Je vvu inaweza sababisha mate kujaa mdomoni
Je kujaa kwa mate mdomoni ni dalili ya kuwa na VVU, na je ni zipi dalili za Virusi Vya Ukimwi (VVU) mdomoni?
Swali: Je Virusi Vya Ukimwi (VVU) vinaweza kusababisha mate kujaa mdomoni?
Jibu:
Hili ni swali lililopata kuulizwa kuhusu mada ya virusi Vya Ukimwi. Watu wengi wenye tatizo hili la kujaa kwa mate mdomoni hudhani lamda ni dalili za VVU. Katika post hii nitakujibu swali hili.
Ufupi ni kuwa kujaa kwa mate mdomoni hakuhusiani na virusi vya ukimwi. yaani VVU havisababishi mate kujaa mdomoni. Kama utakuwa na tatizo hili utahitajika kuonana na daktari upate ufafanuzi zaidi na vipimo itakapo hitajika.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 web hosting 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Vijuwe vidonda vya tumbo na madhara yake.
Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaotokana na kuwepo kwa vidonda kwenye Koo, tumboni na kwenye utumbo mdogo
Soma Zaidi...Mambo yanayosababisha kiuno au mgongo kuwa na maumivu
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kusababishwa mgongo wAko au kiuno kwa na maumivu, Mgongo ukiwa na maumivu makali Sana yanaweza kusababishwa shida kubwa ata utakapokaa au ukilala au ukitumia bado maumivu yanakuwepo.
Soma Zaidi...Dalili za mtu aliyekula chakula chenye sumu
Post hii inahusu zaidi mtu aliyekula chakula chenye sumu, chakula chenye sumu ni chakula ambacho kikitumiwa na mtu yeyote kinaweza kuleta madhara kwenye mwili wa binadamu hata kifo.
Soma Zaidi...Tiba ya vidonda vya tumbo na dawa zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Tina ya vidonda vya tumbo na dawa zake
Soma Zaidi...Hali ya wasiwasi (Anxiety): Dalili na jinsi ya kuishinda.
Hali ya wasiwasi (anxiety) ni sehemu ya maisha ya binadamu, lakini inapogeuka kuwa tatizo sugu, huathiri vibaya ustawi wa kimwili na kiakili. Makala hii inachunguza kwa kina maana ya wasiwasi, dalili zake za kimwili na kisaikolojia, sababu zake, na mikakati ya kisayansi ya kuishinda. Lengo ni kutoa mwongozo wa kitaalamu utakaomsaidia msomaji kutambua hali hii na kuchukua hatua za kimatibabu na kitabia ili kurejesha utulivu wa maisha.
Soma Zaidi...