Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Haki za Viumbe na Mazingira.
Uislamu umeweka kipaumbele katika kuhifadhi mazingira na kutunza viumbe hai na visivyo hai kupitia sera mbali mbali zikiwemo;
Haki ya Hifadhi ya Mazingira na misitu.
Rejea Quran (6:38), (27:60), (16:10-13), (50:7-9), (56:63-64) na (39:62).
Mazingira ni amana katika kulinda uhai wetu na wa viumbe wengine.
Rejea Quran (7:10) na (16:112).
Sera na Mafundisho ya Mtume (s.a.w) juu ya hifadhi ya mazingira katika kuleta ustawi wa jamii.
Sera ya mapinduzi ya kitabia katika kutunza na kuhifadhi mazingira yote yanayotuzunguka.
Sera ya usafi na uhifadhi wa mazingira ili kuleta ustawi wa viumbe hai.
Rejea Quran (6:141) na (25:2).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Unajuwa namna ambavyo matumizi ya mali yako, yanavyogawanywa? Jifunze hapa mgawanyiko wa mali yako.
Soma Zaidi...Post hii itakufundishabkuhusu mirathi ya kiislamu, maana yake.
Soma Zaidi...Talaka Kabla ya Jimai:Mwanamume au mwanamke anaweza kughairi na kuamua kuvunja ndoa mapema kabla ya kufanya tendo Ia ndoa.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Mafungu ya urithi yaliyotajwa katika haya sita yafutayo:1.
Soma Zaidi...