Dalili za ugonjwa wa upele

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa upele, ni dalili au mwonekano wa mgonjwa wa upele.

Dalili za ugonjwa wa upele.

1. Kwanza kabisa tunafahamu kabisa mdudu anayesababisha ugonjwa huu kwa kitaalamu huitwa mites sarcoptes scabies, huyu mdudu kwa kawaida akishakomaa utaga mayai kwenye vishimo vidogo vya mwili na kuanza kuishi Humo na kusababisha maumivu makali sana kwa mwathirika hasa kama ugonjwa huu haukutibiwa mapema kwa kuwepo kwa mayai kwenye ngozi usababisha na dalili nyingine kama vile 

 

2. Kuwashwa wakati wa usiku.

Tunajua wazi kuwa wakati wa usiku ni mda ambao unakuwa umetulia sana na mwili pia unakuwa kwenye utulivu Fulani hakuna jua Wala kitu chochote cha kukusumbua mwili kwa hiyo ndipo wadudu Hawa uwa active na kuanza kushambulia na kusababisha kuwepo kwa miwasho na mgonjwa uanza kujikuna mara nyingi na kukosa kusinzia.

 

3. Hali ya kukosa kusinzia usababisha watoto kusinzia wakati wa mchana au kama wamefikia hatua ya kwenda shule usinzia darasani na kusababisha kupoteza mda wa masomo kwa hiyo ni vizuri kuwatibu watoto kwa tiba Sahihi na kuwafanya watoto waweze kuhudhulia masomo ipasavyo kwa hiyo wazazi wawe mstari wa mbele Ili kulinda na kuwatunza vizuri watoto Ili waweze kuepuka magonjwa kama haya.

 

4. Kuwepo kwa mikwaluzo kwenye ngozi.

Kwa sababu ya kujikuna sana mara nyingi kunakuwepo na mikwaluzo kwenye sehemu za ngozi na wakati mwingine mikwaluzo uandamana na kutokwa na damu ,hali hii uwanyima Raha watoto kwa sababu mda mwingi wanaendelea na kujikuna sana na pengine wanaweza kuleta maambukizi kwa watoto wenzao na wale wanaoishi nao.

 

5.  Kuwepo kwa vidonda kwenye sehemu mbalimbali za mwili, pindi maambukizi yanapozidi yanasababisha kuwepo kwa vidonda kwenye sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye vidole, kwenye kiwiko, kwenye tumbo, kwenye kiuno, kwenye chuchu za matiti na sehemu mbalimbali za mwili kwa ujumla, kwa hiyo ni vizuri kutibu kwa sababu hizi dalili zikitokea kwa mtu mmoja kwenda familia ni lazima atawaambukiza na wengine

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 3266

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 web hosting    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Dalili za malaria

Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu kwa kitaalamu anaitwa Anopheles.na anasambazwa na mbu jike pale anapotafuta chakula hasa wakati akiwa na mimba. Mbu hawa hupenda kuishi kwenye mnyasi, madibwi haswa kwenye maji yaliyo simama.

Soma Zaidi...
Viungo vinavyoathiriwa na malaria

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya viungo vinavyoathiriwa na ugonjwa wa malaria

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster. Kwa hiyo ili kugundua kubwa mtu ana Ugonjwa huu Dalili kama hizi zifuatazo zinaweza kutokea kwa mgonjwa.

Soma Zaidi...
Sababu za kuwepo kwa saratani ya inni.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za kuwepo kwa saratani ya ini, saratani hii imekuwa tishio kwa wengi ila ni vizuri kujua baadhi ya sababu ambazo uchangia sana kuwepo kwa tatizo hili la saratani ya inni.

Soma Zaidi...
Nini husababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa wanawake na wanaume

Somo hili linakwenda kukueleza vitu vinavyosababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu

Soma Zaidi...
UGNJWA WA UTI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Koo langu limekauka yaweza kuwa ni muadhirika?

kuwashwa na koo ni katika dalili za kuwa na maambukizi mwilini. Kuwa na maambukizi haimaanishi ni HIV ama UKIMWI laa hili ni neno pana. Hapa nitakujuza kwa ufupi kuhusu swali hilo la muulizaji kuwa anawashwa na koo.

Soma Zaidi...
Tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu (gangrene)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu ambao hujulikana Kama gangrene inahusu kifo cha tishu za mwili kutokana na ukosefu wa mtiririko wa damu au maambukizi ya bakteria. Ugonjwa wa gangre

Soma Zaidi...
Dalili za minyoo na sababu zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo na sababu zake

Soma Zaidi...