Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa kichaa cha mbwa ,kwa kawaida Ugonjwa huu utokea kuanzia kwenye wiki ya pili mpaka mwaka mmoja na hapo Ugonjwa unakuwa bado haujaonesha Dalili na Dalili zikishaonekana ni vigumu kutibika.
1.Dalili ya kwanza ni kuwepo kwa maumivu makali kwenye kidonda,kwa kawaida utegemea na ukubwa wa kidonda kwa hiyo kuna tabia ya watu kuanza kutibu kidonda kwa njia za kawaida na kufunika bila kuchomwa dawa inayosababisha kuzuia kichaa cha mbwa hatimaye matokeo huwa mabaya kwa hiyo jamii inapaswa kuelimishwa kuhusu umuhimu wa kutibu tatizo la ugonjwa wa kichaa cha mbwa hospitalini.Na kama Maumivu ni makali kwenye kidonda dawa za kutibu maumivu zinaweza kutumika ili kupunguza maumivu kwenye kidonda.
2.pengine mtu akiumwa na mbwa huanza kuogopa sana akiamini kwamba labda atafariki ila tunapaswa kujua kuwa kama umengatwa nambwa na ukaenda hospitalini na kupewa dawa kuwa na matumizi ni lazima kwa sababu unakuwa umefuata masharit kwa hiyo tuachane na tabia za kuogopa ovyo ovyo, ila kuna woga mwingine utokea kwa sababu ya kuingia kwa wadufu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.
3,Kuanza kuogopa maji na kuwa na tabia kama za mbwa, kama vijidudu havijatibiwa vizuri na vikisambaa sehemu mbalimbali za mwili usababisha mgonjwa kuwa na tabia mbwa mpaka kubweka na pengine uanza kuogopa maji ambapo kwa kitaalamu huitwa fear of water.
4. Kuwepo kwa maumivu hasa mgonjwa anapokuwa anameza wakati wa kula chakula.
Dalili mojawapo ya mgonjwa wa kichaa cha mbwa ni maumivu wakati wa kumeza chakula, hali hii utokea kwa sababu wadudu wanakuwa wamesambaa mwili mzima kwa hiyo kwa hatua hizi uponyaji ni kwa neema ya Mungu peke yake.
5. Kama Mgonjwa hajapewa dawa kwa kipindi chote tangia alipongatwa na mbwa dalili zikianza kujitokeza hasa kubweka kama mbwa, kuogopa maji na Dalili zinginezo mgonjwa ni vigumu kupona kwa hiyo anaweza kuishi kwa siku kumi tangu baada ya Dalili za hatari na kumgusa ila kufa ni lazima hasa kwa wagonjwa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
postii hii inazungumzia dalilili za Mtoto mwenye Kuhara. Kuhara maana yake ni kutokwa na kinyesi chenye maji matatu au zaidi, pamoja na au bila damu ndani ya masaa 24. Kuhara kunaweza kusababishwa na maambukizo ya bakteria na virusi, ugonjwa wa matumb
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunz akuhusu vidonda vya tumbo na jinsi vinavyotokea. Utajifunza pia tahadhari anazopasa mtu achukuwe na vyakula salama anavyopaswa kula.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Magonjwa mbalimbali ambayo watoto chini ya miaka wanaweza kuyapata kiurahi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo,ni dalili ambazo ujionesha kwa mtu akiwa na shida kwenye utumbo mdogo na tumbo la kawaida.
Soma Zaidi...Haya ni maradhi ambayo husambazwa kutoka kwa mtu kwenda kwa mtu kwa kupitia mbu.
Soma Zaidi...Mrija wa mkojo hutoa mkojo nje ya mwili lakini mrija huu unapoziba hufanya utoaji wa mkojo kutoka kwa shida au maumivu
Soma Zaidi...Magonjwa ya kuambukiza ni maradhi yanayosababishwa na vijidudu kama vile bakteria, virusi, fangasi au vimelea. Viumbe vingi vinaishi ndani na kwenye miili yetu. Kwa kawaida hazina madhara au hata kusaidia, lakini chini ya hali fulani, baadhi ya viumbe
Soma Zaidi...Tezi dume ambayo haijashuka si ya kawaida kwa ujumla, lakini ni ya kawaida kwa wavulana waliozaliwa kabla ya wakati.na muda mwingine zikipanda tumboni huwa hazishuki kabisa kwenye korodani.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu tahadhari za kuchukua ili kujikinga na UTI
Soma Zaidi...