"??????? ??? ???????"
?? ??? ????? ???????? ??? ?????? ????????????? ??? ????? ???? ??? : ??? ????? ????? ??? ???? ???? ????: ((?????????? ?????? ??????????? ??????? ????? ??????? ???????????? ????????? ????? ??????? ????? ???????? - ?? ??????? - ?? ?????? ????????? ???????? ?????????? ????? ???????????? ????????? ?????????? ???????? ?????????? ??????? ???? ?? ????????? ????? ???????? ??????? ??????? ????????? ???????????? ??? ?????????))
??????? ????????
HADITHI YA 23
TOHARA NI NUSU YA IMAAN
Kutoka kwa Abu Malik Al-Harith Ibn 'Asim Al-Ash'ariyy ??? ???? ??? alisema, kasema Mtume wa Allah??? ???? ???? ????
Tohara ni nusu ya Imaan. Na AlhamduliLlahi inajaza mizani, na SubhaanaAllah Wal-hamduliLlah inajaza baina ya mbingu na ardhi. Swala ni nuru, Sadaka ni ushuhuda, Subira ni mwangaza, na Qur'aan ni hoja yako au dhidi yako. Kila mtu anaianza siku yake akiichuuza nafsi yake, aidha huiacha huru au anaisambaratisha.
Imesimuliwa na Muslim
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Dua ni moja ya Ibada ambazo tunatakiwa kuziganya kila siku. Kuna fadhila nyingi sana za kuomba dua. Post hiibitakwenda kukujuza fadhila za kuomba dua.
Soma Zaidi...Katika hadithi hii utakwenda kujifunza hekma ya kuangalia watu walio chini yako na sio walio juu yako
Soma Zaidi...Hadithi hii inakataza kuzusha mambo ambayo hayapo katika dini
Soma Zaidi...Hizi ni Dua ambazo unatakiwa uziombe wakati wa shida na taabu
Soma Zaidi...