image

Simulizi za Hadithi EP 1 Part 2: Simulizi ya kisa cha mfugaji na mkewe

Simulizii hii ni inatoka katika kitabu cha kwanza cha HALIF LELA U LELA

Kisa cha mfugaji na mkewe

 

Hapo zamani kulikuwa na mfugaji maarufu sana na alikuwa ni tajiri na mfanyabiashara aliyekuwa na mafanikio makubwa. Alikuwa anaelewa lugha za wanyama. Alipata tunu hii kwa sharti kuwa asisimulie kwa yeyote mazungumzo ya wanyama na pindi tu akisimulia alichokisikia atakufa hapohapo. Alikuwa akifurahia sana kuwaona wanyama wake na kujuwa nini wanazungumza. Alikuwa na banda lake la wanyama ambapo ndani kulikuwa na ng’ombe na punda, ambapo kazi ya kuwasimamia wanyama hawa alimpa mtumwa wake.

Siku iliyofuata ng’ombe akafanya kama alivyoshauriwa na punda, akamtisha mfanyakazi na akamkimbiza akataka kumchoma kwa pembe zake. Alikataa kula chakula. Siku iliyofuata mfanyakazi akakuta kile chakula alichokilet jana kipo vilevile hivyo akatoa taarifa kwa bwana wake. Mfugaji akamuamuru mfanyakazi wake amchukuwe punda kwenda kulima amfanyie mazoezi. Hivyo siku ile punda akapew mazoezi ya kulima na akalima pia kwa jembe la kubuluza (plau). Jioni akarudi akiwa amechoka sana.

 

Kufika hapa waziri akamwambia mtoto wake Schehra-zade “binti yangu hivi unataka kuangamia kama punda alivyomshauri mwenzie vibaya na akaumia mwenyewe?” Schehra-zade akamwambia baba yake “baba bado msimamo wangu upo pale pale nipeleke kwa sultani nikakomeshe tabia yake. Lakini baba bado sijajuwa mke wa mfugaji kilichompata?” alizungumza Schehra-zade kutaka hadithi iendelee. Waziri akaendelea kumsimulia Schehra-zade hadithi hii

 

Siki moja mfugaji akiwa na mkewe wameketi karibu na banda la wanyama hawa ili kujuwa nini punda atamshauri mwenzie. Akamsikia punda akimwambia ng’ombe “rafiki yangu nakupa ushauri unisikilize vizuri. Nimemsikia bwana wetu akimwambia mfanya kazi kuwa kama hali yako utaendelea nayo basi uchinjwe na upelekwe buxher ukauzwe nyama. Hivyo nakushauri kesho utii amri ya mfanya kazi hivyo atadhani kuwa ulukuwa umeumwa na sasa umepona” ngo’ombe alionekana kutii ushauri huu. Hapo mfugaji akacheka sanaa. Kicheko hiki kilistaajabisha hata mkewe. Mkewe akataka kujua kinachomchekesha akamjibu ni siri na nikikwambia nitakufa ila naweza kusema kuwa ninacheka kwa sababu ya mazungumzo kati ya punda na ng’ombe.

 

Mke huyu alionekana kuwa na msimamo wa kutaka kujuwa hasa nini mazungumzo hayo nini kilisemwa mpaka akacheka. Akaahidi kama asipomwambia atarudi kwao. Ugomvi ukawa mkubwa ikafikia hatuwa ya kuita ndugu waje kusuluhisha. Mfugaji akabaki na msimamo wake kuwa kama atasema atakufa paohapo na mke akafikia kusema kama asipi niambaia na mimi nitajiuwa. Hali hii iliendelea kwa muda mpaka kufikia hali mbaya zaidi. Mfugaji akiwaza nimwambie ili nife kwa kumridhisha mke wangu au nisimwambie. Na nisipo mwambia atajiuwa. Ni mawazo ya mfugaji. Ugomvi uliendelea kwa siku kadhaa bila ya maelewano pale ndani.

 

Siku moja alikaa nyumbani kwake ghafla akamuona mbwa wake aliyempenda sana anamkimbilia jogoo la kuku. Kisha akamuelezea mambo yote yaliyompata bwana wake yaani mfugaji na mkewe. Hapo jogoo akacheka sana kisha akamwambia “bwana wako ni mpumbavu kweli, hivi hauniono mimi nina wake zaidi ya hamsini hapa na ninafanya ninalo taka, lakini yeye ana mke mmoja tuu pia anampa wakatimgumu hivi. Akieleza siri atakufa hapa dawa ni ndogo tu. Achukuwe fimbo mzuuri kisha amtandike kisawasawa, bila shaka atarudisha akili yake.” Baada ya maneno haya jogoo likawika na kuondoka zake kwa mwendo wa madaha.

