"أرأيت إذا صليت المكتوبات وصمت رمضان"
عَنْ أبي عَبْدِ اللهِ جَابِرِ بْنِ عَبْدِ اللهِ الأنْصَارِيِّ رَضي اللهُ عَنْهُما أَنَّ رَجُلاً سَأَلَ رَسُولَ اللهِ صلى الله عليه وسلم فَقال: أَرَأَيْتَ إذَا صَلَّيْتُ الْمكْتُوباتِ، وَصُمْتُ رَمَضانَ، وَأَحْلَلْتُ الْحَلاَلَ، وَحَرَّمْتُ الْحَرَامَ، وَلَمْ أَزِدْ على ذِلكَ شَيْئاً، أَأَدْخُلُ الْجَنَّةَ ؟ قال: ((نَعَمْ))
رَوَاهُ مُسْلِمٌ
HADITHI YA 22
JE, NIKISWALI SWALAH ZA FARDHI, NIKAFUNGA RAMADHAAN…
Inatoka kwa Abu 'Abdillaah Jaabir bin 'Abdillaah Al-Answaariy رضي الله عنه alisema:
Mtu alimuuliza Mtume ,صلى الله عليه وسلم Unafikiri nikiswali Swalah za fardhi, nikafunga Ramadhaan, nikafanya halali kilicho halali na nikaharimisha kile kilichoharimishwa, na nisifanye jambo lolote lingine, je? Nitaingia peponi? Mtume صلى الله عليه وسلم akamjibu: Ndio.
Imesimuliwa na Muslim
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu umuhimu wa kukusanyika katika kuomba dua.
Soma Zaidi...Nini kilichangia ongezeko la uandishi wa hadithi wakati wa maswahaba.
Soma Zaidi...Nafasi ya elimu na mwenye elimu katika uislamu inaonkana katika maeneo yafuatayo: Kwanza, Elimu ndio takrima ya kwanza aliyokirimiwa mwanaadamu na Mola wake.
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukufundisha maneno unayotakiwa kuyasema unapozuru makaburi.
Soma Zaidi...