Download kitabu hiki na upate kusoma zaidi ya dua 120, pamoja na darsa mbalimbali za dini ya kiislamu.
Allah ameamuru wajawake wamuombe, na Allah ametoa ahadi ya kujibu maombi ya mwenye kumuomba. Watu wengi leo wamekuwa wakiomba dua kisha hulalamika kuwa hawajibiwi, Je unajua ni kwa nini dua hazijibiwi? Je, unafahamu kuomba dua kama alivyoomba mtume? Je unazijuwa siku na nyakati za siri ambazo dua ndio hujubuwa? Yote haya na mengineyo utayapata kwenye kitabu hiki...
Umeionaje Makala hii.. ?
Zijuwe njia ambazo Allah hujibu Dua yako. Tambua kama umejibiwa dua yako au bodo, soma darsa za dua hapa.
Soma Zaidi...Hii ni hadithi ya pili katika kitabu cha Arbain Nawawiy
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukupa tahadhari juu ya mambo ya halali na mambo ya haramu.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha jinsi ya kumswalia mtume, pamoja na kuzijuwa fadhila unazopata kwa kumswalia Mtume
Soma Zaidi...Post hii itakueleza ni dua gani unatakiwa uzisome wakati unapokiwa na hasira ama pale unapokasirika.
Soma Zaidi...Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...