Post hii itakufundisha umuhimu wa nasaha katika dini
عن أبي رÙقَيَّةَ تَمÙيم٠بن٠أوْس٠الدَّارÙيّ٠رضي الله٠عنه: أَنَّ النَّبي صلى الله عليه وسلم قالَ:((الدّÙين٠النَّصÙÙŠØÙŽØ©Ù)). Ù‚Ùلْنَا: Ù„Ùمَنْ ØŸ قالَ: ((للهÙØŒ ولÙÙƒÙتَابÙÙ‡ÙØŒ ولÙرَسÙولÙÙ‡ÙØŒ ولÙلأَئÙمة٠المÙسْلÙÙ…Ùينَ، وعامَّتÙÙ‡Ùمْ)) رَوَاه٠مÙسْلÙÙ…ÙŒ
Imepokelewa kutoka kwa Abuu Ruqayyah Tamiymi Ibn Aws Addaarriy (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Dini ni nasiha.” Tukauliza: Kwa nani? Akasema: “Kwa Allaah na Kitabu Chake, na Rasuli Wake, na kwa viongozi wa Waislamu na watu wa kawaida.” [Muslim]
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukufundisha dua za kuomba wakati wa kuwa na maumivu kwenye mwili wako.
Soma Zaidi...Zijuwe nyakati ambazo dua inakubaliwa kwa haraka zaidi. Zijuwe nyakati ambazo ukiomba dua hitakubaliwa.
Soma Zaidi...Maana ya SunnahKilugha: Neno sunnah katika lugha ya Kiarabu lina maana ya mwenendo au mila.
Soma Zaidi..."Si vibaya kwa kipofu, wala si vibaya kwa kiguru, wala si vibaya kwa mgonjwa, wala kwenu, kama mkila katika nyumba zenu, au nyumba za baba zenu, au nyumba za mama zenu, au nyumba za ndugu zenu, au nyumba za dada zenu, au nyumba za ami zenu, au nyumba za s
Soma Zaidi...