Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu ni matatizo ya nadra, yanayotishia maisha ya aina fulani za maambukizi ya bakteria. Mara nyingi ugonjwa wa mshtuko wenye sumu hutokana na sumu zinazozalishwa na bakteria.
Dalili za ugonjwa wa mshtuko wa sumu
Dalili zinazowezekana za ugonjwa wa mshtuko wa sumu ni pamoja na:
1. Homa kali ya ghafla
2. Shinikizo la chini la damu (hypotension)
3. Kutapika au Kuharisha
4. Upele unaofanana na kuchomwa na jua, haswa kwenye viganja na nyayo zako
5. Mkanganyiko
6. Maumivu ya misuli
7. Uwekundu wa macho yako, mdomo na koo
8. Mshtuko wa moyo
9. Maumivu ya kichwa
10.mwili kukosa nguvu.
Mambo ya hatari yanayosababisha Ugonjwa wa mshtuko was sum.
Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu unaweza kuathiri mtu yeyote. Karibu nusu ya visa vya ugonjwa wa Mshtuko wa sumu hutokea kwa wanawake wa hedhi; wengine hutokea kwa wanawake wazee, wanaume na watoto.
Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu umehusishwa na:
1. Kuwa na michubuko au Kuungua kwenye ngozi yako
2. Baada ya kufanyiwa upasuaji hivi karibuni
3. Kutumia sponji za uzazi wa mpango.
4. Kuwa na maambukizi ya virusi, kama vile Mafua au Tetekuwanga
Mwisho; ikiwa una dalili au ishara za ugonjwa wa Mshtuko wa sumu Ni vyema kuwahi hospitali kwaajili ya matibabu. Hii ni muhimu hasa ikiwa una maambukizi ya ngozi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili na yanayofuata utajifunz akuhusu ini. Post hii ina muendelezo wa post zinazofuat. Katika mfululizo huuutajifunz akuhusu ini na maradhi yake na kujiking nayo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi msaada kwa aliye na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ni huduma maalumu ambayo utolewa kwa mtu ambaye ana uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo. Zifuatazo ni huduma maalumu kwa mwenye uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia Ugonjwa wa mapafu ambao hujulikana Kama pafu lililoporomoka (Pneumothorax) hutokea wakati hewa inavuja kwenye nafasi kati ya mapafu yako na ukuta wa kifua. Hewa hii hutoka nje ya pafu lako. Ugonjwa huu unaweza kusababishwa na jera
Soma Zaidi...Hepatitis B Ni maambukizi ya ini ambayo yamekuwa sugu kuanzia mwezi na kuendelea.
Soma Zaidi...Mie ni kijana wa kiume umri 33, nna tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nna minyoo lakini hata nikinywa dawa sioni afadhali, niliona labda ni pombe nikapumzika kunywa tatizo lipo pale pale japo nisipokunywa haliwi kwa ukubwa ule ila lipo.
Soma Zaidi...Homa ni moka ya dalili inayohusiana na maradhi mengi sana. Unaweza kuwa na homa ikawa pia si maradhi kumbe ni stress tu. Je unasumbuliwa na homa za mara kwamara, Makala hii ni kwa ajili yako
Soma Zaidi...post hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kifaduro ambao hujulikana Kama Pertussis pia inajulikana kama kifaduro ni maambukizi ya bakteria ambayo huingia kwenye pua yako na koo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi matibabu ya kutibu ugonjwa wa maumivu chini ya kitovu.
Soma Zaidi...