Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa kichaa cha mbwa ,kwa kawaida Ugonjwa huu utokea kuanzia kwenye wiki ya pili mpaka mwaka mmoja na hapo Ugonjwa unakuwa bado haujaonesha Dalili na Dalili zikishaonekana ni vigumu kutibika.
1.Dalili ya kwanza ni kuwepo kwa maumivu makali kwenye kidonda,kwa kawaida utegemea na ukubwa wa kidonda kwa hiyo kuna tabia ya watu kuanza kutibu kidonda kwa njia za kawaida na kufunika bila kuchomwa dawa inayosababisha kuzuia kichaa cha mbwa hatimaye matokeo huwa mabaya kwa hiyo jamii inapaswa kuelimishwa kuhusu umuhimu wa kutibu tatizo la ugonjwa wa kichaa cha mbwa hospitalini.Na kama Maumivu ni makali kwenye kidonda dawa za kutibu maumivu zinaweza kutumika ili kupunguza maumivu kwenye kidonda.
2.pengine mtu akiumwa na mbwa huanza kuogopa sana akiamini kwamba labda atafariki ila tunapaswa kujua kuwa kama umengatwa nambwa na ukaenda hospitalini na kupewa dawa kuwa na matumizi ni lazima kwa sababu unakuwa umefuata masharit kwa hiyo tuachane na tabia za kuogopa ovyo ovyo, ila kuna woga mwingine utokea kwa sababu ya kuingia kwa wadufu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.
3,Kuanza kuogopa maji na kuwa na tabia kama za mbwa, kama vijidudu havijatibiwa vizuri na vikisambaa sehemu mbalimbali za mwili usababisha mgonjwa kuwa na tabia mbwa mpaka kubweka na pengine uanza kuogopa maji ambapo kwa kitaalamu huitwa fear of water.
4. Kuwepo kwa maumivu hasa mgonjwa anapokuwa anameza wakati wa kula chakula.
Dalili mojawapo ya mgonjwa wa kichaa cha mbwa ni maumivu wakati wa kumeza chakula, hali hii utokea kwa sababu wadudu wanakuwa wamesambaa mwili mzima kwa hiyo kwa hatua hizi uponyaji ni kwa neema ya Mungu peke yake.
5. Kama Mgonjwa hajapewa dawa kwa kipindi chote tangia alipongatwa na mbwa dalili zikianza kujitokeza hasa kubweka kama mbwa, kuogopa maji na Dalili zinginezo mgonjwa ni vigumu kupona kwa hiyo anaweza kuishi kwa siku kumi tangu baada ya Dalili za hatari na kumgusa ila kufa ni lazima hasa kwa wagonjwa.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba kemikali, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wa saratani, madhara haya yanayoweza kuwa ni kwa Sababu mbalimbali kama vile kuaribika kwa seli zinazoendelea kufanya kazi kwenye mwili.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya athari zinazoweza kutokea endapo minyoo haitotibiwa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa Dengue, ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ila unasambazwa na mbu kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine mbu anayasambaza Ugonjwa huu kwa kitaalamu huitwa Aedes mosquito .
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na hatua za kufata ili kujikinga au kuepuka maradhi ya tumbo.kuna vitu vikikosekana husababisha maumivu ya tumbo.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za kizunguzungu zinazotekea katika mwili wa binadamu
Soma Zaidi...Makala hii itazungumzia dalili za Malaria, athari za kuchelewa kutibu malaria, na matibabu ya malaria
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa upele na matatibabu yake, ni ugonjwa unaosabavishwa na mdudu kwa kitaalamu huitwa mites sarcoptes scrabie mdudu huyu usababisha miwasho kwenye ngozi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Post hii Ina onyesha DALILI za Homa ya matumbo (typhoid fever) huenea kupitia chakula na maji machafu au kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu aliyeambukizwa. Dalili na ishara kwa kawaida hujumuisha Homa kali, maumivu ya kichwa, maumi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster. Kwa hiyo ili kugundua kubwa mtu ana Ugonjwa huu Dalili kama hizi zifuatazo zinaweza kutokea kwa mgonjwa.
Soma Zaidi...