Kuhusu HIV na UKIMWI
Somk hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo mbalimbali yahusuyo HIV na UKIMWI
KUHUSU HIV NA UKIMWI
VVU ni kifupisho cha Virusi Vya Ukimwi. Kwa lugha ya kiingereza huitwa HIV kwa kurefusha ni Human immunodeficiency virus. Hivi ni virusi vinavyovunja na kuharibu uwezo wa mwili kujilinda dhidi ya maradhi na vijidudu vinavyoambukiza maradhi. Baada ya VVU kuingia mwilini na kuharibu kinga ya mwili, hupelekea kupata upungufu wa kinga mwilini ama hutwa UKIMWI.
Kuna aina kuu mbili za VVU navyo ni HIV-1 na HIV-2. aina ya kwanza ndiyo ambayo imeathiri watu wengi na ndio inayopelekea mgonjwa kupata madhara makubwa. Hii aina ya pili inapatikana Africa ya magharibi. Aina ya kwanza ndiyo ambayo imeenea karibia dunia nzima
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 web hosting ๐2 Dua za Mitume na Manabii ๐3 Kitau cha Fiqh ๐4 Kitabu cha Afya ๐5 Madrasa kiganjani ๐6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Dalili za Kuvimbiwa kwa watoto
Posti hii inazungumzia kuhusiana Kuvimbiwa kwa watoto ni tatizo la kawaida.Kuvimbiwa kwa watoto mara nyingi kuna sifa ya kupata haja kubwa mara kwa mara au kinyesi kigumu, kikavu. Sababu mbalimbali zinaweza kusababisha kuvimbiwa kwa watoto.Sababu za kawa
Soma Zaidi...Dalili za saratani ya kwenye Njia ya haja kubwa.
Saratani ya kwenye Njia ya haja kubwa ni aina isiyo ya kawaida ambayo kitaalamu hujulikana Kama saratani ya mkundu.Mfereji wa mkundu ni mirija fupi iliyo mwisho wa puru yako ambayo kinyesi hutoka mwilini mwako. Saratani ya kwenye Njia ya ha
Soma Zaidi...Dalili za mimba wakati wa ovulation
โKipindi cha baada ya yai kuachiliwa (ovulation) hadi kufikia tarehe ya hedhi inayofuata hujulikana kama Luteal Phase. Hapa ndipo wanawake wengi wanaotafuta ujauzito huanza kuchunguza mabadiliko ya miili yao. Makala haya yanajadili dalili za mapema za mimba zinazoweza kujitokeza siku chache baada ya ufertilishaji, jinsi ya kutofautisha dalili hizi na zile za hedhi ya kawaida (PMS), na ukweli wa kitaalamu kuhusu lini unapaswa kupima mimba.
Soma Zaidi...Kuhara na kutapika (Cholera): Kinga na tiba ya haraka.
Kipindupindu ni ugonjwa hatari wa mfumo wa mmengโenyo wa chakula unaosababishwa na bakteria Vibrio cholerae. Ugonjwa huu husababisha kuhara sana na kutapika, hali inayosababisha upungufu mkali wa maji mwilini (dehydration) ambao unaweza kuua ndani ya saa chache ikiwa hautatibiwa. Makala hii inasisitiza umuhimu wa utambuzi wa haraka na uingizaji wa maji mwilini kama tiba kuu.
Soma Zaidi...Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa watoto wadogo.
Posti hii inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa watoto wadogo, tunajua kubwa mama kama ana ugonjwa huu anaweza kumwambikiza mtoto na mtoto akazaliwa na Ugonjwa huu.
Soma Zaidi...