Dondoo muhimu ya ki afya.


image


Posti hii inahusu zaidi maelekezo muhimu ya ki afya, ni maelekezo ambayo utolewa ili kuweza kuzifanya afya zetu ziwe bora zaidi na kuepuka madhara yoyote ya ki afya


Maelekezo muhimu ya ki afya.

1.Kwanza kabisa napenda kuwaambia kubwa , Maisha ya mtu huwa na Amani anapokuwa na afya njema ila afya ya mtu ikiguswa na kuwa dhaifu hata furaha ukosa na mtu ushindwa kutimiza malengo yake.kwa hiyo yafuatayo ni maelekezo muhimu ya afya.

 

2.Jibu au pokea simu kwa mkono wa kushoto na usipende kupokea simu kwa mkono wa kulia na usipende kuongea na simu kwa mda mrefu na pia wakati wa kulala husilale na simu karibu kwa hiyo iweke mbali ili kuepuka mionzi ya simu unapokuwa umelala.

 

3.Usipendelee kunywa dawa kwa kutumia maji ya baridi siku zote tumia maji ya uvugu vugu na pia usinywe dawa kwa kutumia vinywaji kama vile juice, chai , kahawa, supu au soda tumia maji tena ya uvugu uvugu.

 

4.Usile milo mizito mizito baada ya saa kumi na moja jioni, kwa mda wa mchana kula iwezavyo kwa sababu unafanya kazi nakwa mda ewa jioni kila milo nyepesi tu na ya kawaida.

 

5.Kunywa maji mengi ya uvuvgu uvugu wakati wa mchana na maji kiasi wakati wa usiku na usipendelee maji ya baridi, kunywa maji ya uvugu uvugu mara kwa mara.

 

6. Mda bora wa kulala ni kuanzia saa nne za usiku mpaka saa kumi za alfajiri.

 

7.Epuka vyakula vyenye sukari wakati wa usiku na tumia mafuta kidogo kwenye chakula chako.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    3 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Maambukizi katika mfumo wa Uzazi wa mwanamke
Maambukizi kwenye Njia ya Uzazi kwa kifupi hujulikana Kama PID.ni Maambukizi ya mfumo wa Uzazi yanayoathiri wanawake, Maambukizi haya kwa Kawaida huhusisha sehemu Kama shingo ya uzazi,nyuma ya mfuko wa Uzazi na mirija ya uzazi. Soma Zaidi...

image Njia za kuzuia ugumba
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia ugumba, ni njia ambazo utumiwa na wapenzi ambao wameshindwa kupata watoto hasa kwa wale ambao wamezaliwa wakiwa na uwezo wa kupata watoto lakini kwa sababu tofauti tofauti wanashindwa kupata watoto kwa hiyo njia zifuatazo zinaweza kuwasaidia. Soma Zaidi...

image Dalili za saratani ya mapafu
Saratani ya Mapafu ni aina ya Kansa inayoanzia kwenye mapafu. Mapafu yako ni viungo viwili vya sponji kwenye kifua chako ambavyo huchukua oksijeni unapovuta na kutoa kaboni dioksidi unapotoa nje. Soma Zaidi...

image Ugonjwa wa macho
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa macho, ni ugonjwa ambao ushambulia zaidi sehemu za nje za macho ambazo kwa kawaida uitwa conjunctiva na cornea hizi sehemu zikipata maambukizi zisipotibiwa mapema uweza kusababisha upofu kwa mgonjwa. Soma Zaidi...

image Utaratibu wa lishe kwa wazee
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wazee Soma Zaidi...

image Faida za damu kwenye mwili
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa damu mwilini, Damu ni tisu pekee yenye majimaji ambayo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu. Soma Zaidi...

image Huduma ya Kwanza kwa aliyeng'atwa na nyuki
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyuko Soma Zaidi...

image Umuhimu wa maji yaliyomo kwenye mfuko wa mtoto akiwa tumboni mwa mama
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa maji yaliyomo kwenye mfuko wa mtoto akiwa tumboni. Ni maji ambayo kwa kitaalamu huitwa (Amniotic fluid) Soma Zaidi...

image Ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango.
Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango. Soma Zaidi...

image Dalili za minyoo na sababu zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo na sababu zake Soma Zaidi...