"??????? ??? ???????"
?? ??? ????? ???????? ??? ?????? ????????????? ??? ????? ???? ??? : ??? ????? ????? ??? ???? ???? ????: ((?????????? ?????? ??????????? ??????? ????? ??????? ???????????? ????????? ????? ??????? ????? ???????? - ?? ??????? - ?? ?????? ????????? ???????? ?????????? ????? ???????????? ????????? ?????????? ???????? ?????????? ??????? ???? ?? ????????? ????? ???????? ??????? ??????? ????????? ???????????? ??? ?????????))
??????? ????????
HADITHI YA 23
TOHARA NI NUSU YA IMAAN
Kutoka kwa Abu Malik Al-Harith Ibn 'Asim Al-Ash'ariyy ??? ???? ??? alisema, kasema Mtume wa Allah??? ???? ???? ????
Tohara ni nusu ya Imaan. Na AlhamduliLlahi inajaza mizani, na SubhaanaAllah Wal-hamduliLlah inajaza baina ya mbingu na ardhi. Swala ni nuru, Sadaka ni ushuhuda, Subira ni mwangaza, na Qur'aan ni hoja yako au dhidi yako. Kila mtu anaianza siku yake akiichuuza nafsi yake, aidha huiacha huru au anaisambaratisha.
Imesimuliwa na Muslim
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
As salaam alaykum warahmatullah wabarakatuh, nauliza inajuzu wanawake kuzuru makaburi?
Soma Zaidi...Hii ni hadithi ya pili katika kitabu cha Arbain Nawawiy
Soma Zaidi...Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhusu haki za Muislamu kwa Muislamu mwenzie
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukufundisha ni kwa nini dua ya kafiri inawwza kujibiwa wakati ya muumini haijibiwi.
Soma Zaidi...Post hii itakueleza ni dua gani unatakiwa uzisome wakati unapokiwa na hasira ama pale unapokasirika.
Soma Zaidi...