Kujiepusha na Ria na Kujiona
Ria ni kinyume cha Ikhlas.
Kujiepusha na Ria na Kujiona
Ria ni kinyume cha Ikhlas. Kufanya ria ni kufanya jambo jema ili watu wakuone, wakusifu, wakupe shukurani, n.k. Mtu anayefanya ria hafanyi wema kwa kutarajia malipo kutoka kwa Allah (s.w) bali hufanya kwa kutarajia malipo ya hapa duniani tu, iwe ni mali au sifa au shukurani.
Mwenye kufanya ria hata akijiita Muislamu hana malipo yoyote mbele ya Alllah(s.w) katika siku ya Hukumu isipokuwa adhabu kali Motoni kama tunavyojifunza katika aya zifuatazo:-
“Wanaotaka maisha ya dunia na mapambo yake, tutawapa huku duniani (ujira wa) vitendo vyao kamili, humu wao hawatapunjwa. Hao ndio ambao hawatakuwa na kitu katika akhera ila moto na wataruka patupu waliyoyafanya katika dunia hii na yatakuwa bure waliyokuwa wakiyatenda.” (11:15-16)
Katika aya nyingine Allah (s.w) anatukamia:
“Basi adhabu (kali) itawathubutikia wanaoswali; ambao wanapuuza swala zao. Ambao hufanya riyaa ”. (107:4)
Katika Hadith tunafahamishwa kuwa Mtume (s.a.w) amesema:
“Katika siku ya hukumu, vitendo vyote vilivyofanywa hapa duniani vitahudhurishwa mbele ya Allah (s.w). Vitendo vilivyofanywa kwa ajili ya Allah (s.w) vitatengw a. Na vitendo vingine vilivyofanyw a kw a nia nyingine mbali mbali vitatupw a motoni”. (Baihaqi).
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐2 Dua za Mitume na Manabii ๐3 Bongolite - Game zone - Play free game ๐4 Kitabu cha Afya ๐5 Madrasa kiganjani ๐6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Adabu za kuomba dua kuifanya dua yako ikubaliwe kwa haraka
Post hii inakwenda kukugundisha adabu zinazotakikana kwa mwenye kuomba dua.
Soma Zaidi...Hadithi Ya 32: Kusiwe Na Kudhuriana Wala Kulipiza Dhara
ุงูุญุฏูุซ ุงูุซุงูู ูุงูุซูุงุซูู "ูุง ุถุฑุฑ ููุง ุถุฑุงุฑ" ุนููู ุฃูุจูู ุณูุนูุฏู ุณูุนูุฏู ุจูู ู ูุงููู ุจูู ุณูููุงูู ุงููุฎูุฏุฑูููย ุฑุถู ุงููู ุนููย ุฃูููู ุฑูุณูููู ุงููู?...
Soma Zaidi...Vyanzo vitano vya elimu zote duniani: Chanzo cha Elimu ni Allah (s.w)
Kama tunavyojifunza katika surat โAlaq (96:4-5), chanzo cha elimu au mkufunzi wa binadamu ni Allah (s.
Soma Zaidi...hadithi ya 8
ุนููู ุงุจููู ุนูู ูุฑู ุฑูุถููู ุงูููููู ุนูููููู ูุงุ ุฃูููู ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตูู ุงููู ุนููู ู ุณูู ููุงูู: "ุฃูู ูุฑูุชู ุฃููู ุฃูููุงุชููู ุงููููุงุณู ุญูุชููู ?...
Soma Zaidi...Muombe Allah wakati unapokuwa na furaha.
Amesimulia Abuuhurairah ุฑุถูุงููู ุนูู kuwa mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู amesema "โ ู ููู ุณูุฑูููู ุฃููู ููุณูุชูุฌููุจู ุงูููููู ูููู ุนูููุฏู ุงูุดููุฏูุงุฆูุฏู ููุงููููุฑูุจู ููููููููุซูุฑู ุงูุฏููุนูุงุกู ููู ุงูุฑููุฎูุงุกู โ" โ โmwenye kutaka kujibiwa dua yake wakati akiwa na shida basi azidishe kumuomba Allah wakati wa rahaโ. (amepokea Tirmidh kwa isnad gharib).
Soma Zaidi...