Ubainifu kati ya halali na Haramu na kujiepusha na mambo yanayo tatiza

' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ': ' ' ' ' ' ' ' ' '?...

Ubainifu kati ya halali na Haramu na kujiepusha na mambo yanayo tatiza

HADITHI YA 06

' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ': ' ' ' ' ' ' ' ' ': "' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' '".
[' '] ' [']

Kwa mapokezi ya-Nu'man ibn Basheer (ra), ambaye alisema:

Nilimsikia Mjumbe wa Allaah ((s.a.w)) akisema, "Kilicho halali kipo wazi na kisicho halali kipo wazi, na baina ya viwili hivi kuna mabo yenye kutatiza ambayo watu wengi hawajui. Kwa hivyo yeye anayeepuka mambo ya mashaka hujisafisha kuhusu dini yake na heshima yake,

lakini yeye anayeanguka katika mambo ya kutilia shaka [mwishowe] huangukia katika jambo lisilo halali, kama mchungaji anayechunga kuzunguka wigo (mpaka), anahofia mifugo yake kuingia ndani yake.

Kwa hakika kila Mfalme ana mipaka, na hakika mipaka ya Mwenyezi Mungu ni makatazo Yake. Kwa hyakini katika mwili kuna kipande cha nyama, ambacho, ikiwa kipo salama, mwili wote utakuwa salama, na ikiwa hakipo salama, mwili wote hautakuwa salama. Kwa hakika kipande hiko, ni moyo.
"[Bukhari & Muslim]


                   

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 128

Post zifazofanana:-

Home
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Karoti
Soma Zaidi...

Kitabu cha Afya 03
Yajuwe mambo yanayoathiri afya ya miili yetu, jifunze mambo mengi kuhusu afya. Soma Zaidi...

NENO LA AWALI
Darasa la elimu inayohusu ujauzito na namna ya kulea mimba Soma Zaidi...

Upinzani Dhidi ya Dola ya Kiislamu Wakati wa Makhalifa
Soma Zaidi...

HOW TO MAKE OUR EYES SAFE
Eye disease is in today's most disturbing diseases. Soma Zaidi...

swala ya idi na nmna ya kuiswali swala ya idi
6. Soma Zaidi...

maana ya dini
Soma Zaidi...

NAFASI YA SUNNAH KATIKA UISLAMU
Nafasi ya Sunnah katika UislamuMtume Muhammad (s. Soma Zaidi...

GEOGRAPHY NECTA PAST PAPERS REVIEW PAPERR 07
242. Soma Zaidi...

THE DIFFERENCE BETWEEN BIOLOGY LABORATORY AND OTHER SCHOOL FACILITIES
THE DIFFERENCE BETWEEN BIOLOGY LABORATORY AND OTHER SCHOOL FACILITIES School facilities these are materials designed to serve specific purposes in the school system, which facilitate teaching and learning. Soma Zaidi...

SIRI
Soma Zaidi...