Ni kipindi au muda wa kungojea mwanamke aliyepewa talaka (aliyeachwa) au kufiwa na mumewe kabla ya kuolewa na mume mwingine.
Ni kipindi au muda wa kungojea mwanamke aliyepewa talaka (aliyeachwa) au kufiwa na mumewe kabla ya kuolewa na mume mwingine.
1. Eda ya kuachwa mwanamke ni twahara tatu au miezi mitatu kwa wasiopata hedhi.
2. Eda ya mke mwenye mimba, huisha atakapojifungua.
3. Eda ya mke aliyefiwa ni miezi minne na siku kumi (siku 130).
Hekima ya Kukaa Eda
- Ni kuwapa wawili (mume na mke) fursa na muda, huenda wakasuluhishana na kurejeana na kuendelea na maisha ya ndoa yao.
Rejea Qurβan (65:1)
- Ni kuthibitisha uhalali wa mtoto wa mume wa mwanzo asijepewa mume atakayefuatia.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Kustawi kwa Kampeni ya Kudhibiti UzaziMiongoni mwa sababu zilizosaidia kustawi kwa kampeni hii ni matokeo ya mapinduzi ya viwanda (Industrial revolution) ya huko Ulaya.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu lengo la kusimamisha swala.
Soma Zaidi...