Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida.
Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida. Joto linaweza kufika nyuzi 40 za sentigredi. Hali hii inaweza kupelekea kufa kwa viungo vya ndani kama ini, figo moyo na ubongo. Ukikutana na mgonjwa wa hali hii kwa hakika anahitaji huduma ya kwanza haraka iwezekanavyo.
Endapo mgonjwa huyu hduma ya kwanza ikichelewa inaweza kuhatarisha maisha yake ama uharibifu wa afya yake kwa ujumla. Endapo hali hii itaambatana na homa kali, maumivu ya kichwa, kichefuchefu, kutokwa n adamu za pua, ama kuchanganyikiwa mpeleke mgonjwa kituo cha afya. Huduma ya kwanza kwa mgonjwa huyu ni kama ifuatavyo:
1.mpunguzie mgonjwa nguo, abakiwe na nguo laini na chache
2.Mpeleke sehemu iliyopoa nabyenye baridi
3.Mpe maji yaliyopoa anywe
4.Tumia nguo mbichi na iliyopowa, ama sponji lenge maji yaliyopoa, fanya kama una mfuta mgonjwa.
5.Kama kuna feni karibu unaweza utumia ama muweke kwenye IC.
6.kama hali inaendelea basi awahishwe kituo cha afya mara moja.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi malengo ya kutibu ukoma, ni malengo ambayo yamewekwa na wizara ya afya ili kuweza kutokomeza ukoma kwenye jamii
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi athari za kutotibu maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo, nimatazito yanayoweza kutokea iwapo ugonjwa huu hautatibika.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo utolewa kwa watu wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya virus vya ukimwi.
Soma Zaidi...Hata kama mtu atakuambbia usile vyakula yenye mafuta bado itahitajika kula tu. Kuna mafuta na fati je unajuwa utofauti wao. Ni zipi kazi zao mwilini? Endelea na makala hii
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na kumsaidia mwenye aliyeumwa na nyuki.nyuki na wadudu ambao wakikushambulia Sana na ukikosa msaada unaweza kufa au kuwa katika Hali mbaya.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtu aliyepoteza fahamu, kama mtu amepoteza fahamu Kuna mambo muhimu yanapaswa kuangaliwa kwa makini kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...