Download kitabu hiki na upate kusoma zaidi ya dua 120, pamoja na darsa mbalimbali za dini ya kiislamu.
Allah ameamuru wajawake wamuombe, na Allah ametoa ahadi ya kujibu maombi ya mwenye kumuomba. Watu wengi leo wamekuwa wakiomba dua kisha hulalamika kuwa hawajibiwi, Je unajua ni kwa nini dua hazijibiwi? Je, unafahamu kuomba dua kama alivyoomba mtume? Je unazijuwa siku na nyakati za siri ambazo dua ndio hujubuwa? Yote haya na mengineyo utayapata kwenye kitabu hiki...
Umeionaje Makala hii.. ?
Kama tunavyojifunza katika surat βAlaq (96:4-5), chanzo cha elimu au mkufunzi wa binadamu ni Allah (s.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukugundisha dua ambazo itazitumia katika swala yako.
Soma Zaidi...Zijuwe njia ambazo Allah hujibu Dua yako. Tambua kama umejibiwa dua yako au bodo, soma darsa za dua hapa.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha dua ambazo ni muhimu kuzisoma wakayi wa shida na taabu.
Soma Zaidi...DUA ZA KUONDOA WASIWASI, SIHIRI NA UCHAWI 1.
Soma Zaidi...