Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu ni matatizo ya nadra, yanayotishia maisha ya aina fulani za maambukizi ya bakteria. Mara nyingi ugonjwa wa mshtuko wenye sumu hutokana na sumu zinazozalishwa na bakteria.
Dalili za ugonjwa wa mshtuko wa sumu
Dalili zinazowezekana za ugonjwa wa mshtuko wa sumu ni pamoja na:
1. Homa kali ya ghafla
2. Shinikizo la chini la damu (hypotension)
3. Kutapika au Kuharisha
4. Upele unaofanana na kuchomwa na jua, haswa kwenye viganja na nyayo zako
5. Mkanganyiko
6. Maumivu ya misuli
7. Uwekundu wa macho yako, mdomo na koo
8. Mshtuko wa moyo
9. Maumivu ya kichwa
10.mwili kukosa nguvu.
Mambo ya hatari yanayosababisha Ugonjwa wa mshtuko was sum.
Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu unaweza kuathiri mtu yeyote. Karibu nusu ya visa vya ugonjwa wa Mshtuko wa sumu hutokea kwa wanawake wa hedhi; wengine hutokea kwa wanawake wazee, wanaume na watoto.
Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu umehusishwa na:
1. Kuwa na michubuko au Kuungua kwenye ngozi yako
2. Baada ya kufanyiwa upasuaji hivi karibuni
3. Kutumia sponji za uzazi wa mpango.
4. Kuwa na maambukizi ya virusi, kama vile Mafua au Tetekuwanga
Mwisho; ikiwa una dalili au ishara za ugonjwa wa Mshtuko wa sumu Ni vyema kuwahi hospitali kwaajili ya matibabu. Hii ni muhimu hasa ikiwa una maambukizi ya ngozi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu namna madonda koo yanavyotokea, ni jinsi na namna Magonjwa haya au Maambukizi yanavyotokea na kuweza kusababisha madhara kwa watu.
Soma Zaidi...Ini ni moja ya ogani za mwili ambazo husumbuliwa na maradhi hatari sana. Katika post hii utakwend akuyajuwa maradh hatari ambayo hushambulia ini. Pia utajifunza jinsi a kujikinga na maradhi hayo.
Soma Zaidi...Tetekuwanga (varisela) ni maambukizi ya virusi ambayo husababisha kuwasha, upele kama vile malengelenge. Tetekuwanga huambukiza sana watu ambao hawajapata ugonjwa huo wala kupewa chanjo dhidi yake. Kabla ya chanjo ya kawaida ya tetekuwanga, karibu watu
Soma Zaidi...Malaria husababishwa na vimelea (parasite) ambavyo husambazwa ama kubebwa na mbu aina ya anopheles.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster. Kwa hiyo ili kugundua kubwa mtu ana Ugonjwa huu Dalili kama hizi zifuatazo zinaweza kutokea kwa mgonjwa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za mtoto Mwenye UTI,ni dalili ambazo uwapata watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujilinda na kujikinga na UTI
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Brucellosis ni maambukizi ya bakteria ambayo huenea kutoka kwa wanyama hadi kwa watu mara nyingi kupitia maziwa ambayo hayajasafishwa au kuchemshwa vizuri na bidhaa zingine za maziwa. Mara chache zaidi, ba
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa macho, ni ugonjwa ambao ushambulia zaidi sehemu za nje za macho ambazo kwa kawaida uitwa conjunctiva na cornea hizi sehemu zikipata maambukizi zisipotibiwa mapema uweza kusababisha upofu kwa mgonjwa.
Soma Zaidi...