25.
25.Jeni bafuni.
Jeni aliingia chumba cha kuoga yaani bafuni. Baada ya muda akatoka na nywele zake zikiwa kavu bila hata ya kutoto. Unadhani jeni aliwezaje kufanya hivi?
Jibu
Ni kwa sababu jeni hakuoga
Umeionaje Makala hii.. ?
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Chemshabongo, Je? ungelikuwa ni w ewe ungetorokaje gerezani?
Soma Zaidi...