Posti hii inahusu zaidi maelekezo muhimu ya ki afya, ni maelekezo ambayo utolewa ili kuweza kuzifanya afya zetu ziwe bora zaidi na kuepuka madhara yoyote ya ki afya
Maelekezo muhimu ya ki afya.
1.Kwanza kabisa napenda kuwaambia kubwa , Maisha ya mtu huwa na Amani anapokuwa na afya njema ila afya ya mtu ikiguswa na kuwa dhaifu hata furaha ukosa na mtu ushindwa kutimiza malengo yake.kwa hiyo yafuatayo ni maelekezo muhimu ya afya.
2.Jibu au pokea simu kwa mkono wa kushoto na usipende kupokea simu kwa mkono wa kulia na usipende kuongea na simu kwa mda mrefu na pia wakati wa kulala husilale na simu karibu kwa hiyo iweke mbali ili kuepuka mionzi ya simu unapokuwa umelala.
3.Usipendelee kunywa dawa kwa kutumia maji ya baridi siku zote tumia maji ya uvugu vugu na pia usinywe dawa kwa kutumia vinywaji kama vile juice, chai , kahawa, supu au soda tumia maji tena ya uvugu uvugu.
4.Usile milo mizito mizito baada ya saa kumi na moja jioni, kwa mda wa mchana kula iwezavyo kwa sababu unafanya kazi nakwa mda ewa jioni kila milo nyepesi tu na ya kawaida.
5.Kunywa maji mengi ya uvuvgu uvugu wakati wa mchana na maji kiasi wakati wa usiku na usipendelee maji ya baridi, kunywa maji ya uvugu uvugu mara kwa mara.
6. Mda bora wa kulala ni kuanzia saa nne za usiku mpaka saa kumi za alfajiri.
7.Epuka vyakula vyenye sukari wakati wa usiku na tumia mafuta kidogo kwenye chakula chako.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu ugonjwa wa uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni madhara yanayotokea kwenye mfumo mzima wa kupitisha mkojo na via vya uzazi kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...FIKRA POTOFY KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO Vidonda vya tumbo huja na maoni mengi potofu.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Bawasiri. Bawasiri ni mishipa iliyovimba kwenye njia yako ya haja kubwa na sehemu ya chini ya puru. Bawasiri inaweza kutokana na kukaza mwendo wakati wa kwenda haja ndogo au kutokana na shinikizo la kuongeze
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye mrija wa mkojo, maambukizi haya usababishwa na virusi na bakteria.
Soma Zaidi...HOMA YA DENGUEHoma ya dengue ni miongoni mwa maradhi hatari ambayo husambazwa na mbu.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi juu ya ugonjwa wa Bawasili, ni ugonjwa unaotokea kwenye njia ya haja kubwa hali ambayo upelekea kuwepo kwa uvimbe au nyama ambazo uonekana hadi nje, kwa lugha ya kitaalamu ujulikana kama haemorrhoid au pokea.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi adhari za ugonjwa wa Homa ya inni, hizi ni athari ambazo zinaweza kutokea ikiwa ugonjwa huu wa inni haujatibiwa, zifuatazo ni athari za ugonjwa wa inni
Soma Zaidi...Posti hii inahusu kiungulia kwa wanawake wajawazito na tiba yake, ni ugonjwa au hali inayowapata wajawazito walio wengi kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya homoni wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...