Fadhila za kufunga mwezi wa ramadhani

Fadhila za kufunga mwezi wa ramadhani


Download kitabu hiki hapa

Fadhila za funga ya ramadhani
Amesema Mtume: utakapoingia mwezi wa ramadhani, hufunguliwa milango ya peponi na hufungwa milango ya motoni, na hufungwa minyororo shetani. (Bukhari na Mslim)

Amesema Mtume: mwenye kufunga ramadhani akiwa na imani na kutarajia malipo kwa Allah atasamehewa madhambi yake yakiyotangulia. (Bukhari na Muslim)

Amesema Mtume: swala tano, na swala ya ijumaa mpaka ijumaa, na funga ya ramadhani hufuta madhambi mpaka ramadhani yaliyopo kati yao, pindi kukiwepo na kujiepusha na mashambi makubwa. (Bukhari na Ibn Maajah)

Kuna katika mwisho wa mwezi huu usiku wa laylat-alqdir, usiku ulio bora kuliko mieze elfu moja. Amesema Allah โ€œโ€ฆ.(usiku wa )laylatul-qadir ni mbora kuliko mieze elfu mojaโ€. (suratul-qadir)


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 632

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 web hosting    ๐Ÿ‘‰2 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰3 Dua za Mitume na Manabii    ๐Ÿ‘‰4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰5 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Msimamo wa Uislamu juu ya Utumwa

- Watumwa walikuwa wakikamatwa na kutezwa nguvu bila kujali utu na ubinaadamu wao.

Soma Zaidi...
Maana ya swala

Maana ya Swala Maana ya Swala kilugha(a) Kilugha Katika lugha ya Kiarabu neno ยSwalaatย lina maana ya ยombi au ยdua.

Soma Zaidi...
Kiasi cha mahari kilicho bora kinachofaaa katika uislamu

Uislamu haukuwekabkiwango maalumu cha mahari. Mwanamke anaweza tajabkiasi atakacho. Ila vyema kuzingatia haya wakayi wa kutamka mahari yako.

Soma Zaidi...
Namna ya kutekeleza swala ya maiti hatua kwa hatua

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
MAANA YA ZAKA NA SADAKA KULUNGA NA KISHERIA PAMOJA NA TOFAUTI ZAO

MAANA YA ZAKA NA SADAKA KULUNGA NA KISHERIA PAMOJA NA TOFAUTI ZAO.

Soma Zaidi...
mambo yanayofungua swaumu

post hii ijakwenda kukufundisha mambo yanayoharibu funga

Soma Zaidi...