Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa kichaa cha mbwa ,kwa kawaida Ugonjwa huu utokea kuanzia kwenye wiki ya pili mpaka mwaka mmoja na hapo Ugonjwa unakuwa bado haujaonesha Dalili na Dalili zikishaonekana ni vigumu kutibika.
1.Dalili ya kwanza ni kuwepo kwa maumivu makali kwenye kidonda,kwa kawaida utegemea na ukubwa wa kidonda kwa hiyo kuna tabia ya watu kuanza kutibu kidonda kwa njia za kawaida na kufunika bila kuchomwa dawa inayosababisha kuzuia kichaa cha mbwa hatimaye matokeo huwa mabaya kwa hiyo jamii inapaswa kuelimishwa kuhusu umuhimu wa kutibu tatizo la ugonjwa wa kichaa cha mbwa hospitalini.Na kama Maumivu ni makali kwenye kidonda dawa za kutibu maumivu zinaweza kutumika ili kupunguza maumivu kwenye kidonda.
2.pengine mtu akiumwa na mbwa huanza kuogopa sana akiamini kwamba labda atafariki ila tunapaswa kujua kuwa kama umengatwa nambwa na ukaenda hospitalini na kupewa dawa kuwa na matumizi ni lazima kwa sababu unakuwa umefuata masharit kwa hiyo tuachane na tabia za kuogopa ovyo ovyo, ila kuna woga mwingine utokea kwa sababu ya kuingia kwa wadufu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.
3,Kuanza kuogopa maji na kuwa na tabia kama za mbwa, kama vijidudu havijatibiwa vizuri na vikisambaa sehemu mbalimbali za mwili usababisha mgonjwa kuwa na tabia mbwa mpaka kubweka na pengine uanza kuogopa maji ambapo kwa kitaalamu huitwa fear of water.
4. Kuwepo kwa maumivu hasa mgonjwa anapokuwa anameza wakati wa kula chakula.
Dalili mojawapo ya mgonjwa wa kichaa cha mbwa ni maumivu wakati wa kumeza chakula, hali hii utokea kwa sababu wadudu wanakuwa wamesambaa mwili mzima kwa hiyo kwa hatua hizi uponyaji ni kwa neema ya Mungu peke yake.
5. Kama Mgonjwa hajapewa dawa kwa kipindi chote tangia alipongatwa na mbwa dalili zikianza kujitokeza hasa kubweka kama mbwa, kuogopa maji na Dalili zinginezo mgonjwa ni vigumu kupona kwa hiyo anaweza kuishi kwa siku kumi tangu baada ya Dalili za hatari na kumgusa ila kufa ni lazima hasa kwa wagonjwa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inaelezea kuhusiana naรย Sarataniรย ya tishu zinazounda damu mwilini, ikijumuisha uboho na mfumo wa limfu.ugonjwa huu kitaalamu huitwa leukemia.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya undetectable viral load
Soma Zaidi...Watu wengi wamekuwa na mawazo kuwa ili nipate ukimwi ninatakiwa nishiriki ngono zembe na aliyeathirika mara ngapi? Majibu ya swali hili ni mafupi tu, ni kuwa unaweza kuathirika kwa ngono zembe ya siku moja tu ndani ya dakika chache. Lakini jambo la kuzing
Soma Zaidi...Ini Ni kiungo kikubwa Sana mwili na hutumika kuondoa sumu mwili ambayo hujulikana Kama detoxification
Soma Zaidi...Karibia fangasi wote hawa wanatibika bila ya ugumu wowote maka mgonjwa atakamilisha dozi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa upele na matatibabu yake, ni ugonjwa unaosabavishwa na mdudu kwa kitaalamu huitwa mites sarcoptes scrabie mdudu huyu usababisha miwasho kwenye ngozi.
Soma Zaidi...Magonjwa ya kuambukiza ni maradhi yanayosababishwa na vijidudu kama vile bakteria, virusi, fangasi au vimelea. Viumbe vingi vinaishi ndani na kwenye miili yetu. Kwa kawaida hazina madhara au hata kusaidia, lakini chini ya hali fulani, baadhi ya viumbe
Soma Zaidi...Ugonjwa wa bakteria unaoambukizwa na kupe ambao husababisha dalili kama za mafua. Dalili na ishara za Ugonjwa huu ni kati ya kuumwa na mwili kidogo hadi homa kali na kwa kawaida huonekana ndani ya wiki moja au mbili baada ya kuumwa na kupe. Njia bora ya
Soma Zaidi...Ni muda gani nitaanza kuona dalili za HIV na kilimo kitaonyesha kuwa nimeathirika?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata homa ya ini,kwa sababu ya hali zao mbalimbali wanaweza kupata ugonjwa huu.
Soma Zaidi...