Kuhusu HIV na UKIMWI

Kuhusu HIV na UKIMWI

Somk hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo mbalimbali yahusuyo HIV na UKIMWI

Download Post hii hapa

KUHUSU HIV NA UKIMWI

 

 

VVU ni kifupisho cha Virusi Vya Ukimwi. Kwa lugha ya kiingereza huitwa HIV kwa kurefusha ni Human immunodeficiency virus. Hivi ni virusi vinavyovunja na kuharibu uwezo wa mwili kujilinda dhidi ya maradhi na vijidudu vinavyoambukiza maradhi. Baada ya VVU kuingia mwilini na kuharibu kinga ya mwili, hupelekea kupata upungufu wa kinga mwilini ama hutwa UKIMWI.

 

Kuna aina kuu mbili za VVU navyo ni HIV-1 na HIV-2. aina ya kwanza ndiyo ambayo imeathiri watu wengi na ndio inayopelekea mgonjwa kupata madhara makubwa. Hii aina ya pili inapatikana Africa ya magharibi. Aina ya kwanza ndiyo ambayo imeenea karibia dunia nzima

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1141

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Dalili za kisukari na njia za kuzuia kisukari
Dalili za kisukari na njia za kuzuia kisukari

Posti hii inaelezea ugonjwa wa kisakari, dalili zake,na namna ya kujikinga usipate kisukari au Kama tayari unakisukari ukijikinga madhara yanapungua au kupona kabisa.Kisukari au bolisukari (jina la kitaalamu: diabetes mellitus) ni ugonjwa unaoonyesha viwa

Soma Zaidi...
Dalilili za kukosa oksijeni
Dalilili za kukosa oksijeni

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalilili za kukosa oksijeni ambalo kitaalamu hujulikana Kama apnea.kukosa oksijeni ni tatizo ambapo kupumua kwako hukoma na kuanza unapolala.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kuharisha na sababu zake.
Ugonjwa wa kuharisha na sababu zake.

Kuharisha ni Hali ya kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisicho na damu

Soma Zaidi...
Ujuwe ugonjwa wa ebola,  dalili zake na jinsi unavyoweza kusambazwa.
Ujuwe ugonjwa wa ebola, dalili zake na jinsi unavyoweza kusambazwa.

Posti hii inahusu sana kuhusu ugonjwa wa ebora. Ugonjwa huu usababishwa na virusi.Virusi hivyo husababisha kutokwa na damu nyingi mwilini kutokana na kupasuka kwa mishipa ya damu

Soma Zaidi...
Athari za ugonjwa wa Homa ya inni
Athari za ugonjwa wa Homa ya inni

Posti hii inahusu zaidi adhari za ugonjwa wa Homa ya inni, hizi ni athari ambazo zinaweza kutokea ikiwa ugonjwa huu wa inni haujatibiwa, zifuatazo ni athari za ugonjwa wa inni

Soma Zaidi...
 Kivimba kwa mishipa ya Damu
Kivimba kwa mishipa ya Damu

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kuvimba kwa mishipa yako ya damu. Inasababisha mabadiliko katika kuta za mishipa ya damu, ikiwa ni pamoja na kuimarisha, kudhoofisha, kupungua na kupungua. Mabadiliko haya huzuia mtiririko wa damu, na kusababi

Soma Zaidi...
Maumivu ya magoti.
Maumivu ya magoti.

Maumivu ya magoti ni malalamiko ya kawaida ambayo huathiri watu wa umri wote. Maumivu ya goti yanaweza kuwa matokeo ya jeraha, kama vile ligament iliyopasuka au cartilage iliyochanika.

Soma Zaidi...
 Ni Nini husababisha kukosa choo? (Constipation)
Ni Nini husababisha kukosa choo? (Constipation)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazopelekea kukosa choo ,yaani kinyesi kuwa kigumu au kukosa kabisa choo.

Soma Zaidi...
Sababu  za  kuvimba na maumivu kwenye korodani moja au zote mbili
Sababu za kuvimba na maumivu kwenye korodani moja au zote mbili

Post yetu ya Leo inaenda kutufundisha kuhusiana na uvimbe wa korodani moja au ambayo kitaalamu huitwa EPIDIDYMITIS. EPIDIDYMITIS ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa kiume wa uzazi. Epididymis ni mrija (tube) uliyoko nyuma ya korodani ambayo mbegu za kiume

Soma Zaidi...
Dalili za saratani ya mapafu
Dalili za saratani ya mapafu

Saratani ya Mapafu ni aina ya Kansa inayoanzia kwenye mapafu. Mapafu yako ni viungo viwili vya sponji kwenye kifua chako ambavyo huchukua oksijeni unapovuta na kutoa kaboni dioksidi unapotoa nje.

Soma Zaidi...