 

Mfugaji alifikiri atumie ule ushauri wa jogoo, asubuhi ya siku ilofata mke wa mfugaji aliendelea na vurumai lake. Mfugaji akaagiza aletewe bakora nzuri na kutekeleza ushauri wa jogoo. Mambo yakatulia nyumbani na hakuleta vurumai liole tena. Baada ya kumaliza kusimulia hadithi hii waziri akamwambia Schehra-zade “binti yangu, je unataka na mimi nitumie uamuzi wa jogoo?” Schehra-zade akamwambia baba yake “hapana baba ila mi nadhani hadithi hii hainitoshelezi kubadili uamuzi wangu”. Basi waziri baada ya mazungumzo marefu akakubaliana na maamuzi ya mwanae na kukubali kumpeleka kuwa bibi harusi kwa sultan kwa usiku uliofuata.

 

Siku ile waziri akaenda kwa sultan kwa masikitiko na majonzi akamweleza sultan kiola ambacho kilitokea kati ya yeye na binti yake. “sultan Schehra-zade anataka kwa heshima yako awe mkeo japo kwa usiku mmoja tu. Nimejaribu kumnasihi na kumkataza kwa hali zote nilizoziweza lakini imeshindikana” ni mameno ya waziri alo,mwabia sultan. “Unajuwa fika kuwa asubhi baada ya harusi itabidi ushukuwe amri ya kumuuwa na ukishindwa na wewe pia utauliwa na kichwa chako kutundikwa.” ni mameno ya mfalme akisikika anamwambia waziri. Baaada ya mazungumzo marefu Waziri akarudi nyumbani kwa majinzi na kumueleza binti yake ajiandae kwa harusi jiono ilofata.

 

Schehra-zade akamueleza mdogo wake Dinar-zade “mdogo wangu ninaombi unifanyie huenda likawa ndio la mwisho kabla sijauliwa au likanusuru maisha yangu na maisha ya mabinti wengine wa nchi hii”. Nilipi hilodada? Dinar-zade alimuuliza dada yake. Schehra-zade akaendelea kumweleza “nitakapokuwa nimeingia kwa mfalme nitamwomba ruhusa ya kuwa na wewe katika chumba kile ili nipate kukuaga kabla sijauliwa. Hivyo nikipewa ruhusa hivyo itakapofika saa 11 alfajiri niamshe kisha uliombe nikusimulie hadithi nzuri iwe kama furaha ya kuagana”. Mdogo wake akakubaliana na wazo hilo la dada yake.

 

Hal ilikuwa kama hivyo na harusi ikafanyika kati ya sultan na bint wa waziri mkuu. Bibi harusi akaingia kwenye jumba la kifalme huko akakutana na sura ya sultani. Kwa madaha na manjinjo akamuomba ombi lake la kuruhisiwa kuwa na mdogo wake usiki ule katika chumba kimoja ili aweze kumuaga kesho asubhi kabla ya kuuliwa. Sultan akakubali ombi lile na kuamuru Dinar-zade aletwe na chemba maalumu ikaandaliwa ndani pale.

 

Mambo yakawa kama hivyo usiku haukuwa mrefu kati ya mabint wawili hawa. Ilipofika lisaa limoja kabla ya kupambazuka Dinar-zade akamwambia dada yake “dada yangu kipenzi, naomba unifurahishe kwa kunisimulia hadithi nzuuri iwe kama furaha ya mwisho ya kuagana kabla ya kuuliwa” Schehra-zade kabla ya kumjibu mdogo wake akaomba ruhusa kwa sultan ili amruhusu aweze kutimiza matakwa ya mdogo wake kipenzi. “hakuna shida msimulie tuu ….”’ ni maneno ya mfalme. Hapo Schehra-zade akaanza kusikumulia hadithi kama ifuatavyo.

 

Sikumoja alipkuwa amekaa pembeni mwa banda hilo akasikia mazungumzo ya kustaajabisha kati ya punga na ngo’mbe. Ngombe akamwambia punda “ nakuonea wifu kwa raha unayoipata. Wakati mimi ninashinda juani kulima shamba la bwana wetu wewe mwenzangu unaogeshwa na kupambwa na kazi yako ni kummeba bwana wetu, wananipiga, wananifunga majembe yao shingoni. Nakuonea wivu natakani ningekuwa wewe” punda akamwambia ng’ombe “usijali nitakueleza jambo ukilifanya katu hautalimishwa tena.. Kesho akija mfanyakazi mpige mateke na mtishe kwa pembe zako na umfukuze. Kataa kula chakula chao. Ukifnya hivi katu hawata kulimishwa tena”

 

Siku iliyofuata ng’ombe akafanya kama alivyoshauriwa na punda, akamtisha mfanyakazi na akamkimbiza akataka kumchoma kwa pembe zake. Alikataa kula chakula. Siku iliyofuata mfanyakazi akakuta kile chakula alichokilet jana kipo vilevile hivyo akatoa taarifa kwa bwana wake. Mfugaji akamuamuru mfanyakazi wake amchukuwe punda kwenda kulima amfanyie mazoezi. Hivyo siku ile punda akapew mazoezi ya kulima na akalima pia kwa jembe la kubuluza (plau). Jioni akarudi akiwa amechoka sana.

