Menu



Nguvu za kiume Ni nini?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya nguvu za kiume

NGUVU ZA KIUME NI NINI?

Tunapozungumzia nguvu za kiume ni uwezo wa mwanaune kusimamisha uume kutokana na kupatwa na hisia za kushirikintendonla ndoa. Katika kusimamisha huku kuna wengine wanasimamisha kwa muda mchache na wengine kwa muda mrefu.  Kitu hasa kinachoangaliwa sana ni uwezo wa uume kusimama na kuwa imara wakatinwa kushirikintendonla ndoa.

 

Je upungufu wa nguvu za kiume ni nini?

Upungufu wa nguvu za kiume hapa tunaangalia uwezo wa uume kuendelea kusimama na kuwa imara wakati wankyinguanna kutoka kwenye uke pindinmtu anaposhiriki tendonla ndoa. Kama mwanaune hawezi kusimamisha uume wake ndani ya dakika 3 wakati anashuriki tendonla ndoa huyuntunasema ana upungufu wa nguvu za kiume. Kuna wengine anaishia sekunde kadhaa tunbaada ya uume kuingiankwenyenuke.

 

Nguvu za kiumr kwa katika hali ya kawaida. Kikawaida nguvu za kiume zinaweza kuwa kati ya dalika 5. Wapo ambao wanafika dakika mpaka 15 wao ambao hawafiki. Lakinj kama unafika dakika 5 huna tatizo la nguvu za kiume, unahitajinushauri tunili kuzutumia vyema nguvu zako.

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 3535


Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zifazofanana:-

Maji ya Amniotic
Posti hii inahusu zaidi maji ya Amniotic ni maji ambayo uzunguka mtoto na kufanya kazi mbalimbali kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

mim mjamzito lakini maumwa kiuno nakuacha nakuvuta ukeni wiki ya 39 na siku4
Soma Zaidi...

Sababu za za ugumba kwa Mwanaume
Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba. Soma Zaidi...

Zijue mbegu za kiume zilizo bora.
Posti hii inahusu zaidi mbegu ambazo ni nzima na ambazo zina sifa ya kutungisha mimba kwa hiyo mbegu hizi utazigundua kwa kuwa na sifa zifuatazo. Soma Zaidi...

Njia za kufanya ili kuepukana na tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo mtu anapaswa kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili kisiweze kutokea na pia kama jamii ikishirikiana kwa pamoja tunaweza kuepusha kwa kufanya yafuatayo. Soma Zaidi...

Sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake Soma Zaidi...

Hivi kipimo cha mimba cha mkojo baada ya kutumika Mara 1 ,hakiruhusiw tena kutumika au
Je ni kweli kupima kimoja cha mloka kinaweza kupima mimba zaidi ya mara moka? Soma Zaidi...

Chanzo cha tatizo la mvurugiko wa hedhi.
Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut Soma Zaidi...

Haya maji meupe hutokea wakat mimba ishatungwa au ukifanya tendo la ndoa lazima utokee?
Majimaji yanayitoka kwenye uke yanafungamana na taarifa nyingi kuhusu afya vya mwanamke. Ujauzito, maradhi, mabadiliko ya homoni na zaidi. Soma Zaidi...

Dalili ambazo mwanamke hapaswi kufumbia macho
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mwanamke hapaswi kufumbia macho. Soma Zaidi...