Post hii inakwenda kukugundisha maana ya hadathi pamoja na kutaja aina za hadathi
Hadathi
Hadathi ni hali ambayo ikimpata Muislamu, hawezi kuswali mpaka imuondokee. Kuna aina tatu za hadath:
(i)Hadathi ndogo - kutokuwa na udhu. Mtu asiye na udhu ana hadathi ndogo na huondoka kwa kutia udhu.
(ii)Hadathi ya kati na kati - humpata mtu aliyefanya tendo la ndoa (jimai) au aliyetokwa na manii kwa kuota au kwa njia nyingineyo. Hadath hii huondoka kwa kukoga mwili mzima.
Hadathi kubwa - huwapata wanawake wanapokuwa katika Hedhi (damu ya mwezi) au katika Nifasi (damu ya uzazi). Huondoka kwa kuoga mwili mzima baada ya hedhi au nifasi kwisha.
Umeionaje Makala hii.. ?
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha taratibu zinazofanyika ilibkuswalibukiwa vitani.
Soma Zaidi...Vipi lengo la funga litafikiwa na kumfanya mfungaji awe mchamungu.
Soma Zaidi...Mtume amemfundisha kuwa watoto wafundishwe kuswali wakiwa na miaka saba na waadhibiwe wakiacha wakiwa na miaka 10
Soma Zaidi...Hapa utajifunza faida za ndoa katika Jamii na kwa wanadamu kiafya, kiroho, kiuchumi
Soma Zaidi...Kuchukuwavudhu ni ibada, lakini pia ni matendo ya kuufanya mwilivuwe safi. Katika post nitakwenda kukifundisha namna ya kutia udhu katika uislamu.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu umuhimu wa kufunga kiroho, kiafya na kijamii.
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kuona jinsi ya kuzitathmini swala zetu.
Soma Zaidi...