Kufika hapa waziri akamwambia mtoto wake Schehra-zade “binti yangu hivi unataka kuangamia kama punda alivyomshauri mwenzie vibaya na akaumia mwenyewe?” Schehra-zade akamwambia baba yake “baba bado msimamo wangu upo pale pale nipeleke kwa sultani nikakomeshe tabia yake. Lakini baba bado sijajuwa mke wa mfugaji kilichompata?” alizungumza Schehra-zade kutaka hadithi iendelee. Waziri akaendelea kumsimulia Schehra-zade hadithi hii

Siki moja mfugaji akiwa na mkewe wameketi karibu na banda la wanyama hawa ili kujuwa nini punda atamshauri mwenzie. Akamsikia punda akimwambia ng’ombe “rafiki yangu nakupa ushauri unisikilize vizuri. Nimemsikia bwana wetu akimwambia mfanya kazi kuwa kama hali yako utaendelea nayo basi uchinjwe na upelekwe buxher ukauzwe nyama. Hivyo nakushauri kesho utii amri ya mfanya kazi hivyo atadhani kuwa ulukuwa umeumwa na sasa umepona” ngo’ombe alionekana kutii ushauri huu. Hapo mfugaji akacheka sanaa. Kicheko hiki kilistaajabisha hata mkewe. Mkewe akataka kujua kinachomchekesha akamjibu ni siri na nikikwambia nitakufa ila naweza kusema kuwa ninacheka kwa sababu ya mazungumzo kati ya punda na ng’ombe.

Mke huyu alionekana kuwa na msimamo wa kutaka kujuwa hasa nini mazungumzo hayo nini kilisemwa mpaka akacheka. Akaahidi kama asipomwambia atarudi kwao. Ugomvi ukawa mkubwa ikafikia hatuwa ya kuita ndugu waje kusuluhisha. Mfugaji akabaki na msimamo wake kuwa kama atasema atakufa paohapo na mke akafikia kusema kama asipi niambaia na mimi nitajiuwa. Hali hii iliendelea kwa muda mpaka kufikia hali mbaya zaidi. Mfugaji akiwaza nimwambie ili nife kwa kumridhisha mke wangu au nisimwambie. Na nisipo mwambia atajiuwa. Ni mawazo ya mfugaji. Ugomvi uliendelea kwa siku kadhaa bila ya maelewano pale ndani.

Siku moja alikaa nyumbani kwake ghafla akamuona mbwa wake aliyempenda sana anamkimbilia jogoo la kuku. Kisha akamuelezea mambo yote yaliyompata bwana wake yaani mfugaji na mkewe. Hapo jogoo akacheka sana kisha akamwambia “bwana wako ni mpumbavu kweli, hivi hauniono mimi nina wake zaidi ya hamsini hapa na ninafanya ninalo taka, lakini yeye ana mke mmoja tuu pia anampa wakatimgumu hivi. Akieleza siri atakufa hapa dawa ni ndogo tu. Achukuwe fimbo mzuuri kisha amtandike kisawasawa, bila shaka atarudisha akili yake.” Baada ya maneno haya jogoo likawika na kuondoka zake kwa mwendo wa madaha.

Mfugaji alifikiri atumie ule ushauri wa jogoo, asubuhi ya siku ilofata mke wa mfugaji aliendelea na vurumai lake. Mfugaji akaagiza aletewe bakora nzuri na kutekeleza ushauri wa jogoo. Mambo yakatulia nyumbani na hakuleta vurumai liole tena. Baada ya kumaliza kusimulia hadithi hii waziri akamwambia Schehra-zade “binti yangu, je unataka na mimi nitumie uamuzi wa jogoo?” Schehra-zade akamwambia baba yake “hapana baba ila mi nadhani hadithi hii hainitoshelezi kubadili uamuzi wangu”. Basi waziri baada ya mazungumzo marefu akakubaliana na maamuzi ya mwanae na kukubali kumpeleka kuwa bibi harusi kwa sultan kwa usiku uliofuata.

