Maana ya hadathi na aina zake


image


Post hii inakwenda kukugundisha maana ya hadathi pamoja na kutaja aina za hadathi


Hadathi

Hadathi ni hali ambayo ikimpata Muislamu, hawezi kuswali mpaka imuondokee. Kuna aina tatu za hadath:

 


(i)Hadathi ndogo - kutokuwa na udhu. Mtu asiye na udhu ana hadathi ndogo na huondoka kwa kutia udhu.

 


(ii)Hadathi ya kati na kati - humpata mtu aliyefanya tendo la ndoa (jimai) au aliyetokwa na manii kwa kuota au kwa njia nyingineyo. Hadath hii huondoka kwa kukoga mwili mzima.

 


Hadathi kubwa - huwapata wanawake wanapokuwa katika Hedhi (damu ya mwezi) au katika Nifasi (damu ya uzazi). Huondoka kwa kuoga mwili mzima baada ya hedhi au nifasi kwisha.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Sunnah za swaumu, sunnah ambazo zinaambatans ns kufungabmwezi wa Ramadhani
Yajuwe mambo ambayo yanapendeza kuyafanya wakati ukiwa umefunga Ramadhani. Soma Zaidi...

image Ijuwe swala ya Tawbah na jinsi ya kuiswali
Post hii itakufundisha kuhusu swala ya sinnah ya tawba. Soma Zaidi...

image Kiasi cha mahari kilicho bora kinachofaaa katika uislamu
Uislamu haukuwekabkiwango maalumu cha mahari. Mwanamke anaweza tajabkiasi atakacho. Ila vyema kuzingatia haya wakayi wa kutamka mahari yako. Soma Zaidi...

image Taratibu za mirathi katika zama za ujahilia
Kabla ya kuhubiriwa uislamu watu wa Maka walikuwa na tarayibu zenye dhuluma ndani yake katika ugawaji wa mirathi. Soma Zaidi...

image Nguzo za udhu ni sita
Post hii itakufundisha kuhusu nguzo kuu sita za udhu. Soma Zaidi...

image Swala ya witiri na faida zake, na jinsi ya kuiswali
Hapa utajifunza jinsi ya kuswali swala ya witiri na faida zake kwa mwenye kuiswali. Soma Zaidi...

image Shart kuu nne za swala
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu masharti ya swala. Soma Zaidi...

image Mambo yanayoharibu swala yaani yanayobatilisha swala.
Post hii itakufundisha mambo ambayo yatasababisha swqla yako isikubaliwe. Soma Zaidi...

image Yaliyo haramu kwa mwenye hadathi kubwa.
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu mambo ya haramu kwa mwenye hadathi kubwa Soma Zaidi...

image Mifumo ya benki ya kiislamu.
Hapa utajifunza njia ambazo nenk ya kiislamu hutumia ili kujiendesha Soma Zaidi...