Hukumu za Kuangalia Mwezi wa Ramadhani
Kuthibiti kwa mwezi
Ni wajibu kufunga kwa kuthibiti kwa mwezi. Na huku hunatokea kwa namna mbili
1.kuonekana kwa mwezi wa ramadhani (mwezi mwandamo)
Amesema Allah(s.w): Mwenye kushuhudia mwezi (mwandamo) basi na afunge.….”
Na amesema Mtume (s.a.w) pindi mtakapouona fungeni na mtakapouona fungueni...:(Bukhari). Pia amesema Mtume: …..utakapozibwa (na mawingu mkawa hamuuone) timizeni siku thelathini (Bukhari)
2.kupata taarifa juu ya kuonekana kwa mwezi
Hapa kinachozungumziwa ni pale mwezi ukawa umeonekana na wachache katika watu na zikatumika taarifa zile kuwajulisha ambao hawakuuona. Jambo hili klinajuzu. Na hapa ndipo zinapatikana mas-ala za ikhtilafu juu ya kuonekana kwa mwezi. Na tutazungumzia kipengele hiki zaidi kwenye darsa za mbele.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 ai web app 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Sanda ya mwanamke na namna ya kumkafini
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Zijuwe funga za sunnah na jinsi ya kuzifunga
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu funga za sunnah na jinsi ya kuzigunga.
Soma Zaidi...Msimamo wa uislamu juu ya utumwa
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...