Dondoo muhimu ya ki afya.
Posti hii inahusu zaidi maelekezo muhimu ya ki afya, ni maelekezo ambayo utolewa ili kuweza kuzifanya afya zetu ziwe bora zaidi na kuepuka madhara yoyote ya ki afya
Maelekezo muhimu ya ki afya.
1.Kwanza kabisa napenda kuwaambia kubwa , Maisha ya mtu huwa na Amani anapokuwa na afya njema ila afya ya mtu ikiguswa na kuwa dhaifu hata furaha ukosa na mtu ushindwa kutimiza malengo yake.kwa hiyo yafuatayo ni maelekezo muhimu ya afya.
2.Jibu au pokea simu kwa mkono wa kushoto na usipende kupokea simu kwa mkono wa kulia na usipende kuongea na simu kwa mda mrefu na pia wakati wa kulala husilale na simu karibu kwa hiyo iweke mbali ili kuepuka mionzi ya simu unapokuwa umelala.
3.Usipendelee kunywa dawa kwa kutumia maji ya baridi siku zote tumia maji ya uvugu vugu na pia usinywe dawa kwa kutumia vinywaji kama vile juice, chai , kahawa, supu au soda tumia maji tena ya uvugu uvugu.
4.Usile milo mizito mizito baada ya saa kumi na moja jioni, kwa mda wa mchana kula iwezavyo kwa sababu unafanya kazi nakwa mda ewa jioni kila milo nyepesi tu na ya kawaida.
5.Kunywa maji mengi ya uvuvgu uvugu wakati wa mchana na maji kiasi wakati wa usiku na usipendelee maji ya baridi, kunywa maji ya uvugu uvugu mara kwa mara.
6. Mda bora wa kulala ni kuanzia saa nne za usiku mpaka saa kumi za alfajiri.
7.Epuka vyakula vyenye sukari wakati wa usiku na tumia mafuta kidogo kwenye chakula chako.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 web hosting 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Kutokwa na uchafu mweupe ukeni: Ni ugonjwa?
Kutokwa na uchafu ukeni ni jambo la kawaida kwa kila mwanamke aliyefikia umri wa kuvunja ungo. Hata hivyo, wengi hukumbwa na hofu pindi wanapoona mabadiliko katika rangi, harufu, au wingi wa uchafu huo. Makala hii inafafanua tofauti kati ya uchafu wa kawaida (physiological discharge) na ule unaoashiria ugonjwa (pathological discharge), na kutoa mwongozo wa wakati wa kutafuta msaada wa kitaalamu.
Soma Zaidi...Upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo.
Post hii inahusu zaidi upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo dalili zake na namna ya kumsaidia mgonjwa mwenye tatizo hilo.
Soma Zaidi...Dalili za moyo kutanuka
Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza na kuonyesha kwamba moyo umetanuka.
Soma Zaidi...Tatizo la fizi kuachana.
Posti hii inahusu zaidi tatizo la fizi kuachana, ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi kwa wakati mwingine unakuta fizi zimeachana kutoka sehemu moja kwa nyingine kwa hiyo tunaweza kuona sababu kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Tetekuwanga kwa watu wazima: Ni hatari zaidi?
Tetekuwanga (Varicella) kwa kawaida huchukuliwa kama ugonjwa wa utotoni, na watoto wengi huupata na kupona bila matatizo makubwa. Hata hivyo, unapoupata ukiwa mtu mzima, hali inabadilika. Tetekuwanga kwa watu wazima huchukuliwa kuwa na hatari zaidi, ikiwa na uwezekano mkubwa wa kusababisha dalili kali na maambukizi ya viungo muhimu kama mapafu. Makala haya yanafafanua kwa nini hali hii ni hatari na nini unapaswa kufanya.
Soma Zaidi...ugonjwa wa Malaria dalili zake na chanzo chake.
Malaria ni moja ya magonjwa hatari yanayoongoza katika vifo vya watoto wengi duniani walio chni ya umri wa miaka 5. Katika post hii utakwend akujifunza kuhusuugonjwa huu jinsi unavyotokea, hatuwa zake na dalili zake.
Soma Zaidi...