picha

Athari za kutotibu fangasi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kutokutibu fangasi

ATHARI ZA KUTOTIBU FANGASIA.Kuendelea kupata maumivuB.Kutoa harufuC.Kuchubuka na hatimaye vidondaD.Kujikuna muda woteE.Kutokuwa na rahaF.Maumivu wakti wakukohoa na kushiriki tendo la ndoaG.Kukosa hamu ya kushiriki tendo ka ndoa.

 

 

 

Dawa ya fangasi uumeniFangasi wanaweza kuathiri watu wa marika yeto, pia kuathiri maeneo mengi ya mwili. Lakini hapa nitakuletea fangasi wanaoathiri uume, sababu zao, dalili zao na dawa inayotumika kutibu fangasi hawa wa kwenye uume.

 

Dalili za fangasi wa kwenye uume1.Upele na ukurutu kwenye uume2.Vidoadoa vyeupe kwenye uume3.Uume kuwa na umajimaji kwenye ngozi yake4.Kwa ambao hawajatahiriwa kutakuwa na uchafu mweume kwenye ngozi ya govi5.Miwasho kwenye uume na kuhisi kuunguwa

 

Nini sababu ya fangasi hawa wa kwenye uume?Fangasi wa kwenye uume husababishwa na aina ya fangasi inayojulikana kama candida. fangasi hawa wanapenda sana maeneo yenye majimaji. Hususan sehemu za siri ambapo ndipo panakuwa na majimaji mengi. Fangasi hawa wanaweza kuambukizwa kwa kupitia ngono. Usafi wa sehemu za siri ukawa ni mbovu hali inaweza kuwa mbaya zaidi.

 

Watu walio hatarini kupata fangasi wa uumeni1.Watu walio na Uchafu wa mwili hasa sehemu za siri2.Watu walio na kisukari3.Watu wenye viribatumbo (kitambi)4.Watu wenye kinga dhaifu kama waathirika wa VVU ama walioanza matibabu ya saratani5.Watu ambao hawajatahiriwa

 

Dawa zinazotumika kutibu fangasi wa uumeniFangasi hawa wanaweza tu kutibiwa kwa dawa za fangasi za kupaka yaani za losheni kama:-1.Miconazole (lotrimin AF, Ceruex, Desenex, Ting Antifungal)2.Imidazole (canesten, Selezen)3.Clotrimazole (Lotrimin AF, Anti-Fungal, Cruex, Desenex, Lotrimin AF Ringworm)

 

Pia endapo hali itaendelea, mgonjwa anaweza kutumia dawa za kumeza, baada ya kupata ushauri kwa daktari. Dawa hizi ni kama:-1.Fluconazole (Diflucan) hii ni ya kumeza pia hutumika pamoja na ya kupaka inayoitwa hydrocortisone cream. Tiba hii hasa ni kwa wale ambao hali imekuwa mbaya sana (balanitis)

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2039

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 ai web app     👉4 web hosting     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Namna ya Kupunguza Stress kwa Njia Asilia

Katika ulimwengu wa sasa wenye kasi kubwa, msongo wa mawazo (stress) umekuwa changamoto ya kawaida kwa wengi. Makala hii inakupa mbinu rahisi, asilia, na zenye ufanisi unazoweza kuzitumia kila siku ili kutuliza akili yako, kuboresha afya yako ya hisia, na kurejesha furaha.

Soma Zaidi...
Mzio (aleji) na Dalili zake

Posti hii inahusu zaidi mzio na Dalili zake ni Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu mwenye mzio, kuna wakati watu wengine ushindwa kutambua kuwa ni mzio au la, lakini leo tunaenda kujua Dalili za mzio kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Ninashida Kuna mtu anaumwa pressure Kila anap pima Iko juu il mwil aumuumi at kidg n dawa anatumia unawez kunisaidiaj

Kama unasumbuliwa na presha post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakuoatia ushauri kutokana na swali alilouliza mdau wetu.

Soma Zaidi...
ninatatizo la miguu kuuma nimepima wanasema seli nyeupe za damu ipo chini Sana sasa nauliza dawa hizi za vitamin k na sindano vinaweza nisaidia?

Upungufu wa damu ni tatizo la kiafya, lakini kupunguwa seli nyeupe za damu ni tatizo zaidi, nikwa sabaabu seli hizi ndizo ambazo hupambana na wadudu shambulizi wanapoingia mwilini.

Soma Zaidi...
Ujuwe mlo sahihi kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo

Post hii itakwenda kuangalia mlo sahihi wa mwenye vidonda vya tumbo. Hata utajifunza ni vyakula vipi hapaswi kula na vipi ana paswa kula.

Soma Zaidi...