Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa watoto wadogo.


image


Posti hii inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa watoto wadogo, tunajua kubwa mama kama ana ugonjwa huu anaweza kumwambikiza mtoto na mtoto akazaliwa na Ugonjwa huu.


Athari za Ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na kwenye sehemu za siri kwa vichanga na watoto wadogo.

1.Ugonjwa huu unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine au kutoka kwa Mama kwenda kwa mtoto pale ambapo Mama kama haujatibiwa Ugonjwa huu kwa hiyo madhara mbalimbali yanaweza kutokea kwa vichanga na watoto wadogo kama ifuatavyo.

 

2. Mtoto kubwa na matatizo kwenye uti wa mgongo na kwenye ubongo hali ambayo Usababisha mtoto kuw na degedege na kwa wakati mwingine mtoto uzaliwa akiwa na ulemavu wa akili. Kwa hiyo tunapaswa kutibu ugonjwa huu mara ukitokeakwa sababu unaleta madhara makubwa zaidi kwa watoto wadogo.

 

3.Pia kama Ugonjwa huu umekuwa sugu kwenye mwili wa mtoto uweza kusababisha hali ya kuenea kwenye viungo vingine vya mwili na kusababisha maambukizi huko  , kwa mfano Maambukizi kwenye ini na kwenye mapafu hali ambayo upekea  ogani hizi kuwa ha hali mbaya kwenye ufanyaji kazi kwa hiyo tunapaswa kutibu Mapema Ugonjwa huu.

 

4.Pia Ugonjwa huu Usababisha mtoto kutokua vizuri na kupungua uzito na kama Maambukizi yalikwenda mpaka kwenye macho mtoto anaweza kuwa kipofu au kubwa na matatizo ya macho. Kwa ujumla Ugonjwa huu ni hatari kwa maisha ya binadamu na  hasa kwa watoto na usipotibiwa mapema unaweza kuleta kifo.

 

5.Kwa hiyo baada ya kuona madhara ya ugonjwa huu kwa watoto tunapaswa kutoa elimu kwa jamii ili kuepuka balaa hili na Dalili zote zinapaswa kuwekwa wazi ili watu wakijua ugonjwa wataweza kuutibu na kuzuia maambukizi.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    3 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    4 Jifunze Fiqh    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Dalili na ishara za kuvimba kope.
Posti hii inaonyesha Dalili na ishara za kuvimba kope ambayo kitaalamu hujulikana Kama blepharitis. Soma Zaidi...

image Dalili za selulitis.
Selulitis ni maambukizi ya ngozi ya bakteria ya kawaida, ambayo yanaweza kuwa mbaya. Cellulitis inaonekana kama sehemu nyekundu ya ngozi iliyovimba na inahisi joto na laini. Inaweza kuenea kwa kasi kwa sehemu nyingine za mwili. Cellulitis haienei kutoka kwa mtu hadi mtu. Soma Zaidi...

image Namna ya kusaidia mwili kupambana na maradhi
Somo hili linakwenda kukuletea namna ambavyo mwili unapambana na maradhi Soma Zaidi...

image Huduma ya kwanza kwa mtu aliyeng,area na wadudu
Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza kwa mtu aliyengatwa na wadudu. Wadudu ni viumbe vidogo ambavyo hukaa sehemu mbalimbali kama vile kwenye miti na sehemu kama hizo Soma Zaidi...

image Dalili za presha ya kushuka
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za presha ya kushuka Soma Zaidi...

image Ugonjwa wa dondakoo
Dondakoo ni ugonjwa mbaya unaosababishwa na sumu inayotengenezwa na bakteria. Husababisha mipako nene nyuma ya pua au koo ambayo inafanya kuwa ngumu kupumua au kumeza. Inaweza kuwa mauti. Soma Zaidi...

image Mabaka yanayowasha chini ya matiti.
Posti hii inahusu zaidi mabaka yanayowasha chini ya matiti, ni ugonjwa ambao uwapata wanawake walio wengi na wengine hawajapata jibu Sababu zake ni zipi na pengine uchukua hatua za kutumia miti shamba wakidai juwa hospitalini nugonjwa huu hautibiwa, ila ni sababu za kawaida zinazosababisha ugonjwa huu na pia unatibika vizuri sana. Soma Zaidi...

image Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito
Post inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.ugonjwa huu uleta madhara kwa wajawazito kama tutakavyoona Soma Zaidi...

image Huduma kwa wanaotoa damu yenye mabonge
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wanaotoa hedhi yenye mabonge, ni tatizo ambalo uwakumba wasichana hata wanawake wakati wa hedhi. Soma Zaidi...

image Vitu vinavyochochea kuwepo kwa Ugonjwa wa ukimwi.
Posti hii inahusu zaidi vitu ambavyo vinasababisha kuongezeka kwa Ukimwi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na baada ya watu kujua Ugonjwa huu na matokeo ila bado ugonjwa unazidi kuongezeka. Soma Zaidi...