25.
25.Jeni bafuni.
Jeni aliingia chumba cha kuoga yaani bafuni. Baada ya muda akatoka na nywele zake zikiwa kavu bila hata ya kutoto. Unadhani jeni aliwezaje kufanya hivi?
Jibu
Ni kwa sababu jeni hakuoga
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Chemshabongo, Je? ungelikuwa ni w ewe ungetorokaje gerezani?
Soma Zaidi...Kutoka kwenye usingizi mzito unaamka, Haujui nini kimetokea (uenda ukawa umepoteza kumbukumba).
Soma Zaidi...