Dalili za mimba changa kutoka
Post hii inaenda kuzungumzia zaidi kuhusiana na mimba zinazoharibika . mimba huweza kuaribika au kutoka anzia miezi 3 na kuendelea .
DALILI
Ni kufahamu dalili za mimba kutoka
1.kutokwa na damu yenye mabonge mabonge na inakuwa nzito.
2.uchovu na maumivu makali ya mgongo na kiuno.
3.damu nyepesi kutoka.
Hivyo basi ukiona dalili Kama hizi alafu una mimba Ni vyema kuenda hospitali au kituo Cha afya kupata matibabu na ushauri .
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 web hosting 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Kiasi gani cha maji kinatakiwa kunywa kwa siku?
Kunywa maji ya kutosha ni nguzo kuu ya afya bora, lakini swali la "ni kiasi gani hasa?" limekuwa likileta utata kwa muda mrefu. Makala haya yanachunguza sayansi nyuma ya mahitaji ya maji mwilini, ikivunja dhana potofu ya "glasi nane kwa siku," na kutoa mwongozo wa kitaalamu kulingana na umri, jinsia, kiwango cha mazoezi, na mazingira ya hali ya hewa.
Soma Zaidi...Makosa Yanayofanywa na Wapenzi Wengi
Mahusiano ni safari ya kujifunza kila siku. Makala hii inachambua makosa ya kawaida yanayoweza kuathiri ustawi wa mahusiano, ikitoa mwongozo wa jinsi ya kuyatambua na kuyafanyia kazi ili kujenga uhusiano imara na wenye furaha.
Soma Zaidi...Tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu (gangrene)
Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu ambao hujulikana Kama gangrene inahusu kifo cha tishu za mwili kutokana na ukosefu wa mtiririko wa damu au maambukizi ya bakteria. Ugonjwa wa gangre
Soma Zaidi...Dalili za Ugonjwa wa pombe wakati Mtoto akiwa tumboni
Ugonjwa wa ulevi wakati Mtoto akiwa tumboni (fetasi) ni hali ya mtoto inayotokana na unywaji pombe wakati wa ujauzito wa mama. Ugonjwa wa pombe wa fetasi husababisha uharibifu wa ubongo na matatizo ya ukuaji.
Soma Zaidi...ninasumbuliwa Sana na mapunye ya kichwani nimetumia dawa takribani miaka 3
Habari, samahani ninasumbuliwa Sana na mapunye ya kichwani nimetumia dawa takribani miaka 3 ila yanapona Tena baada ya Muda flani yanatokea.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa Uti wa Mgongo (Meningitis): Dalili za dharura.
Ugonjwa wa uti wa mgongo (meningitis) ni dharura ya kitabibu inayohitaji utambuzi na matibabu ya haraka. Makala haya yanachunguza kwa kina maana ya ugonjwa huu, visababishi vyake (bakteria, virusi, na fangasi), dalili hatarishi zinazohitaji huduma ya dharura, na njia za kujikinga. Lengo ni kutoa mwongozo wa kitaalamu kwa jamii ili kupunguza vifo na madhara ya kudumu yatokanayo na ugonjwa huu.
Soma Zaidi...