Post hii itakufundisha umuhimu wa nasaha katika dini
عن أبي رÙقَيَّةَ تَمÙيم٠بن٠أوْس٠الدَّارÙيّ٠رضي الله٠عنه: أَنَّ النَّبي صلى الله عليه وسلم قالَ:((الدّÙين٠النَّصÙÙŠØÙŽØ©Ù)). Ù‚Ùلْنَا: Ù„Ùمَنْ ØŸ قالَ: ((Ù„Ù„Ù‡ÙØŒ ولÙÙƒÙØªÙŽØ§Ø¨ÙÙ‡ÙØŒ ÙˆÙ„ÙØ±ÙŽØ³ÙولÙÙ‡ÙØŒ ولÙلأَئÙÙ…Ø©Ù Ø§Ù„Ù…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…Ùينَ، وعامَّتÙÙ‡Ùمْ)) Ø±ÙŽÙˆÙŽØ§Ù‡Ù Ù…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…ÙŒ
Imepokelewa kutoka kwa Abuu Ruqayyah Tamiymi Ibn Aws Addaarriy (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Dini ni nasiha.” Tukauliza: Kwa nani? Akasema: “Kwa Allaah na Kitabu Chake, na Rasuli Wake, na kwa viongozi wa Waislamu na watu wa kawaida.” [Muslim]
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
DUA Kwa ufupi dua ni kumuomba Allah akuondoshee lililobaya, ama linalo kuudhi ama akupe jambo fulani.
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukufundisha maneno unayotakiwa kuyasema unapozuru makaburi.
Soma Zaidi...DUA ZA WAKATI WA SHIDA Dua ya wakati wa taabu “LAA ILAAHA ILLA-LLAHUL-’ADHIMUL-HALIIMU.
Soma Zaidi...الحديث الثاني والثلاثون "لا ضرر ولا ضرار" عَنْ أَبىِ سَعيدٍ سَعْدِ بْن مَالكِ بْن سِنَانٍ الْخُدريِّ رضي الله عنه أَنَّ رَسُولَ اللّ?...
Soma Zaidi...عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ أَنَّ رَجُلًا قَالَ لِلنَّبِيِّ صلى الله عليه و سلم أَوْصِنِي.
Soma Zaidi...