Fadhila za funga ya ramadhani
Amesema Mtume: utakapoingia mwezi wa ramadhani, hufunguliwa milango ya peponi na hufungwa milango ya motoni, na hufungwa minyororo shetani. (Bukhari na Mslim)
Amesema Mtume: mwenye kufunga ramadhani akiwa na imani na kutarajia malipo kwa Allah atasamehewa madhambi yake yakiyotangulia. (Bukhari na Muslim)
Amesema Mtume: swala tano, na swala ya ijumaa mpaka ijumaa, na funga ya ramadhani hufuta madhambi mpaka ramadhani yaliyopo kati yao, pindi kukiwepo na kujiepusha na mashambi makubwa. (Bukhari na Ibn Maajah)
Kuna katika mwisho wa mwezi huu usiku wa laylat-alqdir, usiku ulio bora kuliko mieze elfu moja. Amesema Allah “….(usiku wa )laylatul-qadir ni mbora kuliko mieze elfu moja”. (suratul-qadir)
Umeionaje Makala hii.. ?
Hapa utajifunza kuhusu zakat al fitiri, kiwango chake, watu wanaostahili kupewa na kutoa, pia umuhimu wake katika jamii.
Soma Zaidi...Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...عَنْ أَبِي عَبْدِ اللَّهِ النُّعْمَانِ بْنِ بَشِيرٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا، قَالَ: سَمِعْت رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم يَقُ?...
Soma Zaidi...Kuzuru makaburi ni katika matendo ya sunah yaani unapata thawabu kwa kwenda klizuru kaburi.
Soma Zaidi...