Post hii itakufundisha umuhimu wa nasaha katika dini
عن أبي رÙقَيَّةَ تَمÙيم٠بن٠أوْس٠الدَّارÙيّ٠رضي الله٠عنه: أَنَّ النَّبي صلى الله عليه وسلم قالَ:((الدّÙين٠النَّصÙÙŠØÙŽØ©Ù)). Ù‚Ùلْنَا: Ù„Ùمَنْ ØŸ قالَ: ((Ù„Ù„Ù‡ÙØŒ ولÙÙƒÙØªÙŽØ§Ø¨ÙÙ‡ÙØŒ ÙˆÙ„ÙØ±ÙŽØ³ÙولÙÙ‡ÙØŒ ولÙلأَئÙÙ…Ø©Ù Ø§Ù„Ù…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…Ùينَ، وعامَّتÙÙ‡Ùمْ)) Ø±ÙŽÙˆÙŽØ§Ù‡Ù Ù…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…ÙŒ
Imepokelewa kutoka kwa Abuu Ruqayyah Tamiymi Ibn Aws Addaarriy (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Dini ni nasiha.” Tukauliza: Kwa nani? Akasema: “Kwa Allaah na Kitabu Chake, na Rasuli Wake, na kwa viongozi wa Waislamu na watu wa kawaida.” [Muslim]
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika hadithi hii utakwenda kujifunza hekma ya kuangalia watu walio chini yako na sio walio juu yako
Soma Zaidi...Katika hadithi hii utakwenda kujifunza nguzo za uislamu
Soma Zaidi...عَنْ أُمِّ الْمُؤْمِنِينَ أُمِّ عَبْدِ اللَّهِ عَائِشَةَ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهَا، قَالَتْ: قَالَ: رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم "...
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha namna ama staili ambazo Allah hujibu dua za watu.
Soma Zaidi...Historia ya uandishi wa hadithibwakati wa Matabiina, yaani wafuasi wa maswahaba
Soma Zaidi...Kukubaliwa kwa dua kunategemea mahusiano yako na Allah. hata hivyo kuna baadhi ya mabo ukiyafanya dua yako inaweza kukubaliwa kwa haraka zaidi. Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu jinsi ya kuomba dua ikubaliwe.
Soma Zaidi...Download kitabu hiki na upate kusoma zaidi ya dua 120, pamoja na darsa mbalimbali za dini ya kiislamu.
Soma Zaidi...