darsa nzuri zenye kuelimisha hasa katika ndoa ya kiislam.

Assalaam alykum warahmatullah wabarakatuh.

darsa nzuri zenye kuelimisha hasa katika ndoa ya kiislam.

Assalaam alykum warahmatullah wabarakatuh. Shukran kwa darsa nzuri zenye kuelimisha hasa katika ndoa ya kiislam. Allah akulipeni kwa hilo. Ninaishi Dodoma. Kama mnatoa msaada kwa vijana na mabint wa kiislam kupata wachumba naomba mnifahamishe In shaa Allah.



Namba ya swali 017

Waalykum salaamu warahmatullah wabarakaatuh,



Namba ya swali 017

Shukrani kwa mchango wako mzuri. Kwa sasa huduma hiyo hatutoi, ila tutaifikiria kama tutaweza kuidhibiti, na kuifanya bila ya kuwepo athari mbaya.



Namba ya swali 017
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 908

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Shart kuu nne za swala

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu masharti ya swala.

Soma Zaidi...
Kwa nini lengo la kutoa zaka halifikiwi na watoaji zaka?

Kwa nini Lengo la Zakat na Sadaqat Halijafikiwa katika Jamii yetu?

Soma Zaidi...
Kwa nini imefaradhishwa kufunga mwezi wa Ramadhani

Unaweza kijiuliza ni kwa nini hasa kimepelekea kufaradhishwa kufunga mwezi wa Ramadhani.

Soma Zaidi...
Kugungisha ndoa ya kiislamu hatuwa kwa hatuwa

Hapa utajifunza jinsi ya kuozesha hatuwa kwa hatuwa. Pia utajifunza masharti ya kuoa na masharti ya kuolewa.

Soma Zaidi...
Kutoa kati kwa kati

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Jinsi ya kusherehekea siku ya idi katika uislamu

Uislamu umeweka taratibu maalumu za kuzifata katika kusherehekea siku ya idi.

Soma Zaidi...