(xiii)Huwa muaminifu
Waumini wa kweli waliofuzu huchunga amana.
(xiii)Huwa muaminifu
Waumini wa kweli waliofuzu huchunga amana. Hutunza amana aliyopewa na kuirejesha au kuitumia kwa mujibu wa maelekezo ya mwenyewe.
Amana kuu aliyopewa mwanaadamu na Mola wake ni kule kufadhilishwa kwake kuliko viumbe vingine vyote ili asimamishe Ukhalifa (utawala wa Allah) katika ardhi kama tunavyokumbu shwa katika Qur-an:
βKwa yakini Sisi Tulidhihirisha amana kwa mbingu, ardhi na milima,vikakataa kuichukua na vikaiogopa,lakini mwanaadamu aliichukua. Bila shaka yeye ni dhalimu mkubwa, mjinga sana β. (33:72)
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Kitau cha Fiqh π2 Kitabu cha Afya π3 Dua za Mitume na Manabii π4 kitabu cha Simulizi π5 ai web app π6 Simulizi za Hadithi Audio
π1 Kitau cha Fiqh π2 Kitabu cha Afya π3 Dua za Mitume na Manabii π4 kitabu cha Simulizi π5 ai web app π6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Zingatio:
Swala husimama kwa kuhifadhiwa na kuswaliwa kwa khushui na kudumu na swala katika maisha yote.
Soma Zaidi...