Athari za vita vya Uhud
Vita vya uhudi viliweza kuleta athari nyingi. Post hii itakuletea athari baadhi za vita hivyo.
1. Vifo vya waislamu.
2. Waislamu walitambuwa umuhimu wa kufuata amri ya Mtume katika hali zozote zile.
3. Uislamu ulipata nguvu zaidi baada ya kushinda vita.
4. Mali za waislamu waliokwenda vitani zilichukuliwa baada ya kupigwa
5. Mtume alijeruhiwa na kung'olewa meno
6. Kudhoofu kwa nguvu za makafiri baada ya kuuwawa viongozi wao kama Abujahal.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Kitau cha Fiqh π2 ai web app π3 Kitabu cha Afya π4 kitabu cha Simulizi π5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π6 Bongolite - Game zone - Play free game
π1 Kitau cha Fiqh π2 ai web app π3 Kitabu cha Afya π4 kitabu cha Simulizi π5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π6 Bongolite - Game zone - Play free game