Je vvu inaweza sababisha mate kujaa mdomoni
Je kujaa kwa mate mdomoni ni dalili ya kuwa na VVU, na je ni zipi dalili za Virusi Vya Ukimwi (VVU) mdomoni?
Swali: Je Virusi Vya Ukimwi (VVU) vinaweza kusababisha mate kujaa mdomoni?
Jibu:
Hili ni swali lililopata kuulizwa kuhusu mada ya virusi Vya Ukimwi. Watu wengi wenye tatizo hili la kujaa kwa mate mdomoni hudhani lamda ni dalili za VVU. Katika post hii nitakujibu swali hili.
Ufupi ni kuwa kujaa kwa mate mdomoni hakuhusiani na virusi vya ukimwi. yaani VVU havisababishi mate kujaa mdomoni. Kama utakuwa na tatizo hili utahitajika kuonana na daktari upate ufafanuzi zaidi na vipimo itakapo hitajika.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Kitabu cha Afya π2 Kitau cha Fiqh π3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π4 Bongolite - Game zone - Play free game π5 web hosting π6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Sababu za ugonjwa wa mkojo kuwa na damu
Posti hii inaelezea sababu zinazosababisha mkojo kuwa na damu.
Soma Zaidi...Dawa za kutibu fangasi sugu za ukeni (Vaginal Candidiasis).
Fangasi wa ukeni (Vaginal Candidiasis) husababishwa na kuzaliana kupita kiasi kwa fangasi aina ya Candida. Ingawa mara nyingi hutibika kwa dozi moja, baadhi ya wanawake hukumbwa na fangasi sugu (recurrent candidiasis)βhali inayojitokeza mara nne au zaidi kwa mwaka. Hii si hali ya kawaida na inahitaji mbinu madhubuti za kitabibu badala ya kutegemea dawa za dukani pekee. Makala haya yanakupa mwongozo wa tiba na hatua za kudumu za kuondoa kero hii.
Soma Zaidi...Dalili za madhara ya ini
Ini Ni kiungo kikubwa Sana mwili na hutumika kuondoa sumu mwili ambayo hujulikana Kama detoxification
Soma Zaidi...AINA ZA MINYOO: tapeworm, livefluke, roundworm, hookworm, flatworm
AINA ZA MINYOO Minyoo ambao wanaweza kuishi ndani ya mwili wa binadamu wapo aina nying, lakini hapa nitakueleza aina kuu tatu za minyoo hawa.
Soma Zaidi...Uzito kupita kiasi (Obesity): Hatari zake kiafya.
Uzito kupita kiasi, au unene uliokithiri (obesity), si suala la mwonekano wa nje pekee, bali ni changamoto kubwa ya kiafya inayoongeza hatari ya kupata magonjwa sugu ambayo yanaweza kupunguza umri wa kuishi. Hali hii hutokea wakati kiasi cha mafuta mwilini kinapozidi kiwango cha kawaida na kuanza kuathiri utendaji kazi wa viungo muhimu. Makala haya yanaelezea hatari za kiafya zinazohusiana na uzito kupita kiasi na umuhimu wa kuchukua hatua za haraka ili kulinda afya yako.
Soma Zaidi...Homa ya matone (Mumps): Dalili na tiba yake.
Homa ya matone, inayojulikana kama Mumps, ni maambukizi ya virusi yanayoathiri tezi zinazozalisha mate (salivary glands), hasa tezi zilizopo pande zote mbili za shavu (tezi za parotidi). Ugonjwa huu huambukiza kwa urahisi kupitia matone ya maji yanayotoka unapopiga chafya, kukohoa, au kuzungumza. Ingawa kwa sasa ni nadra kutokana na chanjo, bado inaweza kuwapata watu ambao hawajapata chanjo hiyo. Makala haya yanakupa uelewa wa dalili zake na jinsi ya kutoa huduma ya kwanza.
Soma Zaidi...