Post hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ni Maambukizi ambayo hutokea kwenye mifupa kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha ugonjwa huu.
Sababu za Maambukizi kwenye mifupa.
Kwanza kabisa Maambukizi kwenye mifupa yanaweza kuwa ya mda mfupi au pengine yanakuwa ya mda mrefu, Maambukizi haya ushambulia hasa sehemu za mikono, miguu na sehemu za kwenye kiuno ambapo mtu uhisi sana maumivu na pengine ikitokea mgonjwa akapatiwa matibabu mapema anaweza kupona na kuendelea kwenye hali yake ya kawaida, kwa hiyo iwapo mtu akasikia maumivu yasiyo ya kawaida kwenye mikono , miguu na kiuno anapaswa kuwaona wataalamu wa afya kwa matibabu zaidi.
1. Maambukizi haya usababishwa na bakteria, bakteria hao kwa kitaalamu huitwa staphylococcus Aureus na aina nyingine ya bakteria ambao nao kwa kitaalamu huitwa group B streptococcus, bakteria hao upitia sehemu mbalimbali za mwili na kuingia kwenye mifupa na kusababisha madhara makubwa. Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi haya yanayosababishwa na bakteria dawa mbalimbali utumika kutibu maambukizi haya, Ili mradi mgonjwa anapaswa kuwahi hospitali ili kupata matibabu mapema.
2. Pia ugonjwa huu usababishwa na Maambukizi kutoka sehemu mbalimbali za mwili kama vile Maambukizi kwenye mfumo wa hewa, Maambukizi kwenye sehemu ya ndani ya sikio, tonsis ambazo ni kali kuoza kwa meno haya Maambukizi yakikaa mwilini na usababisha na mifupa kupata Maambukizi kwa sababu bakteria hao waliopo kwenye sehemu nyingine za mwili wanaweza pia kusambaza na kushambulia mifupa na kusababisha ugonjwa huu. Kwa hiyo tunapaswa kutibu Maambukizi yoyote kwenye mwili ili kuepuka kuwepo kwa madhara mengine.
Kuwepo kwa aina yeyote ya uwazi kwenye mifupa.kitendo cha kuwepo kwa uwazi wowote kwenye mifupa usababisha Maambukizi kwenye mifupa, kwa mfano kuwepo kwa kidonda kilicho wazi, kuvunjika ambapo wadudu wanaweza kupita na kuharibu mfupa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Minyoo ni katika parasite, yaani ni viumbe wanaokaa kwenye mwili na kujipatia chakula chake humo. Katika miili yetu minyoo huishi na kula kuzaliana na kukuwa. Kama unahitaji kujuwa wapi hasa wanakaa mwilini mwetu, endelea na makala hii
Soma Zaidi...Posti hii inahusisha maambukizi ya virusi vya ukimwi .pia tutangalia njia za kujikinga na ugonjwa wa UKIMWI
Soma Zaidi...Posti hii inahusu dalili za ukosefu wa misuli. ukosefu wa udhibiti wa misuli wakati wa harakati za hiari, kama vile kutembea au kuokota vitu. Ishara ya hali ya msingi, Ataxia inaweza kuathiri harakati, hotuba, harakati za jicho na kumeza.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ukimwi za kwenye ulimi na mdomo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea pale ambapo Ugonjwa wa ngiri unaposhindwa kutibiwa mapema.
Soma Zaidi...Kiufipi posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi
Soma Zaidi...post hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kifaduro ambao hujulikana Kama Pertussis pia inajulikana kama kifaduro ni maambukizi ya bakteria ambayo huingia kwenye pua yako na koo.
Soma Zaidi...Kuziba kwa utumbo ni kuziba kwa chakula au kimiminika kisipite kwenye utumbo mwembamba au utumbo mpana (colon). Kuziba kwa matumbo kunaweza kusababishwa na mikanda ya nyuzi kwenye fumbatio ambayo huunda baada ya upasuaji, mifuko iliyovimba au iliyoambuk
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya jicho,ni Magonjwa ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za jicho kwa mfano kwenye retina,kuaribu mishipa ya retina ,macho kuwa makavu na pia mtoto wa jicho, hali hii ya magonjwa ya macho Usababisha madhara mbalimbali kama
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha dalili na Mambo Hatari yanayosababisha homa ya ini Kali ya pombe.
Soma Zaidi...