DARSA ZA NDOA, FAMILIA, SIASA, BIASHARA, UCHUMI, HAKI NA SHERIA KATIKA UISLAMU
1.
DARSA ZA NDOA, FAMILIA, SIASA, BIASHARA, UCHUMI, HAKI NA SHERIA KATIKA UISLAMU
1. BIASHARA ZILIZO HARAMU
2. CHUMBUKO LA SHERIA ZA KIISLAMU
3. DHANA YA KUDHIBITI UZAZI
4. EDA NA TARATIBU ZAKE
5. HADHI NA HAKI YA MWANAMKE KATIKA UISLAMU
6. HADHI YA MWANAMKE
7. HAKI NA WAJIBU KATIA UISLAMU
8. HAKI ZA BINADAMU KATIKA UISLAMU
9. HEKMA KATIAKA MIRATHI NA KUZIDI KWA WANAUME
10. MAADILI KATIKA JAMII YA KIISLAMU
11. MAANA NA FAIDA ZA NDOA KATIKA JAMII YA KIISLAMU
12. SHERIA NA TARATIBU ZA KUOA MKE ZAIDI YA MMOJA
13. MIRATHI NA UTARATIBU WA KURITHI
14. MAANA YA RIBA KATIA UISLAMU
15. MISINGI YA SHERIA KATIKA UISLAMU
16. SIASA NA UONGOZI KATIKA DOLA YA KIISLAMU
17. TAASISI ZA KIFEDHA KATIAKA UCHUMI WA KIISLAMU
18. MAANA NA AINA ZA TALAKA
19. TARATIBU ZA NDOA NA KUCHAGUA MCHUMBA
20. MISINGI YA UCHUMI WA KIISLAMU
21. UTARATIBU WA UZAZI WA MPANGO KATIKA UISLAMU
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Makosa Yanayofanywa Wakati wa Swala
Swala ni nguzo ya pili ya Uislamu baada ya Shahada na ni ibada ya kwanza ambayo mja atahisabiwa nayo Siku ya Kiyama. Kwa sababu ya umuhimu wake mkubwa, Muislamu anatakiwa kuiswali kwa usahihi kulingana na mafundisho ya Mtume Muhammad (Swalla Allahu Alayhi Wasallam). Hata hivyo, watu wengi hufanya makosa mbalimbali wakati wa swala, mengine kwa kutokujua na mengine kutokana na uzembe. Makosa haya yanaweza kupunguza thawabu za swala au hata kuifanya swala kuwa batili. Katika makala hii tutajifunza makosa ya kawaida yanayofanywa wakati wa swala, madhara yake, na namna ya kuyarekebisha.
Soma Zaidi...Baada ya kumzika maiti nini kifanyike kumsaidia marehemu
Tumesha mzika maiti sasa imebakia mali yae nyumbani, watoto, wake na menginyeo.
Soma Zaidi...