Vita vya uhudi viliweza kuleta athari nyingi. Post hii itakuletea athari baadhi za vita hivyo.
1. Vifo vya waislamu.
2. Waislamu walitambuwa umuhimu wa kufuata amri ya Mtume katika hali zozote zile.
3. Uislamu ulipata nguvu zaidi baada ya kushinda vita.
4. Mali za waislamu waliokwenda vitani zilichukuliwa baada ya kupigwa
5. Mtume alijeruhiwa na kung'olewa meno
6. Kudhoofu kwa nguvu za makafiri baada ya kuuwawa viongozi wao kama Abujahal.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Kuua nafsi bila ya Haki, ni kuiua nafsi isiyo na kosa linalostahiki hukumu ya kifo.
Soma Zaidi...Hawamuogopi au kumtegemea yeyote kinyume na Mwenyezi Mungu.
Soma Zaidi...Si zinaa tu iliyoharamishwa bali hata yale yote yanayotengeneza mazingira na kuchochea kufanyika kwa zinaa nayo pia yameharamishwa.
Soma Zaidi...Waumini wa kweli wa Mitume wa Allah (s.
Soma Zaidi...Elimu imepewa nafasi kubwa sana katika uislamu.
Soma Zaidi...Tendo la zinaa ni tendo chafu kimaadili na Allah (s.
Soma Zaidi...