Athari za vita vya Uhud

Vita vya uhudi viliweza kuleta athari nyingi. Post hii itakuletea athari baadhi za vita hivyo.

1. Vifo vya waislamu.

2. Waislamu walitambuwa umuhimu wa kufuata amri ya Mtume katika hali zozote zile. 

3. Uislamu ulipata nguvu zaidi baada ya kushinda vita. 

4. Mali za waislamu waliokwenda vitani zilichukuliwa baada ya kupigwa

5. Mtume alijeruhiwa na kung'olewa meno

6. Kudhoofu kwa nguvu za makafiri baada ya kuuwawa viongozi wao kama Abujahal. 

 



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021/11/10/Wednesday - 08:03:27 am     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1028


Download our Apps
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-