Post hii itakufundisha umuhimu wa nasaha katika dini
عن أبي رÙقَيَّةَ تَمÙيم٠بن٠أوْس٠الدَّارÙيّ٠رضي الله٠عنه: أَنَّ النَّبي صلى الله عليه وسلم قالَ:((الدّÙين٠النَّصÙÙŠØÙŽØ©Ù)). Ù‚Ùلْنَا: Ù„Ùمَنْ ØŸ قالَ: ((Ù„Ù„Ù‡ÙØŒ ولÙÙƒÙØªÙŽØ§Ø¨ÙÙ‡ÙØŒ ÙˆÙ„ÙØ±ÙŽØ³ÙولÙÙ‡ÙØŒ ولÙلأَئÙÙ…Ø©Ù Ø§Ù„Ù…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…Ùينَ، وعامَّتÙÙ‡Ùمْ)) Ø±ÙŽÙˆÙŽØ§Ù‡Ù Ù…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…ÙŒ
Imepokelewa kutoka kwa Abuu Ruqayyah Tamiymi Ibn Aws Addaarriy (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Dini ni nasiha.” Tukauliza: Kwa nani? Akasema: “Kwa Allaah na Kitabu Chake, na Rasuli Wake, na kwa viongozi wa Waislamu na watu wa kawaida.” [Muslim]
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
MAkala hii itakwenda kukufundisha jinsi ya kutoa salamu kwenye uislamu
Soma Zaidi...HAdithi hii itakufundisha namna ambavyo mwanadamu anapitia hatuwa mbalumbali tumboni mwa mama yake
Soma Zaidi...Hapa nitakuletea baadhi tu ya adhkari ambazo ni muhimu kwa muislamu
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha namna ama staili ambazo Allah hujibu dua za watu.
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukugundisha masharti yanayofungamana na kukubaliwa kwa dua.
Soma Zaidi...Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...