Posti hii utokea huduma ya kwanza kwa mtu aliye na shida ya kushindwa kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo,
Huduma ya kwanza kwa mtu Mwenye tatizo la kushindwa kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.
1. Muweke mgonjwa kwenye hali ya kutaka kukojoa.
Kwa kufanya hivyo tunaweza kusababisha mkojo kutoka au msaidie mgonjwa kumwekea kwenye kufaa Cha kukojolea kwa kufanya hivyo mkojo unaweza kupita na mgonjwa anaweza kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo na anaweza kuwa kawaida na kuendelea kukojoa.
2. Mpatie mgonjwa vitu vya moto vya kunywa kama vile chai ya moto, kahawa,na kufaa Cha kukojolea kiwe Cha moto.
Kwa kufanya hivyo tunaweza kusababisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo na mgonjwa anaweza kukojoa na kurudia kwenye hali ya kawaida, kwa sababu maji ya moto au vitu vya moto vinaweza kushutua mishipa ambayo inakuwa imebana na kumfanya mgonjwa akawa kawaida.
3. Mpeleke Mgonjwa kwenye bomba la maji na fungua maji kwa speed kubwa na mkojo unaweza kutoka.
Kwa kufungua maji ya bomba kwa speed kubwa mno usababisha kuamsha sehemu za kibofu Cha mkojo na kusababisha mgonjwa aweze kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu kitendo hiki ufanyiwa hasa kwa watu wale waliofanyiwa upasuaji na huwa wanaweza kukojoa kwa kawaida.
4. Mpatie mgonjwa dawa ya maumivu.
Mgonjwa anayeshindwa kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo anapaswa kupewa dawa za maumivu kama vile parnadol, Asprini, tramadol na dawa nyingine ambazo zote za maumivu kwa sabat labda kitendo Cha kushindwa kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo ni kwa sababu ya maumivu kwa pale alipofanyiwa upasuaji kwa kumpatia dawa ya maumivu subiri kwa mda na uangalie kama anaweza kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo na kuendelea na maisha yake ya kawaida.
5. Kama mgonjwa amepewa kila njia na mkojo ukashindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo, mgonjwa anaweza kuwekewa milija wa kupitisha mkojo ambao kwa kitaamu huitwa catheter hiki ni kifaa ambacho upitishwa mkojo Moja kwa Moja kutoka kwenye kibofu Cha mkojo na kuingia kwenye sehemu ambayo imeandaliwa na kisha kumwaga. Kwa hiyo njia hii utumika ikiwa zote zimeshindikana.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post yetu inaenda kuzungumzia kuhusiana na Saratani ya Matiti ni Saratani ambayo hutokea katika seli za matiti. Baada ya Saratani ya Ngozi, Saratani ya matiti ndiyo Saratani inayojulikana zaidi hugunduliwa kwa wanawake Mara nyingi. Saratani yaÂ
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za maambukizi kwenye ovari, ni maambukizi ambayo hutokea kwenye ovari na kusababisha matatizo makubwa kama mgonjwa haujatibiwa mapema.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za kansa, ni dalili ambazo utokea kwa mtu Mwenye tatizo la ugonjwa wa Kansa ingawa sio lazima dalili hizi kutokea tukadhani kuwa ni Kansa Ila zilizonyingi huwa ni kweli dalili za kansa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani, ni njia ya kawaida ya kujitibu vidonda vya tumbo kama tulivyoona.
Soma Zaidi...ugonjwa wa kiseyeye, chanzo chake vipi unatokea na ni zipi dalili zake. Yote haya utayapata hapa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kutokutibu fangasi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwahudumia wenye Maambukizi kwenye mifupa, ni njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuwasaidia wenye Maambukizi kwenye mifupa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisichokuwa na damu
Soma Zaidi...Katika post hii utakwend akujifunza kuhusu tatizo la kuwa na vijiwe kwenye ini vijiwe hivi hufahamika kama intrahepatic stones.
Soma Zaidi...