MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA
Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia.
MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA
Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia. Maumivu haya hutokea kwa namna mbalimbali. Mara nyingi maumivu haya huwapata wanawake. Mara chache wanaume wanapokuwa na maradhi flani kama fangasi kwenye uume ama maradhi mengine ya ngono ndipo hupata maumivu haya.
Maumivu haya hutokea pindi:
- Pindi uume unapoingia ukeni kwa mara ya kwanza
- Kila wakati uume unapoingia ukeni
- Maumivu wakati wa kupushi na kutoka kwa uume
- Kuhisi kuungua ukeni
- Maumivu baada ya kufanya tendo la ndoa
Sababu za maumivu haya
- Kutokuwepo kwa uteute wa kutosha wa kulainisha uke
- Majeraha na makovu ukeni kama waliotahiriwa
- Kuvimba kwa uke ama kuwa na mashambulizi ya bakteria
- Matatizo ya saikolojia
- Kukaza kwa misuli ya uke
- Maumbile ya uuke kama kuwepo kwa utando unaozuia njia ya uke kuwa wazi
- Kufanyiwa upasuaji kama hysterectomy ama matibabu ya saratani
- Kuwa na msongo wa mawazo
- Staili iliyotumika wakati wa kufanya tendo 0l>
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 ai web app 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Jinsi ya kujikinga na maradhi ya ini
Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kujiepusha na maradhi ya ini
Soma Zaidi...Ugonjwa wa kisukari wakati wa ujauzito.
Posti hii inaelezea ugonjwa wa kisukari wakati mama akiwa mjamzito.na yafuatayo ni Mambo hatari yanayotokea wakati Mama akiwa na ujauzito.
Soma Zaidi...Fahamu sifa za Ute wa siku za kupata mimba yaani ovulation day
Posti hii inahusu zaidi sifa za Ute wa ovulation, ni Ute ambao utokea siku za ovulation yaani siku ambazo ni tayari kwa kubeba mimba, yaani siku za upevishaji wa yai.
Soma Zaidi...Mambo ya kuzingatia kwa mama ili apate huduma endelevu.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na huduma kwa mama wajawazito na waliojifungua.
Soma Zaidi...TATIZO LA KUVIMBA KWA USO NA MIGUU KWA WAJAWAZITO
KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito.
Soma Zaidi...