Posti hii inahusu zaidi maelekezo muhimu ya ki afya, ni maelekezo ambayo utolewa ili kuweza kuzifanya afya zetu ziwe bora zaidi na kuepuka madhara yoyote ya ki afya
Maelekezo muhimu ya ki afya.
1.Kwanza kabisa napenda kuwaambia kubwa , Maisha ya mtu huwa na Amani anapokuwa na afya njema ila afya ya mtu ikiguswa na kuwa dhaifu hata furaha ukosa na mtu ushindwa kutimiza malengo yake.kwa hiyo yafuatayo ni maelekezo muhimu ya afya.
2.Jibu au pokea simu kwa mkono wa kushoto na usipende kupokea simu kwa mkono wa kulia na usipende kuongea na simu kwa mda mrefu na pia wakati wa kulala husilale na simu karibu kwa hiyo iweke mbali ili kuepuka mionzi ya simu unapokuwa umelala.
3.Usipendelee kunywa dawa kwa kutumia maji ya baridi siku zote tumia maji ya uvugu vugu na pia usinywe dawa kwa kutumia vinywaji kama vile juice, chai , kahawa, supu au soda tumia maji tena ya uvugu uvugu.
4.Usile milo mizito mizito baada ya saa kumi na moja jioni, kwa mda wa mchana kula iwezavyo kwa sababu unafanya kazi nakwa mda ewa jioni kila milo nyepesi tu na ya kawaida.
5.Kunywa maji mengi ya uvuvgu uvugu wakati wa mchana na maji kiasi wakati wa usiku na usipendelee maji ya baridi, kunywa maji ya uvugu uvugu mara kwa mara.
6. Mda bora wa kulala ni kuanzia saa nne za usiku mpaka saa kumi za alfajiri.
7.Epuka vyakula vyenye sukari wakati wa usiku na tumia mafuta kidogo kwenye chakula chako.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 961
Sponsored links
👉1
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2
kitabu cha Simulizi
👉3
Kitabu cha Afya
👉4
Madrasa kiganjani
👉5
Simulizi za Hadithi Audio
👉6
Kitau cha Fiqh
Ugonjwa wa kisukari
Ugonjwa wa kisukari hurejelea kundi la magonjwa yanayoathiri jinsi mwili wako unavyotumia sukari kwenye damu (glucose). Glucose ni muhimu kwa afya yako kwa sababu ni chanzo muhimu cha nishati kwa seli zinazounda misuli na tishu zako. Pia ndio chanzo ki Soma Zaidi...
Dalili kuu 7 za malaria na dawa ya kutibu malaria
Makala hii itazungumzia dalili za Malaria, athari za kuchelewa kutibu malaria, na matibabu ya malaria Soma Zaidi...
Vyanzo vya minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyanzo vya minyoo Soma Zaidi...
Dalili kuu za Malaria mwilini
Malaria husababishwa na vijidudu vidogo parasite wanaojulikana kama plasmodium. Vijidudu hivi hubebwa na mbu aina ya anophelesi. Kuna ina nyingi za plasmodium lakini aina 5 tu ndizo husababisha malaria Soma Zaidi...
Ujuwevmv ugonjwa Nimonia na dalili zake
Nimonia ni Hali ya kuvimba pafu inayoathiri hasa vifuko vya hewa viitwavyo Alveoli, husababishwa na Maambukizi ya virusi Soma Zaidi...
Njia za kutibu saratani
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za matibabu ya ugonjwa wa saratani,ni ugonjwa ambao unaweza kupona ikiwa umegundulika mapema katika hatua za mwanzo na kama ugonjwa huu umefikia hatua za mwisho Tiba yake huwa ni kupunguza makali ya ugonjwa. Soma Zaidi...
Ijuwe saratani ya kibofu cha nyongo
Makala hii inakwenda kukufahamishavkuhusu saratani yavkibifu cha mkojo. Soma Zaidi...
Dalili na madhara ya Kiungulia
post hii inaelezea kuhusiana na dalili au ishara na madhara ya Kiungulia ni maumivu ya moto kwenye kifua chako, nyuma ya mfupa wako wa kifua. Maumivu huwa mabaya zaidi wakati wa kulala au kuinama Soma Zaidi...
Dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanawake
Somo hili linakwenda kukuletea dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanawake Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo chini ya kifua, upande wa kulia na chini ya kitomvu.
Afya ya tumbo ni ishara tosha ya umadhibuti wa afya ya mtu. Maradhi mengi wanayouguwa watu chanzo kile mti anachokula. Yapo maradhi sugu kama saratani ambayo husababishwa pia na vyakula. Post hii itakwenda kujibu swalo la muulizaji kuhusu maumivu ya tumbo Soma Zaidi...