Download kitabu hiki na upate kusoma zaidi ya dua 120, pamoja na darsa mbalimbali za dini ya kiislamu.
Allah ameamuru wajawake wamuombe, na Allah ametoa ahadi ya kujibu maombi ya mwenye kumuomba. Watu wengi leo wamekuwa wakiomba dua kisha hulalamika kuwa hawajibiwi, Je unajua ni kwa nini dua hazijibiwi? Je, unafahamu kuomba dua kama alivyoomba mtume? Je unazijuwa siku na nyakati za siri ambazo dua ndio hujubuwa? Yote haya na mengineyo utayapata kwenye kitabu hiki...
Umeionaje Makala hii.. ?
الحديث الثاني والثلاثون "لا ضرر ولا ضرار" عَنْ أَبىِ سَعيدٍ سَعْدِ بْن مَالكِ بْن سِنَانٍ الْخُدريِّ رضي الله عنه أَنَّ رَسُولَ اللّ?...
Soma Zaidi...DUA ZA KUONDOA WASIWASI, SIHIRI NA UCHAWI 1.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu umuhimu wa kukusanyika katika kuomba dua.
Soma Zaidi...