Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu ambaye ana tatizo kwenye mishipa ya retina,ni tatizo ambalo uwakumba wafu wengi wenye matatizo ya kisukari.
Dalili za kuaribika kwa mishipa ya retina.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa ili mtu aje kuona kitu retina inapaswa kupeleka ujumbe kwenye ubongo kupitia kwa mfumo wa kupeleka picha na mtu unaweza kutambua kitu kinachotokea kwa hiyo kuna kipindi mishipa hii uharibika ili tuweze kujua kama mishipa imearibika Dalili zifuatazo zinaweza kutokea.
2. Mgonjwa wa tatizo hili anaona vitu kwa rangi zisizoekewa na pengine anashindwa kutambua kubwa ni rangi gani na tatizo hili lisipotibiwa mapema upofu unaweza kutokea kwa hiyo mtu akipata tatizo hili Awahi mapema hospitalini kwa matibabu.
3. Na kwa wakati mwingine Mgonjwa anaona giza tu hali hii inaweza kutokea kwa ghafla au kwa mda na taratibu ikitokea mgonjwa anaanza kuona giza ni vizuri kuwahi hospitali ili kuweza kupata matibabu mapema .
4. Tatizo likidumu kwa mda mrefu bila kutibiwa Mgonjwa anaweza kuwa kipofu moja kwa moja kwa hiyo wapendwa tunapaswa kujua kuwa jicho likipata shida yoyote hata iwe ndogo ni vizuri kumpeleka mgonjwa hospitalini moja kwa moja ili kupata huduma na kuepuka madhara ya upofu kwa hiyo tatizo likipekekwa hospitalini likiwa dogo kutibiwa ni rahisi na madhara yanakuwa kidogo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi Njia za kufanya Ili kupunguza maumivu ya tatizo la uti wa mgongo, ni njia unazopaswa kufanya pale unapokuwa na tatizo la uti wa Mgongo.
Soma Zaidi...DAWA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO Dawa za kukabiliana na zaidi ambazo zina calcium carbonate (Tums, Rolaids), zinaweza kusaidia kutibu vidonda vya tumbo lakini hazipaswi kutumiwa kama matibabu ya msingi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia au mbinu ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepuka kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii, hizi ni njia za awali za kupambana na kuwepo kwa Ugonjwa wa Bawasili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ugonjwa huu uaribu zaidi kwenye mifupa na sehemu nyingine ambazo zinakaribia kwenye mifupa
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea namna na jinsi ya kujikinga au kuzuia Ugonjwa wa ini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za jeraha kali kwenye ubongo, ni majeraha ambayo utokea kwenye ubongo pale ambapo mtu anapata ajali au amepigwa na kitu chochote kigumu kichwni, zifuatazo ni dalili za jeraha kali kwenye ubongo
Soma Zaidi...FAIDA ZA KIAFYA ZA MINYOO Wakati mwingine kuwa na aina flani ya minyoo kunaweza kuwa na faida katika afya.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yatokanayo na fangasi
Soma Zaidi...