Vita vya uhudi viliweza kuleta athari nyingi. Post hii itakuletea athari baadhi za vita hivyo.
1. Vifo vya waislamu.
2. Waislamu walitambuwa umuhimu wa kufuata amri ya Mtume katika hali zozote zile.
3. Uislamu ulipata nguvu zaidi baada ya kushinda vita.
4. Mali za waislamu waliokwenda vitani zilichukuliwa baada ya kupigwa
5. Mtume alijeruhiwa na kung'olewa meno
6. Kudhoofu kwa nguvu za makafiri baada ya kuuwawa viongozi wao kama Abujahal.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 1138
Sponsored links
π1 kitabu cha Simulizi
π2 Kitau cha Fiqh
π3 Madrasa kiganjani
π4 Kitabu cha Afya
Sababu za kutokubalika kwa vitabu vilivyotumwa kuwa muongozo sahihi wa maisha ya mwanadamu zama hizi
Soma Zaidi...
Ni ipi maana ya Imani katika Uislamu, na ni zipi sifa za muumini.
Katika Uislamu imani inanguzo kuu 6.Pia muumini anatakiwa ajipambe na sifa za waumini. Posti hii itakufundisha kuhusu imani katika Uislamu. Soma Zaidi...
mtazamo wa uislamu juu ya dini
Soma Zaidi...
Dalili na ishara za jeraha kwenye ngozi
Posti hii inaonyesha dalili,sababu na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyepata jeraha kwenye ngozi kwa kuingiliwa na kitu Kama mwiba,Pini,sindano n.k Soma Zaidi...
Dalili (Alama) za Qiyama
Soma Zaidi...
Kwa nini mwanadamu hawezi kuishi bila dini?
Mwanadamu hawezi kuishi bila dini, kwani dini imekusanya mfumo mzima wa maisha yake. Soma Zaidi...
UMBILE LA MBINGU NA ARDHI
βKatika kuumbwa mbingu na ardhi na mfuatano wa usiku na mchana,ziko alama (hoja) za kuonyesha kuwepo Allah (s. Soma Zaidi...
KUMUAMINI MWENYEZI MUNGU
Jifunze tawhid yaani kumpwekesha Allah subhaanah wata'aala Soma Zaidi...
Sifa za Wanafiki zilizotajwa katika Surat ahzab
Na waliposema wanafiki na wale wenye maradhi nyoyoni mwao, "Mwenyezi Mungu na Mtume wake hawakutuahidi ila udanganyifu tu. Soma Zaidi...
Shirk na aina zake
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Historia ya Mwanadamu
Soma Zaidi...
Nguzo za imani
Zifuatazo Ni nguzo za imani
(EDK form 2: elimu ya uislamu) Soma Zaidi...