Hukumu za Kuangalia Mwezi wa Ramadhani

Hukumu za Kuangalia Mwezi wa Ramadhani

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Hukumu za Kuangalia Mwezi wa Ramadhani


Download kitabu hiki hapa

Kuthibiti kwa mwezi
Ni wajibu kufunga kwa kuthibiti kwa mwezi. Na huku hunatokea kwa namna mbili

1.kuonekana kwa mwezi wa ramadhani (mwezi mwandamo)
Amesema Allah(s.w): Mwenye kushuhudia mwezi (mwandamo) basi na afunge.….”
Na amesema Mtume (s.a.w) pindi mtakapouona fungeni na mtakapouona fungueni...:(Bukhari). Pia amesema Mtume: …..utakapozibwa (na mawingu mkawa hamuuone) timizeni siku thelathini (Bukhari)

2.kupata taarifa juu ya kuonekana kwa mwezi
Hapa kinachozungumziwa ni pale mwezi ukawa umeonekana na wachache katika watu na zikatumika taarifa zile kuwajulisha ambao hawakuuona. Jambo hili klinajuzu. Na hapa ndipo zinapatikana mas-ala za ikhtilafu juu ya kuonekana kwa mwezi. Na tutazungumzia kipengele hiki zaidi kwenye darsa za mbele.


                   

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 425

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Sifa nyingine za kuchaguwa mchumba ambazo watu wengi hawazijui
Sifa nyingine za kuchaguwa mchumba ambazo watu wengi hawazijui

Hizi ni sifa za ziada za mchumba katika uislamu. Sifa hizi wengi hawazijui ama hawazingatii.

Soma Zaidi...
Saumu (funga)
Saumu (funga)

Nguzo za uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Sharti za kutoa zaka
Sharti za kutoa zaka

Masharti ya Utoaji wa Zakat na Swadaqat Utoaji katika njia ya Allah (s.

Soma Zaidi...
Zaka ni nini? Nini maana ya zaka katika uislamu
Zaka ni nini? Nini maana ya zaka katika uislamu

Zaka, kilugha ni kukua; kubariki na kuzidi kheri.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kufanya suluhu kati ya mume na mke.
Jinsi ya kufanya suluhu kati ya mume na mke.

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu jinsi ya kufanya suluhu katika ndoa.

Soma Zaidi...
Sanda ya mwanamke na namna ya kumkafini
Sanda ya mwanamke na namna ya kumkafini

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: Dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Nini maana ya funga na ni lipi lengo lake
Nini maana ya funga na ni lipi lengo lake

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu lengo la funga na maana yake katika uislamu.

Soma Zaidi...
Namna ya kuswali hatuwa kwa hatuwq
Namna ya kuswali hatuwa kwa hatuwq

Post hii itakufundisha jinsi ya kuswali hatuwa kwa hatuwa.

Soma Zaidi...