Post hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ni Maambukizi ambayo hutokea kwenye mifupa kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha ugonjwa huu.
Sababu za Maambukizi kwenye mifupa.
Kwanza kabisa Maambukizi kwenye mifupa yanaweza kuwa ya mda mfupi au pengine yanakuwa ya mda mrefu, Maambukizi haya ushambulia hasa sehemu za mikono, miguu na sehemu za kwenye kiuno ambapo mtu uhisi sana maumivu na pengine ikitokea mgonjwa akapatiwa matibabu mapema anaweza kupona na kuendelea kwenye hali yake ya kawaida, kwa hiyo iwapo mtu akasikia maumivu yasiyo ya kawaida kwenye mikono , miguu na kiuno anapaswa kuwaona wataalamu wa afya kwa matibabu zaidi.
1. Maambukizi haya usababishwa na bakteria, bakteria hao kwa kitaalamu huitwa staphylococcus Aureus na aina nyingine ya bakteria ambao nao kwa kitaalamu huitwa group B streptococcus, bakteria hao upitia sehemu mbalimbali za mwili na kuingia kwenye mifupa na kusababisha madhara makubwa. Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi haya yanayosababishwa na bakteria dawa mbalimbali utumika kutibu maambukizi haya, Ili mradi mgonjwa anapaswa kuwahi hospitali ili kupata matibabu mapema.
2. Pia ugonjwa huu usababishwa na Maambukizi kutoka sehemu mbalimbali za mwili kama vile Maambukizi kwenye mfumo wa hewa, Maambukizi kwenye sehemu ya ndani ya sikio, tonsis ambazo ni kali kuoza kwa meno haya Maambukizi yakikaa mwilini na usababisha na mifupa kupata Maambukizi kwa sababu bakteria hao waliopo kwenye sehemu nyingine za mwili wanaweza pia kusambaza na kushambulia mifupa na kusababisha ugonjwa huu. Kwa hiyo tunapaswa kutibu Maambukizi yoyote kwenye mwili ili kuepuka kuwepo kwa madhara mengine.
Kuwepo kwa aina yeyote ya uwazi kwenye mifupa.kitendo cha kuwepo kwa uwazi wowote kwenye mifupa usababisha Maambukizi kwenye mifupa, kwa mfano kuwepo kwa kidonda kilicho wazi, kuvunjika ambapo wadudu wanaweza kupita na kuharibu mfupa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa uchovu sugu ni ugonjwa tata unaoonyeshwa na uchovu mwingi ambao hauwezi kuelezewa na hali yoyote ya matibabu. Uchovu unaweza kuwa mbaya zaidi kwa shughuli za kimwili au kiakili, lakini haiboresha kwa kupumzika
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu ugonjwa wa Bawasiri na dalili zake. Pia utajifunza njia za kujilinda nao.
Soma Zaidi...Hii ni huduma ya kwanza kwa aliyeshambuliwa na pumu katika mazingira ambayo ni mbali na kituo cha afya, na hakuna dawa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili zinazoweza kujitokeza baada ya sehemu ya kupeleka taarifa kwenye ubongo imearibika, kwa hiyo mambo yafuatayo yakijitokeza utajua wazi kuwa kuna matatizo kwenye mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo.
Soma Zaidi...Post hii itakwena kukufundisha kuhusu historia fupi ya Ukimwi na matibabu yake. Ni wapi wapo hatarini kupata maambukizi na ni kitu gani wafanye?
Soma Zaidi...Saratani ya Koo inarejelea Vivimbe vya Saratani vinavyotokea kwenye koo lako (koromeo), sanduku la sauti (larynx) au tonsils.
Soma Zaidi...Pumu ni ugonjwa wa njia ya upumuaji unaojulikana na kizuizi cha muda mrefu cha njia ya upumuaji. Inahusisha mfumo wa upumuaji unaobana njia ya hewa, Inaweza kuwa ya nje (hii hutokea kwa vijana kutokana na mizio) au ya ndani (hutokea kwa wazee)
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia sehemu yenye maumivu, hili kugundua mahali mtu anaumia ushirikiano mkubwa unahitajika kati ya mgonjwa na mhudumu.
Soma Zaidi...Selulitis ni maambukizi ya ngozi ya bakteria ya kawaida, ambayo yanaweza kuwa mbaya. Cellulitis inaonekana kama sehemu nyekundu ya ngozi iliyovimba na inahisi joto na laini. Inaweza kuenea kwa kasi kwa sehemu nyingine za mwili. Cellulitis haienei kuto
Soma Zaidi...