Posti hii inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa watoto wadogo, tunajua kubwa mama kama ana ugonjwa huu anaweza kumwambikiza mtoto na mtoto akazaliwa na Ugonjwa huu.
Athari za Ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na kwenye sehemu za siri kwa vichanga na watoto wadogo.
1.Ugonjwa huu unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine au kutoka kwa Mama kwenda kwa mtoto pale ambapo Mama kama haujatibiwa Ugonjwa huu kwa hiyo madhara mbalimbali yanaweza kutokea kwa vichanga na watoto wadogo kama ifuatavyo.
2. Mtoto kubwa na matatizo kwenye uti wa mgongo na kwenye ubongo hali ambayo Usababisha mtoto kuw na degedege na kwa wakati mwingine mtoto uzaliwa akiwa na ulemavu wa akili. Kwa hiyo tunapaswa kutibu ugonjwa huu mara ukitokeakwa sababu unaleta madhara makubwa zaidi kwa watoto wadogo.
3.Pia kama Ugonjwa huu umekuwa sugu kwenye mwili wa mtoto uweza kusababisha hali ya kuenea kwenye viungo vingine vya mwili na kusababisha maambukizi huko , kwa mfano Maambukizi kwenye ini na kwenye mapafu hali ambayo upekea ogani hizi kuwa ha hali mbaya kwenye ufanyaji kazi kwa hiyo tunapaswa kutibu Mapema Ugonjwa huu.
4.Pia Ugonjwa huu Usababisha mtoto kutokua vizuri na kupungua uzito na kama Maambukizi yalikwenda mpaka kwenye macho mtoto anaweza kuwa kipofu au kubwa na matatizo ya macho. Kwa ujumla Ugonjwa huu ni hatari kwa maisha ya binadamu na hasa kwa watoto na usipotibiwa mapema unaweza kuleta kifo.
5.Kwa hiyo baada ya kuona madhara ya ugonjwa huu kwa watoto tunapaswa kutoa elimu kwa jamii ili kuepuka balaa hili na Dalili zote zinapaswa kuwekwa wazi ili watu wakijua ugonjwa wataweza kuutibu na kuzuia maambukizi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Virusi vya korona ni katika aina za virusi ambavyo asili yake ni kutoka kwa wanyama na kuja kwa binadamu.
Soma Zaidi...ugonjwa wa kisukari ni moja katika magonjwa hatari sana, na mpaka sasa bado hauna matibabu ya kuponya moja kwa moja
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa vipele kwenye midomo na sehemu za siri .Ni ugonjwa ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster. Kwa hiyo ili kugundua kubwa mtu ana Ugonjwa huu Dalili kama hizi zifuatazo zinaweza kutokea kwa mgonjwa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kupambana na kuzuia gonorrhea
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kufanya figo kuharibika.hili ni janga ambalo linawakumba Watu wengi siku hizi na kusababisha kupoteza maisha kwa wagonjwa wa figo hasa hasa kwa wale ambao hawana uwezo wa kulipia hela ya kusafishia figo.
Soma Zaidi...Post inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.ugonjwa huu uleta madhara kwa wajawazito kama tutakavyoona
Soma Zaidi...SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO Sababu za kawaida za vidonda vya tumbo ni maambukizo na bakteria Helicobacter pylori (H.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili na Sababu za Homa ya manjano ya watoto wachanga ni kubadilika rangi kwa manjano katika ngozi na macho ya mtoto mchanga. Homa ya manjano ya mtoto hutokea kwa sababu damu ya mtoto ina ziada ya rangi ya
Soma Zaidi...Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu matibabu ya vidonda vya tumbo sugu
Soma Zaidi...