Fahamu Ugonjwa wa mshtuko wa sumu.

Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu ni matatizo ya nadra, yanayotishia maisha ya aina fulani za maambukizi ya bakteria. Mara nyingi ugonjwa wa mshtuko wenye sumu hutokana na sumu zinazozalishwa na bakteria.

    Dalili za ugonjwa wa mshtuko wa sumu

 Dalili zinazowezekana za ugonjwa wa mshtuko wa sumu ni pamoja na:

 

1. Homa kali ya ghafla

2. Shinikizo la chini la damu (hypotension)

3. Kutapika au Kuharisha

4. Upele unaofanana na kuchomwa na jua, haswa kwenye viganja na nyayo zako

5. Mkanganyiko

6. Maumivu ya misuli

7. Uwekundu wa macho yako, mdomo na koo

8. Mshtuko wa moyo

9. Maumivu ya kichwa

10.mwili kukosa nguvu.

 

     Mambo ya hatari yanayosababisha Ugonjwa wa mshtuko was sum.

 Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu unaweza kuathiri mtu yeyote.  Karibu nusu ya visa vya ugonjwa wa Mshtuko wa sumu hutokea kwa wanawake wa hedhi;  wengine hutokea kwa wanawake wazee, wanaume na watoto.

 

 Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu umehusishwa na:

1. Kuwa na michubuko au Kuungua kwenye ngozi yako

 

2. Baada ya kufanyiwa upasuaji hivi karibuni

 

3. Kutumia sponji za uzazi wa mpango.

 

4. Kuwa na maambukizi ya virusi, kama vile Mafua au Tetekuwanga

 

  Mwisho; ikiwa una dalili au ishara za ugonjwa wa Mshtuko wa sumu Ni vyema kuwahi hospitali kwaajili ya matibabu.  Hii ni muhimu hasa  ikiwa una maambukizi ya ngozi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1376

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    ๐Ÿ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰4 web hosting    ๐Ÿ‘‰5 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Mbinu za kuzuia na kuepukana na maradhi ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi njia au mbinu mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepukana na tatizo la ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo.

Soma Zaidi...
Ujue Ugonjwa wa homa ya ini yenye sumu.

Homa ya ini yenye sumuร‚ย ni kuvimba kwa ini lako kutokana na kuathiriwa na vitu fulani ambavyo umeathiriwa navyo. Homa ya ini yenye sumuร‚ย inaweza kusababishwa na pombe, kemikali, dawa za kulevya au viongeza vya lishe.

Soma Zaidi...
Fahamu maambukizi ya kwenye mishipa ya Damu.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa ambao husababisha kuvimba kwa mishipa ya damu katika mwili wako wote. Ambao kitaalamu hujulikana Kama Behcet .

Soma Zaidi...
Ufahamu ugonjwa wa UTI na dalili zake hasa kwa wajawazito

Wajawazito wanaposumbuliwa na ugonjwa wa UTI, dalili za UTI na namna ya Kujikinga na UTI

Soma Zaidi...
Saratani (cancer)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya cancer/saratani

Soma Zaidi...
Magonjwa ya moyo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu magonjwa ya moyo

Soma Zaidi...
VIPI VIDONDA VYA TUMBO VINATOKEA

VIPI VIDONDA VYA TUMBO VINATOKEA 1.

Soma Zaidi...
Sababu za kuumwa na tumbo, chini ya kitomvu ama upande wa kulia

Post hii inakwenda kukutajia baadhi tu ya sababu zinazopelekea kuumwa na tumbo. Hali hizi zinawweza kuwapata watu wa jinsia zote katika umri wowote ule. Ijapokuwa nyingine si kwa wote ni kwa baadhi ya watu. hapa nitakuletea sababu 5 tu.

Soma Zaidi...
Fangasi wa kwenye uke.

Fangasi hawa kitaalamu wanafahamika kama vagina yeast infection na majina mengine ya kitaalamu ni kama vagina candidiasis, u vulvovaginal candidiasis au candidal vaginitis.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa Dondakoo na namna unavyoweza kuenea

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa Dondakoo na namna unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwingine.

Soma Zaidi...