Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu ambaye ana tatizo kwenye mishipa ya retina,ni tatizo ambalo uwakumba wafu wengi wenye matatizo ya kisukari.
Dalili za kuaribika kwa mishipa ya retina.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa ili mtu aje kuona kitu retina inapaswa kupeleka ujumbe kwenye ubongo kupitia kwa mfumo wa kupeleka picha na mtu unaweza kutambua kitu kinachotokea kwa hiyo kuna kipindi mishipa hii uharibika ili tuweze kujua kama mishipa imearibika Dalili zifuatazo zinaweza kutokea.
2. Mgonjwa wa tatizo hili anaona vitu kwa rangi zisizoekewa na pengine anashindwa kutambua kubwa ni rangi gani na tatizo hili lisipotibiwa mapema upofu unaweza kutokea kwa hiyo mtu akipata tatizo hili Awahi mapema hospitalini kwa matibabu.
3. Na kwa wakati mwingine Mgonjwa anaona giza tu hali hii inaweza kutokea kwa ghafla au kwa mda na taratibu ikitokea mgonjwa anaanza kuona giza ni vizuri kuwahi hospitali ili kuweza kupata matibabu mapema .
4. Tatizo likidumu kwa mda mrefu bila kutibiwa Mgonjwa anaweza kuwa kipofu moja kwa moja kwa hiyo wapendwa tunapaswa kujua kuwa jicho likipata shida yoyote hata iwe ndogo ni vizuri kumpeleka mgonjwa hospitalini moja kwa moja ili kupata huduma na kuepuka madhara ya upofu kwa hiyo tatizo likipekekwa hospitalini likiwa dogo kutibiwa ni rahisi na madhara yanakuwa kidogo.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download Nowposti hii inahusu dalili za Homa ya Manjano ni maambukizi ya virusi yanayoenezwa na aina fulani ya mbu. Maambukizi hayo ni ya kawaida zaidi na kuathiri wasafiri na wakazi wa maeneo hayo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi,ni kutokana na kazi zao pamoja na mazingira yao kwa hiyo wako kwenye hatari ya kupata Ugonjwa wa ukimwi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu athari za maambukizi ya magonjwa ya ngono ambapo magonjwa ya ngono isipokuwa UKIMWI yanatibika .mgonjwa anashauriwa kuwahi hospitali au kituo chochote cha afya kupata matibabu mara anapoona dalili za magonjwa haya.
Soma Zaidi...Jifunze dalili za gonorrhea na namna inavyoambukiza, zipi athari za gonori kwa wanawae na wanaume
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kushiriki ngono na mtu aliye na VVU na UKIMWI
Soma Zaidi...Karibia fangasi wote hawa wanatibika bila ya ugumu wowote maka mgonjwa atakamilisha dozi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Sababu za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, hali hii uwatokea sana wanawake zaidi ya wanaume, kwa kitaalamu hali hii ya kuwa na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo huitwa cystitis.
Soma Zaidi...Mimi nilifanya ngono isiyo salama Tar 14/07 mwaka huu, nilikutana tu na mwanamke ambae sikuwa hata na background yake yoyote hivyo baada ya siku tatu nilijikuta nina maambukizi ya zinaha (maumivu wakati wa kukojoa na usaha), hivyo nilienda hospital na kup
Soma Zaidi...Makala hii itaeleza dalili za ukimwi, dalili za VVU, magonjwa nyemelezi na matumizi ya ARV
Soma Zaidi...Ugonjwa huu hupelekea kuvimba kwenye ini yako ambayo hutokea wakati mfumo wa kinga ya mwili wako unaposhambulia ini lako.
Soma Zaidi...