darsa nzuri zenye kuelimisha hasa katika ndoa ya kiislam.

Assalaam alykum warahmatullah wabarakatuh.

darsa nzuri zenye kuelimisha hasa katika ndoa ya kiislam.

Assalaam alykum warahmatullah wabarakatuh. Shukran kwa darsa nzuri zenye kuelimisha hasa katika ndoa ya kiislam. Allah akulipeni kwa hilo. Ninaishi Dodoma. Kama mnatoa msaada kwa vijana na mabint wa kiislam kupata wachumba naomba mnifahamishe In shaa Allah.



Namba ya swali 017

Waalykum salaamu warahmatullah wabarakaatuh,



Namba ya swali 017

Shukrani kwa mchango wako mzuri. Kwa sasa huduma hiyo hatutoi, ila tutaifikiria kama tutaweza kuidhibiti, na kuifanya bila ya kuwepo athari mbaya.



Namba ya swali 017

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1090

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 web hosting    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Zoezi la 6 kusimamisha swala

Zoezi hili linamaswali mbalimbali kuhusiana na swala na masharti ya swala.

Soma Zaidi...
Taratibu za kutaliki katika uislamu.

Hapa utajifunza taratibu zinazofuatwa wakati wa kukusudia kumuacha mke. Pia utajifunza sababu za kiwepo kwa eda baada ya kuachwa mwanamke.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuswali swala vitani

Post hii itakufundisha taratibu zinazofanyika ilibkuswalibukiwa vitani.

Soma Zaidi...
Sanda ya mwanaume na namna ya kumkafini

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Kujitwaharisha kutokana na najisi

Post hii itakufundisha namna ya kutwaharisha Najisi.

Soma Zaidi...
Nini maana ya ndoa katia uislamu na ni upi umuhimu wake

Hapa utajifunza maana ya ndoa kulingana na uislamu na umuhimu wake katika jamiii

Soma Zaidi...
Aina za hijjah

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...