Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu ambaye ana tatizo kwenye mishipa ya retina,ni tatizo ambalo uwakumba wafu wengi wenye matatizo ya kisukari.
Dalili za kuaribika kwa mishipa ya retina.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa ili mtu aje kuona kitu retina inapaswa kupeleka ujumbe kwenye ubongo kupitia kwa mfumo wa kupeleka picha na mtu unaweza kutambua kitu kinachotokea kwa hiyo kuna kipindi mishipa hii uharibika ili tuweze kujua kama mishipa imearibika Dalili zifuatazo zinaweza kutokea.
2. Mgonjwa wa tatizo hili anaona vitu kwa rangi zisizoekewa na pengine anashindwa kutambua kubwa ni rangi gani na tatizo hili lisipotibiwa mapema upofu unaweza kutokea kwa hiyo mtu akipata tatizo hili Awahi mapema hospitalini kwa matibabu.
3. Na kwa wakati mwingine Mgonjwa anaona giza tu hali hii inaweza kutokea kwa ghafla au kwa mda na taratibu ikitokea mgonjwa anaanza kuona giza ni vizuri kuwahi hospitali ili kuweza kupata matibabu mapema .
4. Tatizo likidumu kwa mda mrefu bila kutibiwa Mgonjwa anaweza kuwa kipofu moja kwa moja kwa hiyo wapendwa tunapaswa kujua kuwa jicho likipata shida yoyote hata iwe ndogo ni vizuri kumpeleka mgonjwa hospitalini moja kwa moja ili kupata huduma na kuepuka madhara ya upofu kwa hiyo tatizo likipekekwa hospitalini likiwa dogo kutibiwa ni rahisi na madhara yanakuwa kidogo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti inazungumzia Ugonjwa kwenye fupa nyonga ambapo kitaalamu hujulikana Kama {Pelvic inflammatory (PID) ni maambukizi ya viungo vya uzazi vya mwanamke.
Soma Zaidi...Utapiamlo Mkali sana (Marasmus) hufafanuliwa kama aina kali ya utapiamlo ambayo ina sifa ya kupoteza. Utapiamlo uliokithiri umeainishwa katika Utapiamlo Mkali sana (SAM) na Utapiamlo Uliokithiri wa Wastani (MAM), kulingana na kiwango cha kupoteza na kuw
Soma Zaidi...posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa wa kuvimba kwa mishipa ya damu katika mwili wako wote. Kuvimba kwa Mishipa ya Damu hujulikana Kama Behcet amboyo husababisha dalili nyingi ambazo hapo awali zinaweza kuonekana kuwa hazihusiani. Dalili na ish
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi adhari za ugonjwa wa Homa ya inni, hizi ni athari ambazo zinaweza kutokea ikiwa ugonjwa huu wa inni haujatibiwa, zifuatazo ni athari za ugonjwa wa inni
Soma Zaidi...Ijuwe historia ya VVu, Dalili zake, tiba na vipimo vyake pia njia za kueneza VVU na UKIMWI
Soma Zaidi...Makala hii itaeleza dalili za ukimwi, dalili za VVU, magonjwa nyemelezi na matumizi ya ARV
Soma Zaidi...Huu ni ugonjwa wa fangasi wanaosababishwa na mashambulizi ya fangani aia ya yeast waitwao candida.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha Dalili na ishara za kuvimba kope ambayo kitaalamu hujulikana Kama blepharitis.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na maambukizi ya tishu ya matiti ambayo husababisha maumivu ya matiti, uvimbe, joto na uwekundu. Pia unaweza kuwa na Homa na baridi. Ugonjwa huu huwapata zaidi wanawake wanaonyonyesha ingawa wakati mwingine hali hi
Soma Zaidi...