Msaada kwa Mgonjwa aliyeshindwa kupitisha mkojo.

Posti hii utokea huduma ya kwanza kwa mtu aliye na shida ya kushindwa kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo,

Huduma ya kwanza kwa mtu Mwenye tatizo la kushindwa kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.

1. Muweke mgonjwa kwenye hali ya kutaka kukojoa.

Kwa kufanya hivyo tunaweza kusababisha mkojo kutoka au msaidie mgonjwa kumwekea kwenye kufaa Cha kukojolea kwa kufanya hivyo mkojo unaweza kupita na mgonjwa anaweza kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo na anaweza kuwa kawaida na kuendelea kukojoa.

 

2. Mpatie mgonjwa vitu vya moto vya kunywa kama vile chai ya moto, kahawa,na kufaa Cha kukojolea kiwe Cha moto.

Kwa kufanya hivyo tunaweza kusababisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo na mgonjwa anaweza kukojoa na kurudia kwenye hali ya kawaida, kwa sababu maji ya moto au vitu vya moto vinaweza kushutua mishipa ambayo inakuwa imebana na kumfanya mgonjwa akawa kawaida.

 

3. Mpeleke Mgonjwa kwenye bomba la maji na fungua maji kwa speed kubwa na mkojo unaweza kutoka.

Kwa kufungua maji ya bomba kwa speed kubwa mno usababisha kuamsha sehemu za kibofu Cha mkojo na kusababisha mgonjwa aweze kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu kitendo hiki ufanyiwa hasa kwa watu wale waliofanyiwa upasuaji na huwa wanaweza kukojoa kwa kawaida.

 

4. Mpatie mgonjwa dawa ya maumivu.

Mgonjwa anayeshindwa kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo anapaswa kupewa dawa za maumivu kama vile parnadol, Asprini, tramadol na dawa nyingine ambazo zote za maumivu kwa sabat labda kitendo Cha kushindwa kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo ni kwa sababu ya maumivu kwa pale alipofanyiwa upasuaji kwa kumpatia dawa ya maumivu subiri kwa mda na uangalie kama anaweza kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo na kuendelea na maisha yake ya kawaida.

 

5. Kama mgonjwa amepewa kila njia na mkojo ukashindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo, mgonjwa anaweza kuwekewa milija wa kupitisha mkojo ambao kwa kitaamu huitwa catheter hiki ni kifaa ambacho upitishwa mkojo Moja kwa Moja  kutoka kwenye kibofu Cha mkojo na kuingia kwenye sehemu ambayo imeandaliwa na kisha kumwaga. Kwa hiyo njia hii utumika ikiwa zote zimeshindikana.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 944

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Dalili za upungufu wa maji mwilini.

Upungufu wa maji mwilini hutokea unapotumia au kupoteza Majimaji mengi zaidi ya unayonywa, na mwili wako hauna maji ya kutosha na Majimaji mengine ya kufanya kazi zake za kawaida. Usipochukua nafasi ya Vimiminika vilivyopotea, utapungukiwa na maji.

Soma Zaidi...
TIBA YA MINYOO AU DAWA YA MINYOO: praziquantel (biltricide) mebendazole (vermox, emverm) na albendazole (albenza).

TIBA YA MINYOO Moja katika sifa za minyoo ni kuwa wanatibika kwa urahisi pindi mgonjwa akipewa dawa husika.

Soma Zaidi...
Huduma kwa wenye Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia Watu wale ambao wana Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

Soma Zaidi...
Mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto

Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto, mtoto katika makuzi yake anahitaji kutunzwa vizuri Ili akue kwa afya nzuri bila magonjwa

Soma Zaidi...
Magonjwa ya moyo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu magonjwa ya moyo

Soma Zaidi...
Dalili za Pua iliyovunjika

posti hii inahusu dalili za Pua iliyovunjika, pia inaitwa fracture ya pua, ni kuvunjika au kupasuka kwa mfupa katika pua yako

Soma Zaidi...
Zifahmu Dalili za homa ya ini Kali ya pombe.

Posti hii inaonyesha dalili na Mambo Hatari yanayosababisha homa ya ini Kali ya pombe.

Soma Zaidi...
Dalilili zinazotokea kwenye mrija wa mkojo

Mrija wa mkojo hutoa mkojo nje ya mwili lakini mrija huu unapoziba hufanya utoaji wa mkojo kutoka kwa shida au maumivu

Soma Zaidi...
Namna ya kutoa huduma kwa mgonjwa wa Dengue.

Posti hii inahusu zaidi huduma anayopaswa kupata mgonjwa wa ndengue, kwa sababu tunafahamu wazi Ugonjwa huu hauna dawa ila kuna huduma muhimu ambayo anaweza kupata na akaendelea vizuri.

Soma Zaidi...