Posti hii inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa watoto wadogo, tunajua kubwa mama kama ana ugonjwa huu anaweza kumwambikiza mtoto na mtoto akazaliwa na Ugonjwa huu.
Athari za Ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na kwenye sehemu za siri kwa vichanga na watoto wadogo.
1.Ugonjwa huu unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine au kutoka kwa Mama kwenda kwa mtoto pale ambapo Mama kama haujatibiwa Ugonjwa huu kwa hiyo madhara mbalimbali yanaweza kutokea kwa vichanga na watoto wadogo kama ifuatavyo.
2. Mtoto kubwa na matatizo kwenye uti wa mgongo na kwenye ubongo hali ambayo Usababisha mtoto kuw na degedege na kwa wakati mwingine mtoto uzaliwa akiwa na ulemavu wa akili. Kwa hiyo tunapaswa kutibu ugonjwa huu mara ukitokeakwa sababu unaleta madhara makubwa zaidi kwa watoto wadogo.
3.Pia kama Ugonjwa huu umekuwa sugu kwenye mwili wa mtoto uweza kusababisha hali ya kuenea kwenye viungo vingine vya mwili na kusababisha maambukizi huko , kwa mfano Maambukizi kwenye ini na kwenye mapafu hali ambayo upekea ogani hizi kuwa ha hali mbaya kwenye ufanyaji kazi kwa hiyo tunapaswa kutibu Mapema Ugonjwa huu.
4.Pia Ugonjwa huu Usababisha mtoto kutokua vizuri na kupungua uzito na kama Maambukizi yalikwenda mpaka kwenye macho mtoto anaweza kuwa kipofu au kubwa na matatizo ya macho. Kwa ujumla Ugonjwa huu ni hatari kwa maisha ya binadamu na hasa kwa watoto na usipotibiwa mapema unaweza kuleta kifo.
5.Kwa hiyo baada ya kuona madhara ya ugonjwa huu kwa watoto tunapaswa kutoa elimu kwa jamii ili kuepuka balaa hili na Dalili zote zinapaswa kuwekwa wazi ili watu wakijua ugonjwa wataweza kuutibu na kuzuia maambukizi.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1466
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 Simulizi za Hadithi Audio
👉4 Kitabu cha Afya
👉5 Kitau cha Fiqh
👉6 kitabu cha Simulizi
Saratani ya Matiti ya wanaume.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Saratani ya matiti ya Mwanaume ni Saratani nadra ambayo hutokea katika tishu za matiti za wanaume. Ingawa saratani ya matiti hufikiriwa zaidi kuwa ugonjwa wa wanawake, saratani ya matiti ya mwanaume hutokea. Saratani y Soma Zaidi...
Je mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa?
Naomba kuuliza swaliJe mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa? Soma Zaidi...
Matatizo yanayosababisha mshtuko wa moyo.
Mshtuko wa moyo hutokea wakati mtiririko wa damu kwa moyo umezuiwa, mara nyingi kwa mkusanyiko wa mafuta, cholesterol na vitu vingine, ambayo huunda plaque katika mishipa inayolisha moyo (mishipa ya moyo). Mtiririko wa damu ulioingiliwa unaweza kuharibu Soma Zaidi...
Je wiki 1 dalili zinaonyesha za maambukizi ya ukimwi na wiki 3 vipimo vinaweza kuonyesha Kama umeasilika
Muda ambao maambukizi ya virusi vya ukimwi kuonyesha dalili unaweza kutofautiana kutika mtu hadi mwingine. Soma Zaidi...
Maambukizi kwenye uume
Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye uume, maambukizi hata utokea kwenye kichwa Cha uume kwa kitaalamu huitwa Balanitis, zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa ugonjwa huu. Soma Zaidi...
Je fangasi ikikaa kwa muda mrefu bila kutibiwa ina madhara gani?
Je umeshawaho kujiuliza maswali mengi kihusu fangasi?. Huyu hapa ni mmoja katika waulizaji waliopata kuuliza rundo la maswali haya. Soma post hii kuona nini ameuliza Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kisukari
Ugonjwa wa kisukari hurejelea kundi la magonjwa yanayoathiri jinsi mwili wako unavyotumia sukari kwenye damu (glucose). Glucose ni muhimu kwa afya yako kwa sababu ni chanzo muhimu cha nishati kwa seli zinazounda misuli na tishu zako. Pia ndio chanzo ki Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo
hapa utajifunza maradhi mbalimbali yanatopelekea kuwepo kwa maumivu ya tumbo Soma Zaidi...
Ugonjwa wa saikolojia wa kujitenga na watu.
Ugonjwa wa kuharibika kwa mwili ni aina ya ugonjwa sugu wa Akili ambao huwezi kuacha kufikiria kuhusu kasoro katika mwonekano wako au ya kuwaziwa. Lakini kwako, mwonekano wako unaonekana kuwa wa aibu sana hivi kwamba hutaki kuonekana na mtu yeyote Soma Zaidi...
Ugonjwa wa UTI
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa UTI Soma Zaidi...
Ujue ugonjwa wa tauni
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa tauni ambao kwa kitaalamu huitwa plague ni Ugonjwa unaosababishwa na wadudu ambao huitwa kitaalamu huitwa yersinia pestis ambao ukaa ndani ya panya. Soma Zaidi...
Habari nasumbuliwa na tumbo upande wakilia adi nikikojoa mkojo wa mwisho uwa wa kahawia tiba take nini?
Maumivu ya tumbo yanaweza kusababishwa na mambo mengi ikiwemo typhod, vidonda vya tumbo na shida nyingine kwenye mfumo wa chakula. Soma Zaidi...