Siku ile waziri akaenda kwa sultan kwa masikitiko na majonzi akamweleza sultan kiola ambacho kilitokea kati ya yeye na binti yake. “sultan Schehra-zade anataka kwa heshima yako awe mkeo japo kwa usiku mmoja tu. Nimejaribu kumnasihi na kumkataza kwa hali zote nilizoziweza lakini imeshindikana” ni mameno ya waziri alo,mwabia sultan. “Unajuwa fika kuwa asubhi baada ya harusi itabidi ushukuwe amri ya kumuuwa na ukishindwa na wewe pia utauliwa na kichwa chako kutundikwa.” ni mameno ya mfalme akisikika anamwambia waziri. Baaada ya mazungumzo marefu Waziri akarudi nyumbani kwa majinzi na kumueleza binti yake ajiandae kwa harusi jiono ilofata.

Schehra-zade akamueleza mdogo wake Dinar-zade “mdogo wangu ninaombi unifanyie huenda likawa ndio la mwisho kabla sijauliwa au likanusuru maisha yangu na maisha ya mabinti wengine wa nchi hii”. Nilipi hilodada? Dinar-zade alimuuliza dada yake. Schehra-zade akaendelea kumweleza “nitakapokuwa nimeingia kwa mfalme nitamwomba ruhusa ya kuwa na wewe katika chumba kile ili nipate kukuaga kabla sijauliwa. Hivyo nikipewa ruhusa hivyo itakapofika saa 11 alfajiri niamshe kisha uliombe nikusimulie hadithi nzuri iwe kama furaha ya kuagana”. Mdogo wake akakubaliana na wazo hilo la dada yake.

Hal ilikuwa kama hivyo na harusi ikafanyika kati ya sultan na bint wa waziri mkuu. Bibi harusi akaingia kwenye jumba la kifalme huko akakutana na sura ya sultani. Kwa madaha na manjinjo akamuomba ombi lake la kuruhisiwa kuwa na mdogo wake usiki ule katika chumba kimoja ili aweze kumuaga kesho asubhi kabla ya kuuliwa. Sultan akakubali ombi lile na kuamuru Dinar-zade aletwe na chemba maalumu ikaandaliwa ndani pale.

Mambo yakawa kama hivyo usiku haukuwa mrefu kati ya mabint wawili hawa. Ilipofika lisaa limoja kabla ya kupambazuka Dinar-zade akamwambia dada yake “dada yangu kipenzi, naomba unifurahishe kwa kunisimulia hadithi nzuuri iwe kama furaha ya mwisho ya kuagana kabla ya kuuliwa” Schehra-zade kabla ya kumjibu mdogo wake akaomba ruhusa kwa sultan ili amruhusu aweze kutimiza matakwa ya mdogo wake kipenzi. “hakuna shida msimulie tuu ….”’ ni maneno ya mfalme. Hapo Schehra-zade akaanza kusikumulia hadithi kama ifuatavyo.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Mankaa Tarehe 2024-09-09 12:43:06 Topic: Simulizi za Hadithi Main: Masomo File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 46


Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Simulizi za Hadithi EP 7 Part 12: Dirisha moja kwanini????
Muendelezo.... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 4 Part 10: Hadithi ya Ndoto ya binti mgonjwa wa mfalme
Skmulizi hii ipo ndani ya kitabu cha kwanza kwenye hadithi za HALIF LELA U LELA...... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 7 Part 8: Harusi ya aladini kufanyika na binti wa mfalme
Muendelezo...... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 5 Part 9: Hadithi ya binti wa ndotoni.
Simulizi hii pia inapatikana kwenye kitabu cha kwanza cha hadithi za HALIF LELA U LELA... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 4 Part 6: Hadithi ya mwenye kutabiriwa mtoto wa tajiri
Tunapfatilia simulizi za HALIF LELA U LELA kitabu cha kwanza simulizi hii imetoka ndani ya kitabu cha kwanza karibuni tuendelea kupata skmulizi nyingi za kusisimua ..... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 2 Part 3: Hadithi ya mzee wa pili na mbwa wawili weusi.
Simulizi za HALIF LELA U LELA ni nziri sana tuwe pamoja kusikiliza kisa cha mzee wa pili na mbwa wawili weusi... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 5 Part 14: Hadithi ya kifo cha kujionea
Hadithi za HALIF LELA U LELA kitabu cha kwanza Muendelezo wa safari ya Sinbad Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 6 Part 15: Baba tajiri na kifo chake
Muendelezo....... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 6 Part24 : Kaka wa tatu wa kinyozi
Muendelezo Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 7 Part 7: Upendo uliotafsiriwa
Muendelezo.... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 5 Part 6: Sehemu ya tatu ya safari ya Sinbad
Muendelezo wa sehemu ya tatu ya safari ya Sinbad iliyopo kwenye kitabu cha kwanza cha hadithi za HALIF LELA U LELA.... Soma Zaidi...

Simulizi za Hadithi EP 5 Part 16: Hadithi ya safari ya saba ya Sinbad
Muendelezo wa safari ya Sinbad....... Soma Zaidi...