Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu ni matatizo ya nadra, yanayotishia maisha ya aina fulani za maambukizi ya bakteria. Mara nyingi ugonjwa wa mshtuko wenye sumu hutokana na sumu zinazozalishwa na bakteria.
Dalili za ugonjwa wa mshtuko wa sumu
Dalili zinazowezekana za ugonjwa wa mshtuko wa sumu ni pamoja na:
1. Homa kali ya ghafla
2. Shinikizo la chini la damu (hypotension)
3. Kutapika au Kuharisha
4. Upele unaofanana na kuchomwa na jua, haswa kwenye viganja na nyayo zako
5. Mkanganyiko
6. Maumivu ya misuli
7. Uwekundu wa macho yako, mdomo na koo
8. Mshtuko wa moyo
9. Maumivu ya kichwa
10.mwili kukosa nguvu.
Mambo ya hatari yanayosababisha Ugonjwa wa mshtuko was sum.
Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu unaweza kuathiri mtu yeyote. Karibu nusu ya visa vya ugonjwa wa Mshtuko wa sumu hutokea kwa wanawake wa hedhi; wengine hutokea kwa wanawake wazee, wanaume na watoto.
Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu umehusishwa na:
1. Kuwa na michubuko au Kuungua kwenye ngozi yako
2. Baada ya kufanyiwa upasuaji hivi karibuni
3. Kutumia sponji za uzazi wa mpango.
4. Kuwa na maambukizi ya virusi, kama vile Mafua au Tetekuwanga
Mwisho; ikiwa una dalili au ishara za ugonjwa wa Mshtuko wa sumu Ni vyema kuwahi hospitali kwaajili ya matibabu. Hii ni muhimu hasa ikiwa una maambukizi ya ngozi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Je umeshawaho kujiuliza maswali mengi kihusu fangasi?. Huyu hapa ni mmoja katika waulizaji waliopata kuuliza rundo la maswali haya. Soma post hii kuona nini ameuliza
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana Kuvimbiwa kwa watoto ni tatizo la kawaida.Kuvimbiwa kwa watoto mara nyingi kuna sifa ya kupata haja kubwa mara kwa mara au kinyesi kigumu, kikavu. Sababu mbalimbali zinaweza kusababisha kuvimbiwa kwa watoto.Sababu za kawa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za kifua kikuu kwa watoto,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto pindi wanapopata Maambukizi ya kifua kikuu.
Soma Zaidi...Malaria husababishwa na vimelea (parasite) ambavyo husambazwa ama kubebwa na mbu aina ya anopheles.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kupungukiwadamu, ni dalili zinazoonekana kwa mtu Mwenye tatizo la upungufu wa damu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa macho, ugonjwa huu kwa kawaida una dalili kuu tano kadri ya maambukizi yanavyoongezeka na madhara yake kwa hiyo tunapaswa kujua dalili hizo Kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za uti wa mgongo, ni ugonjwa unaotokana na kuwa na maumivu kwenye uti wa mgongo, hasa hasa ugonjwa huu ushambulia watu kuanzia miaka ishilini mpaka kwenye arobaini hivi, zifuatazo ni sababu za maumivu katika uti wa mgongo.
Soma Zaidi...Zijuwe sababu kuu zinazokufanya ukahisi maumivu makali ya tumbo kwa chini upande wa kushoto
Soma Zaidi...posti hii inahusu dalili za ugonjwa wa mapafu.ambapo kitaalamu hujulikana Kama Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu yako. Majimaji mengi kw
Soma Zaidi...Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu kwa kitaalamu anaitwa Anopheles.na anasambazwa na mbu jike pale anapotafuta chakula hasa wakati akiwa na mimba. Mbu hawa hupenda kuishi kwenye mnyasi, madibwi haswa kwenye maji yaliyo simama.
Soma Zaidi...