Posti hii inaonyesha dalili,sababu na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyepata jeraha kwenye ngozi kwa kuingiliwa na kitu Kama mwiba,Pini,sindano n.k
Ishara na Dalili za mwenye jeraha kwenye ngozi
1.kuwa na Maumivu.
2.kuvuja Damu sehemu iliyopata jereha.
3. Kuvimba
Vitu vinavyoweza kusababisha jeraha kwenye ngozi
1.miiba
2.vitu vyenye ncha Kali kama misumari, sindano za kushona, pini n.k.
3. Kioo cha glasi.
Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyepata jeraha kwenye ngozi
1. Osha mikono yako na safisha eneo vizuri kwa sabuni na maji.
2. Ikiwa kitu kiko ndani ya ngozi chukua sindano safi, yenye ncha kali ili kutolea Kama inawezekana
3. Inua ncha ya kitu kilichopo kwenye ngozi na ukishike kwa mkono wako
4. Finya jeraha taratibu il damu itoke na kuosha vijidudu.
5. Osha eneo hilo tena na kulikausha.
6. Tafuta usaidizi wa haraka wa matibabu Kama jeraha linaonekana kuwa kimewekwa ndani ya ngozi au misuli.
6. Usijaribu kuondoa kitu kilichoingia Ndani zaidi ya Ngozi kama huna ujuzi wa kufanya hivyo maana unaweza Kufanya hivyo kunaweza kusababisha madhara zaidi.
7. Ikiwezekana, dhibiti uvujaji wa damu kwa kukandamiza kwa nguvu ili Damu zisitoke.
8. Funga jeraha, weka kitambaa safi karibu na kidonda kabla ya kuifunga kidonda kwa bandeji au kipande cha kitambaa safi. Jihadharini usibonyeze sana kitu kilichoingia Ndani ya Ngozi.
9.mpeleke mgonjwa kituo Cha afya kwaajili ya matibabu zaidi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Tawhid Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 940
Sponsored links
π1
Madrasa kiganjani
π2
Simulizi za Hadithi Audio
π3
kitabu cha Simulizi
π4
Kitabu cha Afya
π5
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
π6
Kitau cha Fiqh
Nafsi ya mwanadamu inavyothinitisha uwepo wa Allah
Mwanadamu ukifikiria vyema. Kuhusu nafsi yako, hakika utapatabfikra yabuwepp wa Mwenyezi Mungu Soma Zaidi...
elimu yenye manufaa
Soma Zaidi...
Sifa za waumini zilizotajwa katika surat Al-Muβuminuun (23:1-11)
Soma Zaidi...
Neema za Allah(s.w) Juu ya Bani Israil
Katika Qur'an tunakumbushwa neema mbali mbali walizotunukiwa Bani Israil (Mayahudi) na Mola wao ili kuwawezesha kusimamisha Ufalme wa Allah(s. Soma Zaidi...
Kujiepusha na kula mali ya Yatima
Waumini wanawajibika kuwatunzia mayatima mali zao na kuwakabidhi wanapofikia baleghe yao baada ya kuwajaribu na kuthibitisha kuwa wanao uwezo wa kutunza mali zao - Rejea Qur-an (4:5-6). Soma Zaidi...
1.0 NJIA ZA KUMJUA MWENYEZI MUNGU (S.W)
1. Soma Zaidi...
Sifa za Wanafiki zilizotajwa katika Surat ahzab
Na waliposema wanafiki na wale wenye maradhi nyoyoni mwao, "Mwenyezi Mungu na Mtume wake hawakutuahidi ila udanganyifu tu. Soma Zaidi...
Sifa za Waumini zilizotajwa katika surat Ahzab
Bila shaka wanaume wenye kufuata vizuri nguzo za Uislamu, na wanawake wanaozifuata vizuri nguzo za Uislamu, na wanaume wanaoamini vizuri nguzo za Imani, na wanawake wanaoamini vizuri nguzo za Imani, na wanaume wanaotii, na wanawake wanaotii, na wanaume wa Soma Zaidi...
Sifa za waumini zilizotajwa katika surat Al-Furqaan (25:64-76)
Soma Zaidi...
Nafasi ya Elimu katika uislamu
Elimu imepewa kipaumbele kikubwa kwenye uislamu. Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nafasi ya Elimu katika uislamu. Soma Zaidi...