Dawa ya kutibu mapunye

DAWA YA MAPUNYEMatibabu ya mapunye inategemea ni wapi mapunjye yapo.

Dawa ya kutibu mapunye

DAWA YA MAPUNYE
Matibabu ya mapunye inategemea ni wapi mapunjye yapo. Mapunye yanaweza kuota kichwani, mikononi, mgongoni na maeneo mengine. Pia matibabu yatategemea ni kiasi gani mmtgu ameathiriwa na hayo mapunye. Mapunye yanayweza kibiwa na dawa za kupaka kama losheni za fangasi na poda zake. Miongoni mwazo ni:-



Dawa ya mapunye ya kupaka:
1.Clorimazole
2.Miconazole
3.Terbinafine
4.Ketoconazole



Endamp dawa hisi hazitaweza kumaliza mapunye, daktari anaweza kukuandikia dawa za kumeza amasindano. Katu dawa hizi usimeze kiholela bila ya kupata ushauri wa daktari. Dozi ya dawa hizi inaweza kwisha ndani ya mwezi mmoja ama ikaendelea mpaka miezi mitatu. Dawa hizi za mapunye za kumeza ni pamoja na:-



Dawa ya mapunye ya kumeza.
1.Terbinafine. Dawa hii inaweza kunywewa ndani ya wiki nn4. hata hivyo inaweza kukuletea mabadiliko kwenye mwili wako kama kichefuchefu, kuhara, kukosa choo na ukurutu. Si lazima mabadiliko haya uyaone kuna wengine hawaoni chochote.



2.Griseofulvin. Dawa hii inaweza kutumiwa kuanzia wiki 8 mpaka 10. Pia inaweza lupatikana katika mtindo wa kupulizia. Nayo inaweza kulete mabadiliko kama kuhara, kutapika, kichefuchefu, maumivu ya kichwa na kukosa choo. Dawa hii sio salama kwa wajawazit, ama kama upo katika harakati za kubeba mimba ama kama unanyonyesha.



3.Itraconazole. Dawa hii humezwa ndani ya siku 7 mpaka 15. si nzuri dawa hii kutumiwa na watoto wadogo, wazee na walio na maradhi ya ini. Dawa hii pia inaweza kukuletea mabadiliko kama maumivu ya kichwa, kichefuchefu, kutapika, kuhara na kukosa choo.



Njia za kujilinda dhidi ya mapunye.
1.Osha mikono yako kila unapogusa punye
2.Osha nguozako za kuvaa, kutandika na kujifunika na taulo.
3.Oga kila unapotoka kufanya kazi
4.Kama upo karibu na wanyama kama mbwa na paka hakikisha wapo salama na mapunye.
5.Usishiriki nguo zako na mwenye mapunye.





                   



Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 11249

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 web hosting    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Faida za vidonge vya antroextra

Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya antroextra, ni vidonge kwa ajili ya mifupa, viungo na gegedu, hivi vidonge vimetumiwa na watu wengi na matokeo yake ni mazuri sana, kwa hiyo zifuatazo ni faida za vidonge hivi.

Soma Zaidi...
Mebendazole kama dawa ya kutibu Minyoo.

Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.

Soma Zaidi...
Madhara ya Tiba mionzi

Post hii inahusu zaidi madhara ya Tiba mionzi kwa wagonjwa wa saratani, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wanaotumia mionzi katika matibabu ya saratani.

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya furosemide.

Post hii inahusu zaidi dawa ya furosemide ni mojawapo ya dawa ambayo ipo kwenye kundi la diuretics na kwa jina linguine huitwa lasix

Soma Zaidi...
DAWA YA FANGASI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za fangasi

Soma Zaidi...
Kazi ya Dawa ya salbutamol

Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma.

Soma Zaidi...
Fahamu matumizi ya Ampicillin.

Ampicillin ni antibiotic yenye msingi wa penicillin ambayo inafanya kazi kupambana na maambukizi ya ndani ya bakteria. Ampicillin hufanya kazi ya kuharibu kuta za kinga ambazo bakteria huunda ndani ya mwili wako na kuzuia bakteria wapya kutokeza. Ampici

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji

Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutuliza magonjwa ya akili inayoitwa Chlorpromazine

Post hii inahusu zaidi dawa zinazosaidis katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii kwa kitaamu huiitwa chlorpromazine ni dawa ambayo utumiwa na watu wenye tatizo la magonjwa ya akili na kwa kiasi kikubwa huwa sawa.

Soma Zaidi...