picha

Sababu za kutokea kwa maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutokea kwa maumivu ya jino

Sababu za kutokea maumivu ya jino:

1.Kuwa na majeraha kwenye jino ama kuzungukia jino. Majeraha ni kawaida sana kusababisha kubenduka na kukatika kwa meno.

2.Maambukizi na mashambulizi ya jino yaliyosababishwa na wadudu.

3.Kusaga ma kugonga meno hasa wakati wa usiku unapolala

4.Kuwa na magonjwa kwenye ufinzi

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1819

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Sababu za Kutokwa na Uchafu Ukeni

Posti hii inachunguza hali ya kawaida ya kutokwa na uchafu ukeni, ikitofautisha kati ya uchafu wa kawaida (wa kisaikolojia) na ule unaoashiria matatizo ya kiafya. Tutajadili visababishi vikuu, dalili za hatari, na umuhimu wa kuona daktari kwa uchunguzi sahihi.

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuepuka kama una shinikizo la damu.

Shinikizo la damu (hypertension) ni hali ambayo mara nyingi haionyeshi dalili za wazi, lakini ikipuuzwa, inaweza kusababisha madhara makubwa kama vile kiharusi, magonjwa ya moyo, na figo. Mkakati mkuu wa kudhibiti shinikizo la damu hauhusishi dawa pekee, bali ni mabadiliko ya mfumo wa maisha, hususan lishe. Makala haya yanachambua vyakula vinavyopaswa kuepukwa ili kusaidia kupunguza shinikizo na kuimarisha afya ya mfumo wa mzunguko wa damu.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa macho mekundu (Conjunctivitis): Jinsi ya kujikinga.

Ugonjwa wa macho mekundu, kitaalamu Conjunctivitis (au Pink eye), ni uvimbe wa utando mwororo unaofunika sehemu nyeupe ya jicho na ndani ya kope. Ugonjwa huu unaweza kusababishwa na virusi, bakteria, au mzio (allergy). Kwa kuwa ni rahisi sana kuambukiza, elimu kuhusu usafi wa kibinafsi na mbinu za kuzuia usambazaji ndizo nguzo kuu ya kudhibiti mlipuko wa ugonjwa huu ndani ya jamii.

Soma Zaidi...
Habari nasumbuliwa na tumbo upande wakilia adi nikikojoa mkojo wa mwisho uwa wa kahawia tiba take nini?

Maumivu ya tumbo yanaweza kusababishwa na mambo mengi ikiwemo typhod, vidonda vya tumbo na shida nyingine kwenye mfumo wa chakula.

Soma Zaidi...
Huduma kwa wanawake wenye mahitaji maalum.

Posti hii inahusu huduma kwa wanawake wenye mahitaji maalum, ni wanawake ambao wana shida ya akili, walionyanyaswa kijinsia, wakimbizi na wote wenye matatizo mbalimbali.

Soma Zaidi...
Dalili za U.T.I

'UTI (urinary tract infection) no ugonjwa wa maambukizi katika mfumo wa mkojo na maambukizi haya husababishwa na bacteria, fangasi,na virus. Pia unaweza athiri rethra, kibofu Cha mkojo na figo.lakini Mara nyingi UTI huathiri Hadi mfumo wa uzazi na w

Soma Zaidi...