Post hii itakufundisha umuhimu wa nasaha katika dini
عن أبي رÙقَيَّةَ تَمÙيم٠بن٠أوْس٠الدَّارÙيّ٠رضي الله٠عنه: أَنَّ النَّبي صلى الله عليه وسلم قالَ:((الدّÙين٠النَّصÙÙŠØÙŽØ©Ù)). Ù‚Ùلْنَا: Ù„Ùمَنْ ØŸ قالَ: ((Ù„Ù„Ù‡ÙØŒ ولÙÙƒÙØªÙŽØ§Ø¨ÙÙ‡ÙØŒ ÙˆÙ„ÙØ±ÙŽØ³ÙولÙÙ‡ÙØŒ ولÙلأَئÙÙ…Ø©Ù Ø§Ù„Ù…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…Ùينَ، وعامَّتÙÙ‡Ùمْ)) Ø±ÙŽÙˆÙŽØ§Ù‡Ù Ù…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…ÙŒ
Imepokelewa kutoka kwa Abuu Ruqayyah Tamiymi Ibn Aws Addaarriy (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Dini ni nasiha.” Tukauliza: Kwa nani? Akasema: “Kwa Allaah na Kitabu Chake, na Rasuli Wake, na kwa viongozi wa Waislamu na watu wa kawaida.” [Muslim]
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
huu ni mwanzo wa kitabu hiki cha Matn arbaina Naway
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukugundisha masharti yanayofungamana na kukubaliwa kwa dua.
Soma Zaidi...Katika hadithi hii utakwenda kujifunza hekma ya kuangalia watu walio chini yako na sio walio juu yako
Soma Zaidi...عَنْ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ عَبَّاسٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ: "كُنْت خَلْفَ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم يَوْمًا، فَقَالَ: ي...
Soma Zaidi...