathiri mi

Soma Zaidi...
Homa ya manjano, dalili za homa ya manjano na namna ya kujikinga na homa ya manjano
Homa ya manjano, dalili za homa ya manjano na namna ya kujikinga na homa ya manjano

HOMA YA MANJANO (yellow fever)Homa ya manjano ni maradhi yanayosababishwa na virusi na husambazwa na mbu.

Soma Zaidi...
Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili?
Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili?

Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili? Hili ni swali lililoulizwa kuhusu vidonda vya tumbo, kuwa vinakaa wapi katika mwili.

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo chini ya kifua, upande wa kulia na chini ya kitomvu.
Maumivu ya tumbo chini ya kifua, upande wa kulia na chini ya kitomvu.

Afya ya tumbo ni ishara tosha ya umadhibuti wa afya ya mtu. Maradhi mengi wanayouguwa watu chanzo kile mti anachokula. Yapo maradhi sugu kama saratani ambayo husababishwa pia na vyakula. Post hii itakwenda kujibu swalo la muulizaji kuhusu maumivu ya tumbo

Soma Zaidi...
vidonda vya tumbo
vidonda vya tumbo

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Matibabu ya fangasi
Matibabu ya fangasi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu matibabu ya fangasi

Soma Zaidi...